DOKEZO TAHADHARI: Afisa TRA ahatarisha maisha ya wakazi Mbezi Juu Kwa Sanya kwa kujenga ghorofa 4 bila kibali, kwenye msingi dhaifu wa nyumba ya chini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Acha nchi ifunguliwe
 
Kama umeishi US ndio huyo aliyesoma HGL akiamua anaweza kuwa Daktari.
Unajua kwanini US inaitwa the land of opportunities?
Kama unakaa mswekeni huwezi kuelewa
US sijaishi ila naelewa Mifumo ya maisha ya kule nina watu wangu wa karibu wanaishi huko karibu kila siku nawasiliana nao.
 
Kwa hiyo unamaanisha Bongo aliyesoma HGL hawezi kuwa Daktari akiamua?
Ata ukiamua nafasi ya kufikia ndoto zako ni hafifu.prof waliojaa chuki wanataka wawe wao tu hawataki kufungua njia kwa wengine.
Mdogo wangu alifelishwa muhimbili kisa chuki za prof , kaenda US kuanza upya mbona amemaliza na kazi anafanya uko uko ina maana muhimbili unv ni bora kuliko John Hopkins unv?
 
Hawa washenzi ndio wanabambikia watu kodi za bilioni 30 kwenye kontena za vitenge mbwa hawa.., aeleze pesa katoa wapi mbwa huyo!
 
Mimi nipo kwenye hii kada ya ujenzi, kwahiyo nitakachokujibu naomba uniamini. Ukijenga jengo refu kama hilo bila kibali, kinachotakiwa kufanyika ni kulivunja kwanza, halafu ndio uanze kutoa hayo maelezo ya michoro nk.

Au laaa, utoe rushwa ya kueleweka, yaani rushwa kubwa. Maana watu wanaweza kufa hapo.

Nimemaliza na sitaki maswali.
 
Mawazo ya kipimbi haya! Wahasibu wangapi wameajiriwa TRA?
 
Peleka pua ndo utajua ugumu au wepesi wake, maneno ya kulialia hayabadili chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…