Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

_20240210_183601.JPG
 
Picha zinaongea, picha zinaishi picha zinatoa ujumbe maalum usioonekana kwa macho ya kawaida mpaka wakati ufike

Ukipata muda chukua album yako ya picha pitia picha za zamani ulizopiga na marafiki ndugu jamaa na hata watu usiowafahamu

  • angalia mpangilio wa jinsi watu walivyosimama au kukaa nk
  • angalia mpangilio wa rangi au mavazi
  • angalia body language

Kwa mshangao wa ajabu utakuta kwenye picha fulani watu fulani waliosimama pamoja siku huyo au kuchuchumaa au kuvaa nguo za aina moja nk

  • wote wamekufa
  • wote ni matajiri
  • wote wameoa/wameolewa nyumba moja
  • wote tabia zao zinafanya nk

Kwa mshangao mkubwa angalia body language utajikuta unaona kabisa hao

  • walikuja kuoana
  • walikuja kuwa maadui wakubwa
  • walikuja kuwa marafiki wa damu nk

Tunapojipanga tupige piga na kubadili badili mikao na nafasi si kwa akili zetu bali kuna nguvu nje ya ufahamu wetu nguvu ya kiroho ndio inafanya kazi

Ni nguvu hiyo inayoamua:

Usimame wapi na kwa nini
Ukae wapi na kwa nini
Ufuatane na nani na kwa nini
Umtazame nani na kwa nini

Ni nguvu ya uvutano kwenye ulimwengu wa roho inayotengeneza matukio yote haya na huja kudhihirika baada ya kipindi fulani kupita...haya yanatokea si kwa utashi wetu wala uamuzi wetu wala nguvu zetu

Sijapata picha nyingine lakini naomba kuweka hii

  • angalia mfanano wa rangi za mavazi
  • body language
  • nafasi kwenye kusimama
  • umbali na ukaribu

Unafikiri walipanga kwa makusudi huu mkao?

Dqh nazidi kufuatilia hadi naogopa

Sent from my SM-A146P using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwanini hakuna mahali popote Chenge na Rostam wana picha ya pamoja je Hayati lowasa na chenge?

na hawa tunaambiwa ni marafiki?
Tunaweza tukajua kwanini hawakutaka picha ya pamoja?
Hakika Mshana Jr Picha zina siri
 
Hivi kwanini hakuna mahali popote Chenge na Rostam wana picha ya pamoja je Hayati lowasa na chenge?

na hawa tunaambiwa ni marafiki?
Tunaweza tukajua kwanini hawakutaka picha ya pamoja?
Hakika Mshana Jr Picha zina siri
Umewaza mbali
 
hakika lema hakutaka unafiki. Hapa

Kakosa Maturity na hawezi kuwa mwanasiasa bora. It is not about being honest ; it is about politics .

Mbowe anayo maturity japo sikubaliani na sera zake . Hata speech yake ya msibani ilionesha anayo intellectual mind

Lema hana tofauti na makonda kiakili na kimtazamo
 
Kakosa Maturity na hawezi kuwa mwanasiasa bora. It is not about being honest ; it is about politics .

Mbowe anayo maturity japo sikubaliani na sera zake . Hata speech yake ya msibani ilionesha anayo intellectual mind

Lema hana tofauti na makonda kiakili na kimtazamo
Mbowe anayo maturity japo sikubaliani na sera zake . Hata speech yake ya msibani ilionesha anayo intellectual mind
 
Kakosa Maturity na hawezi kuwa mwanasiasa bora. It is not about being honest ; it is about politics .

Mbowe anayo maturity japo sikubaliani na sera zake . Hata speech yake ya msibani ilionesha anayo intellectual mind

Lema hana tofauti na makonda kiakili na kimtazamo
yeap na hii itamgharimu kisiasa in long run
 
Back
Top Bottom