RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Ata ukitafta pesa sio wote wanazipata lazma tu utambue dunian kuna washindi na washindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewu umo kwenye hiyo list ya hao mabilionea?😂😂😂 we mwanaume kweli? Yani to make your point inabidi utafute justification kutoka kwa wanaume wenzio? Watakuzagamua shauri yakoWewe sio kama NI fukara tuu Bali hata Akili hauna.
Ninaweza kukutajia mabilionea ambao wameandika vitu vingi na bado wanapesa.
Alafu kuna ninyi makapuku mnaojifanya mko busy alafu Maisha yenu ya taabu
Sikupingi ila ukiwa na misimamo bila kipato unaonekana zezeta.
Sawasio kweli hapo umepuyanga dogo
Hii imeenda mazeeMods ingefaa mrejeshe kishwa cha uzi kama kilivyokuwa.
Niliyeandika ninajua nilitaka wasomaji wapate ujumbe upi.
Hicho kichwa kimepotosha maana nzimavya nilichoandika
Aisee huu ni ukweli mchungu, tutafute helaKiufupi kama huna mkwanja familia yako itadharaulika hatakama unamisimamo. Vitoto vyako vitaonekana vichafu vichafu lazima vitatumwa mkeo kaja kavaa masampula lazima akachoteshwe maji na ikiwezekana atachimbishwa hadi kaburi. Mleta mada maeneo kama msibani ukishaona watu fulani wanajitenga ondoka hapo kajitafutie chimbo ujifiche ww na vitoto vyako usivyotaka vitumwe. Mwenye hela akiona wife wake anatumwa sana utaskia hebu chukua funguo nenda na watoto njini kawatafutie masweta ya kuvaa akiondoka unamtext hebu kale alafu watembeze watoto kazi zikiisha ntakustua. Inarahisisha mtu kutochoka na kulimbikiziwa makazi kibao. Ila fanya hivyo ukiwa na mkwanja kama ww ni hohe hahe toa mchango wa nguvu zako na utoe kweli
Mimi huwezi kunutumikisha kijinga. Kuna watu walikuwa na tabia hiyo kwenye familia yetu, tukaanza utaratibu wa kulipa mpishi kwenye shughuli. Anakuja na vyombo vyake anapika, anaosha anasepa. Kila mmoja anachangia kutokana na uwezo wake. Sipendagi dharau mimi na sina tabia ya kudharau mtu.Kama kuna kitu nakichukia ni kuonewa au kuonea mtu just because ya kukosa pesa,binafsi hata niwe sina hunitumi kizembe ntafanya nikiona inafaa period!