Uchaguzi 2020 Tahadhari kwa mawakala kwa vyama vya upinzani nchini tarehe 27/10/2020 mkalale kwenye ofsi za vyama vyenu

Uchaguzi 2020 Tahadhari kwa mawakala kwa vyama vya upinzani nchini tarehe 27/10/2020 mkalale kwenye ofsi za vyama vyenu

Wewe nae! Wakalale kwenye ofisi za vyama vyao kwani vyama vyao vina ofisi? Zaidi watasababisha kusanyiko lisilo na kibali wakamatwe bure. Mfano pale ufipa watakusanyika wapi? Zaidi watajikuta kwenye korido la yule mganya jirani na kijiofisi chao au katika Bar iitwayo kinondoni kilabu. Walale tuu kwao pakulala ofisini hamna watakamatwa kama wazururaji.
Mkuu hawa watu wamekaa na hizi sheria za uchaguzi tangu viongozi wao wasaini kuzikubali.Leo bado siku 11 ndiyo wanaanza kutangaziana mikakati tena kwenye mikutano ya hadhara. Ccm wako organised sana na ndiyo chama kinachotarajiwa kushinda.
 
Tume inalenga wapinzani washindwe, tume iko kwa ajili ya CCM.
Tume!
JamiiForums2000245234.jpg
 
Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika

Mkipuuza, msiludi kutulalamikia

#kapigekura28/10/2020
Hili la mawakala inabidi viongozi waliangalie kwa umakini maana kwahali ilivyo kwasasa lazima ccm watafanya uhuni wao kukwamisha mawakala wa CHADEMA/ACT
 
Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika

Mkipuuza, msiludi kutulalamikia

#kapigekura28/10/2020
Sio tare 27 mzee ni kuanzia tar 20 hawatakiwi kuonekana mahala popote.
 
Kiufupi tumeshavuka viunzi vyote. Na tumeshashinda mpaka sasa.subirini kulala na viatu 1 nov 2020.
Tafuteni sababu zote lakini kipigo cha kushindwa kiko palepale.Tayari mmeanza kukata pumzi na boss wenu ndiyo kabisa ni dembedembe.Nimemsikiliza jana hapa Tabora anatia huruma mwanzo mwisho wa mkutano hamna sera yeye ni kuongelea wizi wa kura.Badala ya kueleza Tabora watawafanyia nini yeye anaongelea wizi wa kura.By the way big 7days is around the corner, siku saba ni za kupimana ubavu wa uimara wa vyama.
 
Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika

Mkipuuza, msiludi kutulalamikia

#kapigekura28/10/2020
Ili mjue tumelala wapi mtuteke vizuri? Hatudanganyikibtutalala hata guest house ila hatulali mnapotuagiza.
 
Kama nilimsikia vizuri Mahera, hakuna wakala atakayepewa barua ya uteuzi ila watazikuta kwa Msimamizi wa Kituo zikiwa na picha yake. Hivyo Msimamizi ataangalia picha, ni wewe anakuruhusu. Wasiwasi wangu hapa ni Counter attack ya mawakala. Yaani chama chako kimekupangia Kituo X unafika unakuta wakala tayari yupo anajiita wa chama chako huku wewe unamjua kabisa ni Green Guard.
 
Hili la mawakala inabidi viongozi waliangalie kwa umakini maana kwahali ilivyo kwasasa lazima ccm watafanya uhuni wao kukwamisha mawakala wa CHADEMA/ACT
Mnachekesha sana yaani hata mawakala hamjateua, duuu upinzani mna shida vichwani mwenu.Halafu mtawatrain lini.Ndiyo maana tunasema ccm 89% victory , 11% others
 
Mkuu hawa watu wamekaa na hizi sheria za uchaguzi tangu viongozi wao wasaini kuzikubali.Leo bado siku 11 ndiyo wanaanza kutangaziana mikakati tena kwenye mikutano ya hadhara. Ccm wako organised sana na ndiyo chama kinachotarajiwa kushinda.
Wapuuzi sana
 
Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika

Mkipuuza, msiludi kutulalamikia

#kapigekura28/10/2020
Tatizo ni kwamba distribution ya vituo kwa mawakala ni siri ya tume mpaka siku ya uchaguzi
 
Mnachekesha sana yaani hata mawakala hamjateua, duuu upinzani mna shida vichwani mwenu.Halafu mtawatrain lini.Ndiyo maana tunasema ccm 89% victory , 11% others
mawakala ambao hawajateuliwa labda wa mataga, Lakini mawakala wa Chadema wapo tayari toka tarehe10/10 Mlidhani mnyika kaacha kugombea ubunge kwa bahati mbaya? Safari hii inabidi watekaji watoke NEC, na ni ubaya ubaya tu ,wakitafuta maneno watayapata!
 
Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika

Mkipuuza, msiludi kutulalamikia

#kapigekura28/10/2020
Ha ha ha wewe ni nani umshauri mwenye saccos yake. Ushauri wako ni kama vumbi tu,hakuna hata mjumbe wa shina atakaye usikia.
 
Tafuteni sababu zote lakini kipigo cha kushindwa kiko palepale.Tayari mmeanza kukata pumzi na boss wenu ndiyo kabisa ni dembedembe.Nimemsikiliza jana hapa Tabora anatia huruma mwanzo mwisho wa mkutano hamna sera yeye ni kuongelea wizi wa kura.Badala ya kueleza Tabora watawafanyia nini yeye anaongelea wizi wa kura.By the way big 7days is around the corner, siku saba ni za kupimana ubavu wa uimara wa vyama.

Kipigo cha kushindwa kiko palepale?!Ni afadhali kwa Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko Magufuli kurudi ikulu!Mnadai kuwa kwa kipindi cha miaka mitano magufuli amefanya mambo makubwa sana.Kama amefanya mambo makubwa sana inakuwaje yeye leo hii anawahitaji wananchi kuliko wananchi wanavyomuhitaji yeye?Unaelewa kuwa kitendo cha magufuli cha kuomba kura kwa kupiga magoti ni kwamba anawahitaji wananchi kuliko wananchi wanavyomuhitaji yeye na amekata tamaa?

Yaani uwafanyie wananchi mambo makubwa sana halafu ukawaombe tena kuwatumikia kwa kupiga magoti?Inaleta sense?Kama amewafanyia wananchi mambo makubwa sana ni nani anatakiwa kumuhitaji mwenzake kwa kupiga magoti?

Kama amewafanyia wananchi mambo makubwa sana hao wananchi ndiyo wanapaswa kumpigia Magufuli magoti kumuomba aendelee kuwa Rais wao ili aendelee kuwafanyia mambo makubwa,ila hapa inakuwa ni kinyume chake yaani Magufuli ndiye anapiga magoti!Kama Magufuli amewafanyia watu mambo makubwa sana basi atulie hayo mambo makubwa yamnadi na siyo yeye ajinadi mwenyewe tena kwa kupiga magoti na kuweweseka.

Hii inamaanisha nini?Hii ina maana Magufuli anajua kabisa hakuna la maana alilofanya kwa kipindi cha miaka mitano aliyokaa madarakani na anachofanya sasa hivi ni anataka achukue madaraka kwa njia ya kulaghai wananchi(Magoti).Huwezi kufanyia watu mambo makubwa halafu badala ya hao watu wakuhitaji wewe kuliko wewe unavyowahitaji wao iwe kinyume chake yaani eti wewe uwahitaji wao kuliko wao wanavyokuhitaji wewe.

Magufuli ni tapeli asiekuwa na aibu aliekosa kibali cha wananchi na ni heri ajitoe kwenye kinyang'anyiro hiki tena kabla hata ya tarehe ya uchaguzi apishe wenye kibali cha wananchi wachukue dola.
JamiiForums312469786.jpg
 
Umelisemea vizuri. Na wafuate ushauri wako. Lakini ilitakiwa kuwa tofauti karne hii mwaka huu. Ilitakiwa kuwe na nakala ngumu au ya kielektroniki ya utambulisho wa wakala kwa msimamizi wa kituo, ili hata akipoteza au kunyang'anywa ya kwake njiani bado akubaliwe pale.

Hili la nakala ya kielektroniki ni wazo sahihi, pia tulipendekeza fomu za ugombea ziwe hivyo hivyo, lakini sidhani kama watakubali kitu kitakachowakwamisha kwenye nia yao ovu.
 
Back
Top Bottom