Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Umeona aliyetajwa kusambaza stori zetu? 😆Ndiyo nimeamka hapa, zitanikuta hapahapa mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona aliyetajwa kusambaza stori zetu? 😆Ndiyo nimeamka hapa, zitanikuta hapahapa mbona
AmenDamu ya Yesu itulinde wote tulale salama [emoji120]
😂😂😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mjanja huyo
Tusubiri shots; mchawi tutamjua. Au kama kuna ukweli, basi tusubiri kuumbuka mdogo anguUmeona aliyetajwa kusambaza stori zetu? [emoji38]
Yah sureTusubiri shots; mchawi tutamjua. Au kama kuna ukweli, basi tusubiri kuumbuka.
Lala 😂😂😂Hatujamaliza wanathimbaaa
Hatujamaliza na mama pasta
Twasubiri screenshot 😂
Mdogo ako Coca naye si unamjua; akija hapa anaanza kujibu comments za majuzi kwanzaYah sure
Watusaidie hizo screenshot aisee
Duh aiseeNi yeye mwenyewe, tena mie ningetaka kusema ningesema mapema, ila nilkua namuheshimu mama malezi,
Nilipata ubuyuu kwa member mwingine kabisa kuwa mama malezi kadate na yule babuu, had secrenshots alinipa.
Nkawa najisemea iko siku litalipuka hili ndo tutajua rangi halisi za watu. Kuhusu wee hapana, ila mama malezi ndo nilikua najua.
Hatujamaliza ahhhLala 😂😂😂
Kataanza juu mlimani😂Mdogo ako Coca naye si unamjua; akija hapa anaanza kujibu comments za majuzi kwanza
😂😂😂 nilikuwa namuona wa maana kumbe fyuzi zimeachia umeme mdogo[emoji23][emoji23][emoji23] lakinj kuna kipindi zamani mlikua mnachat sana mkawa marafiki
Ungeniacha 😂😂😂Ungemkubalia tu
😂😂😂 keshoHatujamaliza ahhh
Lete screenshot
Mkileta ntawapa ubuyu mpya mzurizuri mnaopenda kusikia🤣
Penseli huyo 😂😂😂We mdudu wa bunju lala bwana😂
Au unapenda umbea? 🤣
Hivi huyu mdudu ndo nani?
Asije kuwa anatuchora😂
Kumbe😂Penseli huyo 😂😂😂
Mkizileta kesho na mimi ubuyu hadi mwakani😂😂😂 kesho