Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Umeona aliyetajwa kusambaza stori zetu? πNdiyo nimeamka hapa, zitanikuta hapahapa mbona
AmenDamu ya Yesu itulinde wote tulale salama [emoji120]
ππππππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjanja huyo
Tusubiri shots; mchawi tutamjua. Au kama kuna ukweli, basi tusubiri kuumbuka mdogo anguUmeona aliyetajwa kusambaza stori zetu? [emoji38]
Yah sureTusubiri shots; mchawi tutamjua. Au kama kuna ukweli, basi tusubiri kuumbuka.
Lala πππHatujamaliza wanathimbaaa
Hatujamaliza na mama pasta
Twasubiri screenshot π
Mdogo ako Coca naye si unamjua; akija hapa anaanza kujibu comments za majuzi kwanzaYah sure
Watusaidie hizo screenshot aisee
Duh aiseeNi yeye mwenyewe, tena mie ningetaka kusema ningesema mapema, ila nilkua namuheshimu mama malezi,
Nilipata ubuyuu kwa member mwingine kabisa kuwa mama malezi kadate na yule babuu, had secrenshots alinipa.
Nkawa najisemea iko siku litalipuka hili ndo tutajua rangi halisi za watu. Kuhusu wee hapana, ila mama malezi ndo nilikua najua.
Hatujamaliza ahhhLala πππ
Kataanza juu mlimaniπMdogo ako Coca naye si unamjua; akija hapa anaanza kujibu comments za majuzi kwanza
πππ nilikuwa namuona wa maana kumbe fyuzi zimeachia umeme mdogo[emoji23][emoji23][emoji23] lakinj kuna kipindi zamani mlikua mnachat sana mkawa marafiki
Ungeniacha πππUngemkubalia tu
πππ keshoHatujamaliza ahhh
Lete screenshot
Mkileta ntawapa ubuyu mpya mzurizuri mnaopenda kusikiaπ€£
Penseli huyo πππWe mdudu wa bunju lala bwanaπ
Au unapenda umbea? π€£
Hivi huyu mdudu ndo nani?
Asije kuwa anatuchoraπ
KumbeπPenseli huyo πππ
Mkizileta kesho na mimi ubuyu hadi mwakaniπππ kesho