Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Nashukuru sana mkuu, ubarikiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sana mkuu, ubarikiwe.
Sina uhakika hiyo lugha mnayoongea ni ipi ila nahisi ni kizulu, Vinci nakuja unipe tafsiri tafadhali kama ni kizulu lakini.
Nakipenda sana kizulu na kama siyo basi
Hicho ni kizulu
Ushaelewa inatosha😂😂😂 Utani wa ngumi huu acha niwaachie watu watag watu wao wanaowakubali huu uzi hautaki story tag ukimaliza pita zako mm nishamaliza acha niende zangu 😎
Hhahah!Koh koh koh
Wembamba kwa wembamba...
[emoji23][emoji23][emoji23] haya sasa dada monitress tenaUhuh nakuelewa dada Monitress [emoji23][emoji23]
Hilo jina jipya ni cheo chako asee, haiwezekani mtoto mbichii unatumia app ya wazee
Hahaha visoap dish jau bana ...mambo yote nyama nyama full kutetema anytime any day
Ooh okay vipi habari yakoHicho ni kizulu
Na Denge na BukhetiVUTA-NKUVUTE ID yako imenikumbusha Jasmine na Shaibu
I am humbled mkuu ip_mob
Very good, haya tupange ratiba ya vipindi sasa.Hicho ni kizulu
Haha umenikumbusha mkifunga shule ukirudi nyumbani mama anakuangalia anasema mwanangu umekonda hapo unadeka ndio mama 😂Nyama nzuri ila zipo boring.. raha visoap dish asee
Ukigusa kifua unaskia mapigo ya moyo mubashara😊😊
Ooh vizuriNiko poa nashukuru..Mungu
Ni mimiSiyo wewe
Ni mimi
Ahsante mdogo wangu, ifike wakati uvunje ukimya sasaMkuu,wawili ni wachache mno
Nafasi ya kwanza inaenda kwa my all time crush tangu najiunga JF,namuona yeye tu japo simfahamu lakini napicture muonekano wake....popote ulipo kama utapita hapa jua nakukubali sana
chaliifrancisco na sis Khantwe najua mnajua nani namaanisha
Wa pili ni kina Depal Khantwe Carleen Saint Anne Hawachi Zoë mahondaw Shadeeya Sky Eclat karma sijui kabadili ID? Shunie Sakayo yna2 na wengine wachache waliobaki nimesahau IDs zao
Haha umenikumbusha mkifunga shule ukirudi nyumbani mama anakuangalia anasema mwanangu umekonda hapo unadeka ndio mama 😂
Hahaha nililia kwenda mapema ila baadae nilijutaTatizo zile za shida..unakuwa umepauka pauka 😁