Tahadhari kwa Iran: Usijibu Mtego wa Israel

Makombora ya Iran yalitua kila mahara ndani ya Israel labda kama walizificha Mars
kwa hiyo ziliteketea zote, sasa zile zimeenda kufanya shambulizi majuzi iran zilikuwa ni zipi? mbona mnapenda kujidanganya?
 
kwakweli shingo yako imebea mzigo
 
Jamii Forum ya siku hizi….
Yaani ukilala ukiamkaaa Great thinker unaanzisha Uzi magreat thinker we zako wanachangia ,,,,,maisha yanendelea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏ
 
Israel daily mikwala, alirushiwa missile zakutosha lakini mbona hajaingia kwenye total war pamoja na boss wake....?
Iran ya enzi za gulf war msijehisi bado ipo vile vile. Kama waumini wa mwamposa wanamaanisha vita basi waingie mazima waache mikwala mara mitego
 
Iran aje aongee na mama yetu, hapa Tz tuna wajeda wanapasua tofali kwa kichwa ila lisiwe gumu s
 
Umeongea ukweli kabisa,jamaa wamesema wametoa chai tu juzi.
Nyau kasema hawa watalipa maisha yao yote..
Hii vita watu wanachukulia poa,sijui km waliona lile kundi lilitoka Us na Canada tar 8 mwaka jana.
Ndo hao vijana tu wanapiga mpk mende.
Hao ndo wako frontline,ua kumi mnauliwa 1000
 

Hakuna mtego hapo zaidi ya kuwa ndume zinaogopana:





Zingatia Israel Sito Marekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…