Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Wapo wengi mzee ila wewe hukosekani kwenye ile top layer πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. yaani night ikifika tukikutana lindoni hali inakuwa shwari
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Usilete mind game ujue mm najua nipo namba 5 kwenye list yako embu watendee haki basi wale wa 2 waliopo juu yangu.
 
Nakukubali pia Joanah wangu, comments zako huwa zinanifurahisha na ninapenda vyenye unawashushua watu wanaokuja na negative energy humu.

Oh and kuweka mambo sawa, ZoΓ« ndiye huyo huyo Karma my dear.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Usilete mind game ujue mm najua nipo namba 5 kwenye list yako embu watendee haki basi wale wa 2 waliopo juu yangu.
Mzee hizi siku mbili umekula nn au yule new comer kashakuvuruga akili unatafuta pa kuhemea πŸ˜†πŸ˜†...
Tutamalizana chimbo usiwaze maana hapa tutafaidisha raia
 
Mzee hizi siku mbili umekula nn au yule new comer kashakuvuruga akili unatafuta pa kuhemea πŸ˜†πŸ˜†...
Tutamalizana chimbo usiwaze maana hapa tutafaidisha raia
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Utani wa ngumi huu acha niwaachie watu watag watu wao wanaowakubali huu uzi hautaki story tag ukimaliza pita zako mm nishamaliza acha niende zangu 😎
 
Thanks for that..
Me too you make ma surfing better with your presence

Ngikuthanda kakhulu, Uzoba njalo enhliziyweni yami sithandwa. uyinenjabulo yami, Uyisizathu sami esiyinkulungwane.[emoji173][emoji173][emoji173]
Sina uhakika hiyo lugha mnayoongea ni ipi ila nahisi ni kizulu, Vinci nakuja unipe tafsiri tafadhali kama ni kizulu lakini.

Nakipenda sana kizulu na kama siyo basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…