TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Vile matapeli wa JF wanavyochungulia huu uzi!😁😁😁
7543.jpg
 
Ila chief katika ule uzi nilisema toa namba ili tuone nakuunganishaje na jamaa ambaye yeye hayo ndiyo maisha yake ukawa unasema unataka kwanza maelezo ndiyo utoe namba.

Hata baada ya kukuambia maelezo yatakuja kwenye namba ukagoma. Na kuna siku ukasema umeghairi kwakua umeona watu hawapo serious.

Kusema kweli mimi huu uzi nauamini kwa asilimia 30. Mpaka utakapoleta ushahidi wote ndipo zitaongezeka.
 
Wakuu habari za Mchana huko home Tanzania,

Naomba kwenda kwenye mada husika hapo Kama kichwa Cha habari kisemavyo, Ndugu zangu mnakumbuka kwa wale mliopitia uzi wangu wa "kijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira" vifaa Kama camera na laptop, niliweka ule uzi sio nikiwa namaanisha kabisa na sikuwa nadanganya, baada mda nilisoma mabandiko ya vijana waliotaka niwape vifaa hivyo.

Baada ya mda fulani nilichuja mabandiko ikatokea kijana mmoja akaja kwa kilio kweli mpaka nikamwonea huruma kulingana na alivyonipa story za maisha Kama mnavyojua nami pia hapa nilipo ni kwa sababu ya msaada kutoka kwa watu na Kama mnakumbuka Kuna uzi wangu humu story ya kutoka Singida to dar kwa kutafuta kupata msaada wa elimu.

Basi kijana alitiririka vizuri nikapendwa na kufurahia nikaona isiwe tabu ngoja tuone tinawezaje kuionuana, nilifunga baadhi ya vifaa na kutaka kupima Imani yake vizuri kwanza nilichukua camera mbili laptop 1 heavy na baadhi ya taa na vitu vingine nikavifungasha kutokea Canberra ofsi ya DHL gharama zote juu yangu yeye ni kwenda kupokea tu.

Kweli vifaa vilifika salama kabisa akaenda kuvichukua na akakabidhiwa Ila kwa mtego wa Hali ya juu amekaa na vifaa hivyo week mbili sasa bila kuanza kazi na akaanza kuvitafutia soko la kuviuza, kwa bahati nzuri katika mitego yangu yote kajitokeza jamaa ambae ni moja ya watu niliokuwa nimewatega kajifanya kuvinunua nae kwa ujinga akaruhusu kumpa jamaa kwa kuahidiwa kuwa jioni ya Leo apitie pesa yote.

Baada ya kupewa ahadi hiyo jamaa akaenda kukata tiketi ya kesho kwenda Geita coz kwa Imani yake fedha ya kuanzia maisha anayo lakini mda wa kurudi Kama saa 5 na madakika akitokea kukata ticket now kawekwa mikono salama, atalipa fedha zote za usumbufu wa usafirishaji wa vifaa na Mambo mengine.

Huyu kijana ni member humu na baada ya taratibu zingine kukamilika nitapandisha uzi kwa kila hatua na mazungumzo yote jinsi ilivyokuwa Hadi kufikia Leo dogo yupo lockup.

My take: vijana mjitahidi kusoma alama za nyakati si kila mtu ni mzembe kiivyo na mpumbavu kiasi kwamba una uwezo wa kufanya chochote wengine sisi katika maisha yetu ya mateso tumejifunza mengi na kufuzu vingi kuliko elimu ya darasani, Mungu awasaidie mtoke kwenye ujinga na kwenda nuruni tupo tayari kuwasaidia lakini hatupo tayari kwa watu wazembe kiasi hiki, Mungu anawapenda mno.

"Kijana geuka"
Kunao uwezekano ww nitapeli, possibly upo hapa hapa bongo bt unatafuta hizo fines na ela za usumbufu kwa kushirikiana na wenzio kuanzia dhl mpk huko police kuhakikisha unapata chochote cha usumbufu.

Inshort dogo ameingia ktk mikono ya tapeli makini, japo kunao uwezekano dogo sitapeli ila alihtaj ela yakuanzia maisha.
 
Jf ndio mtandao unaongoza kwa matapeli na wababaishaji binafsi ni nilishawahi tapeliwa humu kipindi najiunga nilikuwa naona Kila member humu ni ana hela

Mwezi uliopita kuna
Bidhaa nilikuwa naitafuta humu akajitokeza jamaa anasema anayo kuja kunitajia Bei nikakuta anauza Bei ya chini sana nikashtuka
 
Huko alipo lock up naamuru aliwe jicho ili asirudie ungese wake pindi atakaporudi uraiani.
Tumechoka kuishi na watu wajinga kama hao.
 
Sama
Nilikuwa nimeemuulz uyo aliyesema alitaka kutapeliwa kule kwenye jukwaa la ajira na tenda,I think nimekosea kutag sorry!!!
Mkuu ni maelezo marefu ila nishayaanda,vipi niweke kama uzi au hapa hapa katika comments?
 
Jf ndio mtandao unaongoza kwa matapeli na wababaishaji binafsi ni nilishawahi tapeliwa humu kipindi najiunga nilikuwa naona Kila member humu ni ana hela

Mwezi uliopita kuna
Bidhaa nilikuwa naitafuta humu akajitokeza jamaa anasema anayo kuja kunitajia Bei nikakuta anauza Bei ya chini sana nikashtuka
Kuna kuna jamaa alitapeliwa namba ya wakala wa 1xbet akamtumia tapeli 30000
 
Back
Top Bottom