TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

Dah! Huu uzi umenikumbusha machungu ya mwaka 2019.
Kuna member anaitwa Tripp

Ebhana huyu jamaa na mwenzie walinitapeli laptop na pesa kwa kuniuzia kifaa kibovu na ningekaa vibaya wangepiga 1M+ ya kununua camera.

Hawa niliwalea kama wanangu kwa weeek nzima niliyokua dar. Pesa na laptop hainiumi sana zaidi ya buku nilizotuma zaidi ya mara moja ya kununua umeme kwa ajili ya kupasi nguo kwa ajili ya kwenda kwenye kazi, imeniuma kwa sababu kile kidogo nilichokituma kilikua na thaman sana kwake coz alikua anakihitaji sana kwa wakati ule.

Pia kabla hatujakutana na hatujuani vizuri, ni kuongea tu kwenye simu week mbili za mwanzo alinijulisha kufungiwa ofisi yake na TRA
nikaingiwa na huruma nikamtumia elfu 30 angalia hatujuani vizuri, inaniuma sana na naamini hio pesa kwa wakati ule ilikua na thamani sana sababu alihiitaji sana, na bado walinitapeli.

Sikuona sababu ya kupoteza mda wangu kuwafatilia, coz pesa inatafutwa.
 
Wakuu habari za Mchana huko home Tanzania,

Naomba kwenda kwenye mada husika hapo Kama kichwa Cha habari kisemavyo, Ndugu zangu mnakumbuka kwa wale mliopitia uzi wangu wa "kijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira" vifaa Kama camera na laptop, niliweka ule uzi sio nikiwa namaanisha kabisa na sikuwa nadanganya, baada mda nilisoma mabandiko ya vijana waliotaka niwape vifaa hivyo.

Baada ya mda fulani nilichuja mabandiko ikatokea kijana mmoja akaja kwa kilio kweli mpaka nikamwonea huruma kulingana na alivyonipa story za maisha Kama mnavyojua nami pia hapa nilipo ni kwa sababu ya msaada kutoka kwa watu na Kama mnakumbuka Kuna uzi wangu humu story ya kutoka Singida to dar kwa kutafuta kupata msaada wa elimu.

Basi kijana alitiririka vizuri nikapendwa na kufurahia nikaona isiwe tabu ngoja tuone tinawezaje kuionuana, nilifunga baadhi ya vifaa na kutaka kupima Imani yake vizuri kwanza nilichukua camera mbili laptop 1 heavy na baadhi ya taa na vitu vingine nikavifungasha kutokea Canberra ofsi ya DHL gharama zote juu yangu yeye ni kwenda kupokea tu.

Kweli vifaa vilifika salama kabisa akaenda kuvichukua na akakabidhiwa Ila kwa mtego wa Hali ya juu amekaa na vifaa hivyo week mbili sasa bila kuanza kazi na akaanza kuvitafutia soko la kuviuza, kwa bahati nzuri katika mitego yangu yote kajitokeza jamaa ambae ni moja ya watu niliokuwa nimewatega kajifanya kuvinunua nae kwa ujinga akaruhusu kumpa jamaa kwa kuahidiwa kuwa jioni ya Leo apitie pesa yote.

Baada ya kupewa ahadi hiyo jamaa akaenda kukata tiketi ya kesho kwenda Geita coz kwa Imani yake fedha ya kuanzia maisha anayo lakini mda wa kurudi Kama saa 5 na madakika akitokea kukata ticket now kawekwa mikono salama, atalipa fedha zote za usumbufu wa usafirishaji wa vifaa na Mambo mengine.

Huyu kijana ni member humu na baada ya taratibu zingine kukamilika nitapandisha uzi kwa kila hatua na mazungumzo yote jinsi ilivyokuwa Hadi kufikia Leo dogo yupo lockup.

My take: vijana mjitahidi kusoma alama za nyakati si kila mtu ni mzembe kiivyo na mpumbavu kiasi kwamba una uwezo wa kufanya chochote wengine sisi katika maisha yetu ya mateso tumejifunza mengi na kufuzu vingi kuliko elimu ya darasani, Mungu awasaidie mtoke kwenye ujinga na kwenda nuruni tupo tayari kuwasaidia lakini hatupo tayari kwa watu wazembe kiasi hiki, Mungu anawapenda mno.

"Kijana geuka"
Mkuu,Natamani kusikia stori hii zaidi,Nakumbuka uzi wako.Ujanja ujana mwingi sana Tanzania.
 
Dah! Huu uzi umenikumbusha machungu ya mwaka 2019.
Kuna member anaitwa Tripp

Ebhana huyu jamaa na mwenzie walinitapeli laptop na pesa kwa kuniuzia kifaa kibovu na ningekaa vibaya wangepiga 1M+ ya kununua camera.

Hawa niliwalea kama wanangu kwa weeek nzima niliyokua dar. Pesa na laptop hainiumi sana zaidi ya buku nilizotuma zaidi ya mara moja ya kununua umeme kwa ajili ya kupasi nguo kwa ajili ya kwenda kwenye kazi, imeniuma kwa sababu kile kidogo nilichokituma kilikua na thaman sana kwake coz alikua anakihitaji sana kwa wakati ule.

Pia kabla hatujakutana na hatujuani vizuri, ni kuongea tu kwenye simu week mbili za mwanzo alinijulisha kufungiwa ofisi yake na TRA
nikaingiwa na huruma nikamtumia elfu 30 angalia hatujuani vizuri, inaniuma sana na naamini hio pesa kwa wakati ule ilikua na thamani sana sababu alihiitaji sana, na bado walinitapeli.

Sikuona sababu ya kupoteza mda wangu kuwafatilia, coz pesa inatafutwa.
Mitandaoni kuna utapeli mwingi sana.Are you Gulible?
 
Sio kila mtu ana fake maisha mzee najua nilivyohangaika mwenyewe elimu kitaa imenifunza mengi

WEWE ni tapeli full stop, progress ya story zako ni uongo mtu! Too good to be true, umesumbua vijana wa watu kujieleza, then Hakuna lolote!
 
Wakuu habari za Mchana huko home Tanzania,

Naomba kwenda kwenye mada husika hapo Kama kichwa Cha habari kisemavyo, Ndugu zangu mnakumbuka kwa wale mliopitia uzi wangu wa "kijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira" vifaa Kama camera na laptop, niliweka ule uzi sio nikiwa namaanisha kabisa na sikuwa nadanganya, baada mda nilisoma mabandiko ya vijana waliotaka niwape vifaa hivyo.

Baada ya mda fulani nilichuja mabandiko ikatokea kijana mmoja akaja kwa kilio kweli mpaka nikamwonea huruma kulingana na alivyonipa story za maisha Kama mnavyojua nami pia hapa nilipo ni kwa sababu ya msaada kutoka kwa watu na Kama mnakumbuka Kuna uzi wangu humu story ya kutoka Singida to dar kwa kutafuta kupata msaada wa elimu.

Basi kijana alitiririka vizuri nikapendwa na kufurahia nikaona isiwe tabu ngoja tuone tinawezaje kuionuana, nilifunga baadhi ya vifaa na kutaka kupima Imani yake vizuri kwanza nilichukua camera mbili laptop 1 heavy na baadhi ya taa na vitu vingine nikavifungasha kutokea Canberra ofsi ya DHL gharama zote juu yangu yeye ni kwenda kupokea tu.

Kweli vifaa vilifika salama kabisa akaenda kuvichukua na akakabidhiwa Ila kwa mtego wa Hali ya juu amekaa na vifaa hivyo week mbili sasa bila kuanza kazi na akaanza kuvitafutia soko la kuviuza, kwa bahati nzuri katika mitego yangu yote kajitokeza jamaa ambae ni moja ya watu niliokuwa nimewatega kajifanya kuvinunua nae kwa ujinga akaruhusu kumpa jamaa kwa kuahidiwa kuwa jioni ya Leo apitie pesa yote.

Baada ya kupewa ahadi hiyo jamaa akaenda kukata tiketi ya kesho kwenda Geita coz kwa Imani yake fedha ya kuanzia maisha anayo lakini mda wa kurudi Kama saa 5 na madakika akitokea kukata ticket now kawekwa mikono salama, atalipa fedha zote za usumbufu wa usafirishaji wa vifaa na Mambo mengine.

Huyu kijana ni member humu na baada ya taratibu zingine kukamilika nitapandisha uzi kwa kila hatua na mazungumzo yote jinsi ilivyokuwa Hadi kufikia Leo dogo yupo lockup.

My take: vijana mjitahidi kusoma alama za nyakati si kila mtu ni mzembe kiivyo na mpumbavu kiasi kwamba una uwezo wa kufanya chochote wengine sisi katika maisha yetu ya mateso tumejifunza mengi na kufuzu vingi kuliko elimu ya darasani, Mungu awasaidie mtoke kwenye ujinga na kwenda nuruni tupo tayari kuwasaidia lakini hatupo tayari kwa watu wazembe kiasi hiki, Mungu anawapenda mno.

"Kijana geuka"
Wakuu habari za Mchana huko home Tanzania,

Naomba kwenda kwenye mada husika hapo Kama kichwa Cha habari kisemavyo, Ndugu zangu mnakumbuka kwa wale mliopitia uzi wangu wa "kijana wa kitanzania nishawishi nikupe ajira" vifaa Kama camera na laptop, niliweka ule uzi sio nikiwa namaanisha kabisa na sikuwa nadanganya, baada mda nilisoma mabandiko ya vijana waliotaka niwape vifaa hivyo.

Baada ya mda fulani nilichuja mabandiko ikatokea kijana mmoja akaja kwa kilio kweli mpaka nikamwonea huruma kulingana na alivyonipa story za maisha Kama mnavyojua nami pia hapa nilipo ni kwa sababu ya msaada kutoka kwa watu na Kama mnakumbuka Kuna uzi wangu humu story ya kutoka Singida to dar kwa kutafuta kupata msaada wa elimu.

Basi kijana alitiririka vizuri nikapendwa na kufurahia nikaona isiwe tabu ngoja tuone tinawezaje kuionuana, nilifunga baadhi ya vifaa na kutaka kupima Imani yake vizuri kwanza nilichukua camera mbili laptop 1 heavy na baadhi ya taa na vitu vingine nikavifungasha kutokea Canberra ofsi ya DHL gharama zote juu yangu yeye ni kwenda kupokea tu.

Kweli vifaa vilifika salama kabisa akaenda kuvichukua na akakabidhiwa Ila kwa mtego wa Hali ya juu amekaa na vifaa hivyo week mbili sasa bila kuanza kazi na akaanza kuvitafutia soko la kuviuza, kwa bahati nzuri katika mitego yangu yote kajitokeza jamaa ambae ni moja ya watu niliokuwa nimewatega kajifanya kuvinunua nae kwa ujinga akaruhusu kumpa jamaa kwa kuahidiwa kuwa jioni ya Leo apitie pesa yote.

Baada ya kupewa ahadi hiyo jamaa akaenda kukata tiketi ya kesho kwenda Geita coz kwa Imani yake fedha ya kuanzia maisha anayo lakini mda wa kurudi Kama saa 5 na madakika akitokea kukata ticket now kawekwa mikono salama, atalipa fedha zote za usumbufu wa usafirishaji wa vifaa na Mambo mengine.

Huyu kijana ni member humu na baada ya taratibu zingine kukamilika nitapandisha uzi kwa kila hatua na mazungumzo yote jinsi ilivyokuwa Hadi kufikia Leo dogo yupo lockup.

My take: vijana mjitahidi kusoma alama za nyakati si kila mtu ni mzembe kiivyo na mpumbavu kiasi kwamba una uwezo wa kufanya chochote wengine sisi katika maisha yetu ya mateso tumejifunza mengi na kufuzu vingi kuliko elimu ya darasani, Mungu awasaidie mtoke kwenye ujinga na kwenda nuruni tupo tayari kuwasaidia lakini hatupo tayari kwa watu wazembe kiasi hiki, Mungu anawapenda mno.

"Kijana geuka"
Pengine wakati utatusuta. Watanzania wengi hatuaminiki. Yani kuna wakati tunaiba hata kama wizi haukusaidii. Ni kama hulka hivi.
 
Naungana na wote wanasema huyu jamaa ni tapeli. Nina sababu kama tano zenye mashiko kuwa wanatafuta watu wa kupigwa tena sio uzi huu hapa peke yake, nyuzi nyingi na comments za huyu mwamba ni utapeli kwenye maandalizi

Nishaonya watu kuwa kuna mtu anadai yuko nje na kuna mwingine anadai yuko Uarabuni watakuja katapeli watu. Kwenye nyuzi za utapeli nikiwa nataja wawili wale mmojawapo ni huyu OP

Kaveli come on and see

Mkuu, ahsante kwa kunishtua.

I assure you mleta mada ni tapeli mchanga, hajafuzu bado. Mduwanzi tu.

-Kaveli-
 
Nilitaka nikuhifadhi, ila no way. Wewe unaelekea 'kufuzu kozi' afu uanze kutusumbua na shuzi zenu mbofu mbofu ka za akina Parabora wa Uswisi ama yule mduwanzi PerDiem wa Norweeeyi.

Ngoja nikukaange kidogo...

1. Umeshahama Kiwalani (pale mtaa wa kijiwe Samli)?

2. Yule mdada wa jf (username yake inaanzia Di.......) ulimfanyia tukio gani pale maeneo ya Ofisi za UDART Jangwani? nusura akupeleke polisi na hadi leo unamuomba sana asiianike hiyo inshu hapa jf.

3. Yule jamaa muuza furniture pale Keko (somebody J H), umeshafanikiwa kumuingiza king ule mchongo wako fekero wa 'fenicha mtumba' za ughaibuni?

4. Why una WhatsApp Numbers nne za nchi tofauti tofauti ambazo unawapa watu humu jf?

If you think that you are behind a concrete 'camoufrage', you are totally wrong with your thinking. I can assure you... you are just as bare as foot!

Tumechoka na matapeli uchwara wa jf. Picha linakuja... soonest mtafurahia show. Tapeliz wote wa Jf (na washirika wenu wote) jiandaeni kisaikolojia.

Mmeshupaza shingo kitambo hapa jf, sasa tunaanza 'kubetua stuli'. 😎

-Kaveli-
 
Back
Top Bottom