Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Hatari sana maisha yenyewe magumu alafu mtu anataka kupiga hivihiviPale tapeli mwenye certificate anapokutana na tapeli mwenye PhD!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana maisha yenyewe magumu alafu mtu anataka kupiga hivihiviPale tapeli mwenye certificate anapokutana na tapeli mwenye PhD!
Hakujua kila nilikuwa na sababu ya kumuomba anitajie Hadi mtaa anakoishi pia hakujua kuwa Hadi wazazi wake nimeshawajuaAsee huo mtego asingeunasua daah!
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16]Vile matapeli wa JF wanavyochungulia huu uzi![emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1882736
😂😂😂😂😂😂 Watajijua wenyeweVile matapeli wa JF wanavyochungulia huu uzi!😁😁😁
View attachment 1882736
Wewe acha kwanza kumfundisha dada mpole Simara umbea!😄😄😄Asee huo mtego asingeunasua daah!
Vile Matapeli wa jf wanavyojificha kwenye vivuli vya kujidai ni watoa msaadaView attachment 1882739
Hivi Behaviourist wewe ni me au keVile matapeli wa JF wanavyochungulia huu uzi!😁😁😁
View attachment 1882736
Kunao uwezekano ww nitapeli, possibly upo hapa hapa bongo bt unatafuta hizo fines na ela za usumbufu kwa kushirikiana na wenzio kuanzia dhl mpk huko police kuhakikisha unapata chochote cha usumbufu.Wakuu habari za Mchana huko home Tanzania,
Naomba kwenda kwenye mada husika hapo Kama kichwa Cha habari kisemavyo, Ndugu zangu mnakumbuka kwa wale mliopitia uzi wangu wa "kijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira" vifaa Kama camera na laptop, niliweka ule uzi sio nikiwa namaanisha kabisa na sikuwa nadanganya, baada mda nilisoma mabandiko ya vijana waliotaka niwape vifaa hivyo.
Baada ya mda fulani nilichuja mabandiko ikatokea kijana mmoja akaja kwa kilio kweli mpaka nikamwonea huruma kulingana na alivyonipa story za maisha Kama mnavyojua nami pia hapa nilipo ni kwa sababu ya msaada kutoka kwa watu na Kama mnakumbuka Kuna uzi wangu humu story ya kutoka Singida to dar kwa kutafuta kupata msaada wa elimu.
Basi kijana alitiririka vizuri nikapendwa na kufurahia nikaona isiwe tabu ngoja tuone tinawezaje kuionuana, nilifunga baadhi ya vifaa na kutaka kupima Imani yake vizuri kwanza nilichukua camera mbili laptop 1 heavy na baadhi ya taa na vitu vingine nikavifungasha kutokea Canberra ofsi ya DHL gharama zote juu yangu yeye ni kwenda kupokea tu.
Kweli vifaa vilifika salama kabisa akaenda kuvichukua na akakabidhiwa Ila kwa mtego wa Hali ya juu amekaa na vifaa hivyo week mbili sasa bila kuanza kazi na akaanza kuvitafutia soko la kuviuza, kwa bahati nzuri katika mitego yangu yote kajitokeza jamaa ambae ni moja ya watu niliokuwa nimewatega kajifanya kuvinunua nae kwa ujinga akaruhusu kumpa jamaa kwa kuahidiwa kuwa jioni ya Leo apitie pesa yote.
Baada ya kupewa ahadi hiyo jamaa akaenda kukata tiketi ya kesho kwenda Geita coz kwa Imani yake fedha ya kuanzia maisha anayo lakini mda wa kurudi Kama saa 5 na madakika akitokea kukata ticket now kawekwa mikono salama, atalipa fedha zote za usumbufu wa usafirishaji wa vifaa na Mambo mengine.
Huyu kijana ni member humu na baada ya taratibu zingine kukamilika nitapandisha uzi kwa kila hatua na mazungumzo yote jinsi ilivyokuwa Hadi kufikia Leo dogo yupo lockup.
My take: vijana mjitahidi kusoma alama za nyakati si kila mtu ni mzembe kiivyo na mpumbavu kiasi kwamba una uwezo wa kufanya chochote wengine sisi katika maisha yetu ya mateso tumejifunza mengi na kufuzu vingi kuliko elimu ya darasani, Mungu awasaidie mtoke kwenye ujinga na kwenda nuruni tupo tayari kuwasaidia lakini hatupo tayari kwa watu wazembe kiasi hiki, Mungu anawapenda mno.
"Kijana geuka"
Nilikuwa nimeemuulz uyo aliyesema alitaka kutapeliwa kule kwenye jukwaa la ajira na tenda,I think nimekosea kutag sorry!!!Tuambie alitaka kukutapeli kutapeli kivipi na sisi tujue jinsi ya kuepukana nae.
Mkuu ni maelezo marefu ila nishayaanda,vipi niweke kama uzi au hapa hapa katika comments?Sama
Nilikuwa nimeemuulz uyo aliyesema alitaka kutapeliwa kule kwenye jukwaa la ajira na tenda,I think nimekosea kutag sorry!!!
Kuna kuna jamaa alitapeliwa namba ya wakala wa 1xbet akamtumia tapeli 30000Jf ndio mtandao unaongoza kwa matapeli na wababaishaji binafsi ni nilishawahi tapeliwa humu kipindi najiunga nilikuwa naona Kila member humu ni ana hela
Mwezi uliopita kuna
Bidhaa nilikuwa naitafuta humu akajitokeza jamaa anasema anayo kuja kunitajia Bei nikakuta anauza Bei ya chini sana nikashtuka