Tahadhari kwa Iran: Usijibu Mtego wa Israel

Rais wa Iran sio Ayatolah. Ni mpya kachaguliwa tu mwaka huu baada ya yule aliyeitwa Ebrahim Rais kufariki kwenye ajali. Ayatolah ni supreme leader na nasikia ni mgonjwa.
 
Iranian Supreme Leader Ali Khamenei, aged 85, is reportedly seriously ill.

His second oldest son, Mojtaba Khamenei, likely to succeed him when he dies.

(New York Times)
 
Iran sio mwarabu ni mwahemi. Waarabu hawamuungi mkono!
 
Kupiga kwa nguvu ni kama aje? Mtu kapiga vituo vya kijeshi, kaharibu miundombinu ya ulinzi, maghala ya silaha na kuua wanajeshi kadhaa bado unaona ni shambulio dogo!? Binafsi naona washirika wa Iran nao ni walewale tu hofu na uoga mwingi.
 
Big point
 
Wewe mzayuni tokea wapi
Tokea tandahimba,story hii imenikumbusha hadithi ya sauli na Daudi ilikuwa Daudi akikimbizwa na sauli,wakafika mahali sauli akalala Daudi akaenda kukata vazi lake lakini hakumdhuru,yakawa matukio yakujirudia mara tatu ya namna hii,ndipo Daudi akamwambia Sauli nilikuwa ninauwezo wa kukudhuru ila sijaamua,hata hili la Iran inabidi achutame amevuliwa nguo mchana kweupe, yeye alirusha makombora akiwa km 2000 away mwenzake amekwenda mpaka chumbani kwake amefanya anayotaka na ameondoka muda anaotaka,aibu aibu!
 
Unaongea kwa mateso sana ewe mzayuni wa jf
 
Ushachambua hapa
 
Israhell waache kumtafutia sababu Iran washapata wamfyeke tuuu
 
BRICS kuikaribia NATO kwa kiwango cha kutoa ushindani, siyo karne hii. BRICS yote kwa ujumla, uchumi wake ni mdogo kuliko wa Marekani pekee. Vita ni uwezo wa kiuchumi.
 
Iwe Kwa Makusudi/Bahati Mbaya Kamwe Sitauingia Huu Mtego
by Professor Paramagamba Aidan Mwaluko Kabudi A.k.a Jalalani
 
Ushawishi wa USA upo Kwa nchi tegemezi kama Tanzania kwanza msaada wao TU ni ZAIDI ya tirion 20 ......kwetu bongo afu waje waombe wanajeshi muwanyime😂😂.,.,.,. money buy everything......
 
Hizo stealth zilishageuzwa majivu zikiwa parking na muajemi
kwa hiyo stealth yenye thamani ya mabilioni ya dola, ihifadhiwe kizembe namna hiyo? jiulize, kama hapakuwa na madhara iran angelalamika?
 
kwa hiyo stealth yenye thamani ya mabilioni ya dola, ihifadhiwe kizembe namna hiyo? jiulize, kama hapakuwa na madhara iran angelalamika?
Makombora ya Iran yalitua kila mahara ndani ya Israel labda kama walizificha Mars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…