Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Ucnambiee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babu hapoi wala haboi.
Babu nilimkataa akaanza kuniambia me kibibi eti πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Siku hiyo nimepost pic yangu kaanza kusifia β€œChuma ya Kantry hiyo” jamaa anafaidi muwe mnatukubali na sie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Babu utamuweza kwa kupenda sifa? Hata sura yangu haijui alitaka kiki tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] lakinj kuna kipindi zamani mlikua mnachat sana mkawa marafiki
 
Aiseee nimeamka hapa coca, naomba hizo screenshots. Nisaule mama malezi
 
Tulia wewe upate hizo screenshots
 
[emoji23][emoji23][emoji23] lakinj kuna kipindi zamani mlikua mnachat sana mkawa marafiki
Mimi binafsi nimeonana naye first time Dodoma nilienda Kanisani..
Nikaja onana naye tena mcity nikiwa kwenye mishe za kaushadamu za muhindi
Nikaonana naye tena mcity nanenane nikiwa na familia yangu
Yaani Kwa upande wangu alikuwa mtu muungwana sana
Na stori pekee tunapiga ni za Kanisani...
Yaani jamaa ni mpole.. sikuona taswira yoyote mbaya kutoka kwa jamaa kusema kweli.
Binafsi siwezi kumsema vibaya.. maybe hiyo kampani yake ndio imemletea balaa.


Hizo stori nyingine zilivyoletwa nilishangaa sana
Na wakati zikiendelea, aliwatafuta mods kuwa anachafuliwa..
Hiyo pm alituma Kwa mods, alituadd baadhi ya members kwenye hiyo pm.

Anyway
Ukweli anao Mungu.
 
Bado hujasema.

cocastic weeee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjanja huyo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…