TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Jf ndio mtandao unaongoza kwa matapeli na wababaishaji binafsi ni nilishawahi tapeliwa humu kipindi najiunga nilikuwa naona Kila member humu ni ana hela

Mwezi uliopita kuna
Bidhaa nilikuwa naitafuta humu akajitokeza jamaa anasema anayo kuja kunitajia Bei nikakuta anauza Bei ya chini sana nikashtuka
Ha ha ha
 
Dah vijana tunafeli wapi aise ..mkuu kwenye hizi harakati za maisha bana unaweza kuwa na huruma sana ukajikuta unatenda dhambi au kujiletea matatizo mengine.

Vijana wengi hatuko serious na pia tumejaa uwongo uwongo mwingi sana kiasi kwamba haya unashindwa tena kupata msaada. Hakika mkuu Ugumu wangu umenifunza mengi sana..
 
Siyo kwamba ulitaka jamaa umuingize mkenge aumie mkuu? Kama ulikuwa na dhamira mbaya ya kumtega mtu na ubaya huo ukurudie
 
Vile matapeli wa JF wanavyochungulia huu uzi![emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1882736
Wanasikilizia kama lists ya matapeli wote watatajwa.

Lakini hii mada ina utata fulani kuna maswali mengi najiuliza.
1. Huyo mtu hamjuani ulijiamini vipi kumpatia hivyo vitu?

2. Ulitumia mtego gani wa kumnasa mtu ambaye yuko nchi nyingine?

3. Alitaka kuviuza hivyo vitu lakini akapatana na mteja ambaye ni rafiki yako, what if angepata mteja ambaye humfahamu ungefanyaje?
 
Kunao uwezekano ww nitapeli, possibly upo hapa hapa bongo bt unatafuta hizo fines na ela za usumbufu kwa kushirikiana na wenzio kuanzia dhl mpk huko police kuhakikisha unapata chochote cha usumbufu. Inshort dogo ameingia ktk mikono ya tapeli makini, japo kunao uwezekano dogo sitapeli ila alihtaj ela yakuanzia maisha.
Endelea kukariri
 
A
Wanasikilizia kama lists ya matapeli wote watatajwa.
Lakini hii mada ina utata fulani kuna maswali mengi najiuliza.
1.Huyo mtu hamjuani ulijiamini vipi kumpatia hivyo vitu?
2.Ulitumia mtego gani wa kumnasa mtu ambaye yuko nchi nyingine?
3.Alitaka kuviuza hivyo vitu lakini akapatana na mteja ambaye ni rafiki yako,what if angepata mteja ambaye humfahamu ungefanyaje?
Ahsante
 
Hizo zipo kwa ajili yangu na sikuwa nauza isipokuwa nilitaka mtu mwenye ulewa kufanya kazi tugawane mimi kutoa vifaa na yeye kuweka ujuzi

ina maana wewe huna ndugu wa kumshirikisha hii biashara yako huna marafiki had uje kutafuta mtu usiemjua uku mitandaoni[emoji28][emoji28]

wewe ni tapeli mkuu ila wajinga hawaishi utawapata tu[emoji41]
 
Back
Top Bottom