TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Huyu jamaa hamna kitu. Sijasoma alichoandika najua ni uongo asilimia zote. Ukipitia kwenye uzi wake wa kuwa na vifaa vya camera Ulaya anatafuta partner utaona mwishoni nilivyomkataa kiaina mpaka leo naamini ni tapeli bahati nzuri sipendi unafiki.

Pitia uzi wake ule uone alivyo mzungushaji, kila aliyeenda PM hawakuelewana ana visababu vingi. Pitia watu walivyoanza kutaka kumuagiza vifaa vya kompyuta, laptops, etc.

#MsisemeHamjambiwa
Mi ndo ninachosema kwamba hata yeye hakua katika namna ya kutaka ishu ifanikiwe.

Ila kwakua kasema ana ushahidi ngoja auoneshe.

Memba mmoja Isanga family amesema anaweza akawa ana id tofauti so anaipa kesi moja.

Akianza kuweka ushahidi na hilo litaangaliwa
 
Vijana wengine ni wachawi kwa vijana wao, ila ndo wanaoaminika kwa sababu wanatumiaushawishi mwisho wanaoshawishiwa wanajikuta wakipigwa,mngempiga hata makofi mawili hivi akitoka hapo akamuonyeshe girl friend wake ?
 
Back
Top Bottom