uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Ata hawana habari na nyie maana nyie mnajishtukia tuu sababu ukweli mnaujua ni hamuwezi kushinda kamwe ata kama lissu angepangwa na mti, watanzania wangechagua mti kuliko huyo kibaraka.Hivi CCM na NEC wanajisikiaje watu wanapokosa imani na wao
Unaongea kitu gani mkuu?!Una akili timamu?!Yaani RPC amlinde mpinzani?Uliona wapi fisi akimlinda digidigi?Mimi kwangu nadhani uongozi wa wilaya ungefanya mpango wa wakae sehem moja na walindwe na RPC kabisa maana siku hiyo utekaji utakuwa nje nje
Mkuu hawa watu wamekaa na hizi sheria za uchaguzi tangu viongozi wao wasaini kuzikubali.Leo bado siku 11 ndiyo wanaanza kutangaziana mikakati tena kwenye mikutano ya hadhara. Ccm wako organised sana na ndiyo chama kinachotarajiwa kushinda.Wewe nae! Wakalale kwenye ofisi za vyama vyao kwani vyama vyao vina ofisi? Zaidi watasababisha kusanyiko lisilo na kibali wakamatwe bure. Mfano pale ufipa watakusanyika wapi? Zaidi watajikuta kwenye korido la yule mganya jirani na kijiofisi chao au katika Bar iitwayo kinondoni kilabu. Walale tuu kwao pakulala ofisini hamna watakamatwa kama wazururaji.
Tume!Tume inalenga wapinzani washindwe, tume iko kwa ajili ya CCM.
Hili la mawakala inabidi viongozi waliangalie kwa umakini maana kwahali ilivyo kwasasa lazima ccm watafanya uhuni wao kukwamisha mawakala wa CHADEMA/ACTHii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika
Mkipuuza, msiludi kutulalamikia
#kapigekura28/10/2020
Sio tare 27 mzee ni kuanzia tar 20 hawatakiwi kuonekana mahala popote.Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika
Mkipuuza, msiludi kutulalamikia
#kapigekura28/10/2020
UUkimpa mchawi akulele mwanao nazani itakuwa salama zaidi na yeye atajua huu ni mtegoUnaongea kitu gani mkuu?!Una akili timamu?!Yaani RPC amlinde mpinzani?Uliona wapi fisi akimlinda digidigi?
Tafuteni sababu zote lakini kipigo cha kushindwa kiko palepale.Tayari mmeanza kukata pumzi na boss wenu ndiyo kabisa ni dembedembe.Nimemsikiliza jana hapa Tabora anatia huruma mwanzo mwisho wa mkutano hamna sera yeye ni kuongelea wizi wa kura.Badala ya kueleza Tabora watawafanyia nini yeye anaongelea wizi wa kura.By the way big 7days is around the corner, siku saba ni za kupimana ubavu wa uimara wa vyama.
Ili mjue tumelala wapi mtuteke vizuri? Hatudanganyikibtutalala hata guest house ila hatulali mnapotuagiza.Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika
Mkipuuza, msiludi kutulalamikia
#kapigekura28/10/2020
Mnyika, mbowe, zito msilale, tumie akili ya ziada issue ya mawakala
Mnachekesha sana yaani hata mawakala hamjateua, duuu upinzani mna shida vichwani mwenu.Halafu mtawatrain lini.Ndiyo maana tunasema ccm 89% victory , 11% othersHili la mawakala inabidi viongozi waliangalie kwa umakini maana kwahali ilivyo kwasasa lazima ccm watafanya uhuni wao kukwamisha mawakala wa CHADEMA/ACT
Wapuuzi sanaMkuu hawa watu wamekaa na hizi sheria za uchaguzi tangu viongozi wao wasaini kuzikubali.Leo bado siku 11 ndiyo wanaanza kutangaziana mikakati tena kwenye mikutano ya hadhara. Ccm wako organised sana na ndiyo chama kinachotarajiwa kushinda.
Tatizo ni kwamba distribution ya vituo kwa mawakala ni siri ya tume mpaka siku ya uchaguziHii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika
Mkipuuza, msiludi kutulalamikia
#kapigekura28/10/2020
mawakala ambao hawajateuliwa labda wa mataga, Lakini mawakala wa Chadema wapo tayari toka tarehe10/10 Mlidhani mnyika kaacha kugombea ubunge kwa bahati mbaya? Safari hii inabidi watekaji watoke NEC, na ni ubaya ubaya tu ,wakitafuta maneno watayapata!Mnachekesha sana yaani hata mawakala hamjateua, duuu upinzani mna shida vichwani mwenu.Halafu mtawatrain lini.Ndiyo maana tunasema ccm 89% victory , 11% others
Ha ha ha wewe ni nani umshauri mwenye saccos yake. Ushauri wako ni kama vumbi tu,hakuna hata mjumbe wa shina atakaye usikia.Hii ni kengere ya kuwaamsha na kuwakumbusha tu,
Mnakumbuka yaliyojitokeza kwa watinia Nia udiwani na ubunge ilivyokuwa kazi kurudisha fomu, watu walitangiziwa njiani na kupolwa fomu. Hiyo ilokuwa ni trela tu, msipojiandaa pia tarehe 27/10/2020 kutakuwa na vituko mpaka mtashangaa, hivyo nawashauri, baada ya kufanikiwa kuapishwa, ofsi ya vyama vyenu, kwa gharama ya chama, mnapaswa kulala kwenye ofsi zenu na ulinzi wa uhakika, baadae asubuhi muandae gari litakalowasambaza kuanzia alfajiri asubuhi, itazuia kunyang'anywa hati za utambulisho wa uwakala. Maana kazi ya tume kwenye kituo itakuwa ni kupokea wakala halali Wala siyo kuuliza Nani hajafika
Mkipuuza, msiludi kutulalamikia
#kapigekura28/10/2020
Tafuteni sababu zote lakini kipigo cha kushindwa kiko palepale.Tayari mmeanza kukata pumzi na boss wenu ndiyo kabisa ni dembedembe.Nimemsikiliza jana hapa Tabora anatia huruma mwanzo mwisho wa mkutano hamna sera yeye ni kuongelea wizi wa kura.Badala ya kueleza Tabora watawafanyia nini yeye anaongelea wizi wa kura.By the way big 7days is around the corner, siku saba ni za kupimana ubavu wa uimara wa vyama.
Umelisemea vizuri. Na wafuate ushauri wako. Lakini ilitakiwa kuwa tofauti karne hii mwaka huu. Ilitakiwa kuwe na nakala ngumu au ya kielektroniki ya utambulisho wa wakala kwa msimamizi wa kituo, ili hata akipoteza au kunyang'anywa ya kwake njiani bado akubaliwe pale.
Halafu funguo za chumba watacholala anaenda nazo RPC!Mimi kwangu nadhani uongozi wa wilaya ungefanya mpango wa wakae sehem moja na walindwe na RPC kabisa maana siku hiyo utekaji utakuwa nje nje