TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

TAHADHARI: Kuna matapeli! Fuata taratibu hizi...

...huyu manzi analeta mbogamboga tu hapa!...eti anajidai 120000 si pesa mingi wakati anaungaunga buku buku za maziwa toka Makongo hadi Kimara!
...kweli ujinga kipaji!
 
Ulimpa pesa jumapili tena hapo na matusi ulitukanwa yote na hiyo pesa alienda kunywea viroba na mtoto mzuri pembeni yake huku akikuita jina na kukutusi wewe leo unaogopo kuweka id yake?
 
Ungeitaja hiyo ID yakee, japo kubadili ni rahisi lakini hata akiuptia huu uzi akaona katajwa ataona aibu kivyake vyake,..anaweza hata akaona jf chungu!

Hawa matapeli tusiwafiche maana pia anaweza hata asibadili akamtapeli mwingine humu kwa kutumia ID hiyo hiyo...
 
Kama una roho ya huruma na ubinadamu na kuwaamini wengine ni rahisi sana kufanya kosa kama hilo la kiufundi hasa ukizingatia ushawahi kufika hadi kwake. Wengi tumefanya makosa kama hayo kwa namna tofauti lkn haitufanyi tuvunjike moyo wa kuwasaidia wengine bila kujali ni matapeli au laa! Kwa imani ni kwamba hutakula haki ya mtu bila kulipa! He will surely pay the price of his actions before his funeral and after.
Si tu kwamba unautashi mkubwa, bali unafahamu maisha, binadamu namna ya kuishi na watu, kumsaidia mtu sio kosa, "watu wanaona kumuazima mtu hela ni ajabu, sijui ni ugumu wa maisha au kutoizea pesa"


Nimewah kufika kwake mara 1 na hata sipakumbuki tena, hii dunia na Mungu yupo atahamua kwa haki.
 
Si tu kwamba unautashi mkubwa, bali unafahamu maisha, binadamu namna ya kuishi na watu, kumsaidia mtu sio kosa, "watu wanaona kumuazima mtu hela ni ajabu, sijui ni ugumu wa maisha au kutoizea pesa"


Nimewah kufika kwake mara 1 na hata sipakumbuki tena, hii dunia na Mungu yupo atahamua kwa haki.
Nikupe moyo tu kuwa hujapoteza kitu, bali lillilokutokea ni moja ya kumbukumbu katika safari yako ya mafanikio., kutapeliwa na huyo mmoja kusikufanye kuwa na moyo mgumu wa kusaidia wengine bali kuwe ni chachu ya ww kuwa makini zaidi kesho.

Neno la imani ninalokupa leo ni kuwa umsamehe bure!. Mm nishapoteza milioni 2.3 kwakumuamini mtu ambaye kipndi cha nyuma nilikuwa namsimamia kikazi, na pia alikuwa ni surbodonate ambaye nilimuamini sana hata nikamfanya kuwa rafiki yangu.

Pamoja na yote nilimsamehe kabisa na hata nikimkuta na shida nipo tayari kumsaidia na hata nikionana naye nitacheka naye bila kinyongo. Thats life
 
Nikupe moyo tu kuwa hujapoteza kitu, bali lillilokutokea ni moja ya kumbukumbu katika safari yako ya mafanikio., kutapeliwa na huyo mmoja kusikufanye kuwa na moyo mgumu wa kusaidia wengine bali kuwe ni chachu ya ww kuwa makini zaidi kesho. Neno la imani ninalokupa leo ni kuwa umsamehe bure!. Mm nishapoteza milioni 2.3 kwakumuamini mtu ambaye kipndi cha nyuma nilikuwa namsimamia kikazi, na pia alikuwa ni surbodonate ambaye nilimuamini sana hata nikamfanya kuwa rafiki yangu. Pamoja na yote nilimsamehe kabisa na hata nikimkuta na shida nipo tayari kumsaidia na hata nikionana naye nitacheka naye bila kinyongo. Thats life
Pasi kuficha mim nilishasamehe kabisa nilichukulia uenda mtu kakwama, maana ni karibu miez 5, Nilipogundua ni tapeli kama matapeli wengine nikamwambia nitakurusha kwenye mitandao watu wakujue ndio akakimbilia polisi kuwa nimemtukana, sasa sijui hao polisi wanaokumbatia matapeli wanaashiria nin.
 
Ngoja nikiseme nami nilichogundua katika thread hii, kwanza kabisa sitaki kumpa pole kwa ili jambo.

Amesema bi dada huyu mtu walitafutana kwa ajili ya kuuziana maziwa kwa siku mbili mfululuzo hivi alikuwa akimlipa bila shida note hiyo siku ambayo anaenda kukopwa hakuwa amefika kwa huyi mteja kwa maana alikuwa hapajui akaelekezwa akaenda kwa mara ya kwanza note dot halafu hapohapo huyu bi dada akiwa ana mjibu Tarakilishi anasema " Nimewah kufika kwake mara 1 na hata sipakumbuki tena,'' hii kitu inawezekana kweli????


Kuna sehemu anatushangaa sisi tunaoona aliwezaje kumkopesha a stranger person pesa nyingi hivo kwa siku tatu tu za biashara zao tangu kuanza?? unga dot kama anaona yeye ni pesa ndogo kilichomleta hapa analilalia ni nini?? jiulize

Anadai alimtolea uvivu kwa kumpigia akiwa na marafiki zake jambo ambalo tapeli aliona kama ni matusi akampeleka polisi kwa binti huyu kudhalilisha utu wa tapeli na binti kuhaha na kutafuta wanasheria wanne kwa kesi hiyo note dot alitakiwa kufika polisi kuitikia wito wa polisi lakini kwa vile hakuwepo jijini aliahidi kufika akirudi je alifanya hivo?? kama alifanya hivyo ilikuwaje na kama hakwenda kwanini?? wakati mdai wake anamtafuta muda mrefu kama anavyodai?? unga dot

kwani hajatii sheria bila shuruti kuitikia wito wa polisi au wanasheria wako wanne ndo walikushauri kugomea wito?

nafasi ya kumtia mikoni mbay wako bado unazingua?
Binti anaona hiyo ni pesa ndogo kumsaidia mtu kama ni ndogo why unalialia hapa umetapeliwa? kama una moyo wa kusaidia kuna mtu kasema una ndugu ambae tunajua wanahitaji msaada wako why usiwasaidie hao hiyo pesa??


Kilichopo nyuma ya hii sinema ninachohisi

--- huyu dada atakuwa kamlia huyu tapeli vyake vingi sasa tapelu nae kampatia nafasi ya kumliza dada anaumua

--- mahusiano ya kimapenzi yapo baina yao dada anaogopa kutaja id ya tapeli kwa kuogopa uchafu wake kuwekwa wazi na tapeli

---Dada ni mdhaifu wa kudhibiti hisia zake za kimwili kingono anajikuta badala ya kufanya biashara ya maziwa anafanya biashara zote mbili

---Dada ni mwanafunzi wa chuo itakuwa kumbuka alipomtolea uvivu tapeli ati akiwa na marafiki zake

---kuna mengi sana katika tamthilia hii ukichunguza na kusoma comment zake na maswali ya wadau


Hakuna haja ya kuficha id na namba ya tapeli, humu ndani uenda kuna watu walishafanya nae biashara hivyo wana namba yake na wanafahamu anapokaa wakakusaidia kumshika tapeli maana wewe si umesema umesahau ulipochinjiwa kibudu

Siku nyingine usihadaike na mtu kutaja mil10 moyo ukakulipuka kwa kudhani ukimpa mwili wako utazipata hizo pesa

samahani kama nitakuwa nimekukwaza apologize lady
Si tu kwamba unautashi mkubwa, bali unafahamu maisha, binadamu namna ya kuishi na watu, kumsaidia mtu sio kosa, "watu wanaona kumuazima mtu hela ni ajabu, sijui ni ugumu wa maisha au kutoizea pesa"


Nimewah kufika kwake mara 1 na hata sipakumbuki tena, hii dunia na Mungu yupo atahamua kwa haki.
 
Hata nikikwambia ni nani haitasaidia kwakua akiona huu uzi lazima atabadili ID. Jambo kubwa kumjua kwa sura sio hzi fake ID
Utatusaidiaje Wote Humu Kumjua Kwa Sura?? Besides Pole, Ni Kma Roho Yako Ya Utu Imekuponza!!
 
Ndio mnavyotapeliwa hivyo kwa kusikiliza madili ya kwenye simu ya mabilioni ya escrow.

Samahani ila nimecheka kwa nguvu. Sasa kumkopesha mteja unaanzaje jamani na maziwa umeacha kwake? Kuwa makini siku utaitiwa nyumbani kwa mtejaa ukabakwe aisee
Mtu mwenyewe ukimuona hata huwezi kumzania, mazungumzo yake ni dili za mil 10 kuendelea, unaweza sema AC yake ina fedha za escrow kumbe shwain mkubwa, anatapeli watu kuishi mjini.
 
Mtu mwenyewe ukimuona hata huwezi kumzania, mazungumzo yake ni dili za mil 10 kuendelea, unaweza sema AC yake ina fedha za escrow kumbe shwain mkubwa, anatapeli watu kuishi mjini.
Mkuu
Huyo sio tapeli ni kibaka, mi mtu huyo sipeleki police natafuta wanaume 2 wamuowe live. Mana mambo yake ya kike, dume zima halitaki kazi utapeli tu.
 
Nimekumbuka uzi wa somebody MCHUMI... aliwasilisha mada kama hii akidai katapeliwa na akamtaja mtuhumiwa lakini mtuhumiwa alipojitokeza ikaonekana mlalamikaji ndo tapeli na walikuwa wamefikia mpaka hatua ya kupanga waonane ili wagegedane.

So hapa napo yawezekana kabisa panamuelekeo huo huo ndo maana hataki tuusikie upande wa pili.

Hivi mtu akutapeli 120K halafu ugome kutaja hata id achilia mbali kuweka namba ya mhusika? Kweli?

Na kama 120k siyo kitu then kulikuwa na ulazima gani kutuletea huku mambo ya Pm? Si ungevunga kama umeidondosha tu but since last year umemkomalia maanake ni kubwa kwako.

Kiuhalisia naona jamaa hajakutapeli bali kaenda kinyume na makubaliano yenu.

Mkuu wewe mtaje tu ikibidi na namba uweke,mbona kitomai alipoanikwa alipotea mazima na IDs zake zote zikabainika na zile mpya alizofungua zilikuwa zinabainika kirahisi tu.

Pasi kumtaja jamaa moja kwa moja hii siyo tahadhali bali ume-share nasi experience yako katika kutumia JF.

NI MTAZAMO TU.



Ha ha ha ha the world is cool and blind...

Kuna watu wapo up and determined out there wanawadanganya binadamy walio desperate in life...

Kuna demu mmoja namfahamu ni victim saaana anaendeshwaga na fantasies....


Watu kama hao huwa wana grab yeye na kusonga naye mbele anakuja elewa baadaye alafu inakuwa too late...


Mie huwa naamini in time so nobody will nail me...


Asee thanks for connecting my puzzle son!

This is fucking awesome!
 
Msimfikirie vibaya huyu dada, kuna wanawake wana roho ya huruma sana! Anaweza akakupa hela kama kwamba mumeshafahamiana toka siku nyingi kama anayo fedha pindi anapoelezwa shida! Mie binafsi nimemuelewa!
 
Back
Top Bottom