Uchaguzi 2020 Tahadhari kwa mawakala kwa vyama vya upinzani nchini tarehe 27/10/2020 mkalale kwenye ofsi za vyama vyenu

Hapana wakilala kwenye ofisi ya chama polisi watawakamata wote na kusema wamekuwa wakipanga njama za kihalifu ma ofisini kwapo sishauri hili swala la mawakala kila mtu alale anakojua yeye, barua awe nazo katibu na msaidizi wake na ma baunsa watazisambaza kwa mawakala asubuhi wawe wamekutwa vituoni nje si vinginevyo kila wakala asilale na barua barua hizo zilale kwa asiye julikana kwa kila wilaya
 
Hizo mbinu kapeaneni kwenye chama chenu. Ukishaitangaza hapa hiyo siyo mbinu tena, zitaandaliwa njia zingine za ushindi.
 
Kuna wale wagombea waliambiwa wasiende wenyewe wakaenda wenyewe wakafanyiwa fujo wakapoteza nyaraka muhimu zilizokua katika fomu za kuteuliwa, Sasa hawa mawakala CHADEMA taifa inabidi iwaandae kisaikolojia maana katika watu mia huwezi kosa watakaokaidi maagizo maazimio. Hawa mawakala inabdi raia wawalinde mpaka siku ya Uchaguzi na matokeo yatoke ndio tuwaache la sivyo watahongwa ela kiduchu halafu wataingia mitini.
 
Ni kumwagika barabarani, askari kulinda nchi nzima ni ngumu, wanahisi sisi ni wapga ndio maana wanajipanga kufanya huhuma tu.
Hivi NEC ikiharibu uchaguzi wakati wa kupiga kura na kutoa matokeo.. nini kifanyike ili kudai haki?
 
Tafadhali bhana, hakuna mgonbea alitekata pumzi kama wa ccm, kwa sasa anaomba kura ati kwa kupiga cm.
Pumzi hamna na apumzike tu
 
We dada Bashiru ndio mumeo?? Hacha kusifia wanaume kama unahisi kuhitaji mume weka bango ila jiandae
 
Uchaguzi huu mawakala hawaendi na barua za utambulisho.

Msimamizi wa uchaguzi ndiyo atakayepeleka barua za utambulisho kwa msimamizi msaidizi wa uchaguzi.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hawana ofisi sasa wakalale wapi, stand? Jamani zile ofisi za matawi ya vyama ambazo uchipuka kama uyoga inapokaribia uchaguzi mwaka huu hakuna kabisa....hata bendera za vyama hakuna, alafu mtu anaanzisha uzi etiwkalale kwenye ofisi zao!
 
Umenikumbusha wale wanaovaa nguo za mapolisi nakufanya ugaidi tena nyumbani kwa mgombea ubunge
 
Wazo zuri kabisa, pia nashauri wakiapishwa wasilale na hizo fomu wakabidhi viongozi wao zilindwe

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Tabu iko kwenye kuhesabu kura! Uko uwezekanhata kama mawakala wataruhusiwa kuingia lakini huenda wakatishwa na kulazimishwa kusaini matokeo ya Uongo.
Nawaza lakini.
 
Tumeccm malinga sana hawatakubali hizo soft maana lao ni moja! Hapa raia tuhamasishwe kuweka ulinzi kwa mawakala wetu!
 
Mawakala wa vyama vya upinzani wajilinde na watekaji. Yasijirudie
 
Ikumbukwe Congo DRC lilipigwa kiberiti jumba la kuhifadhia vifaa vyote vya zoezi la upigaji kura siku chache kabla ya uchaguzi kufanyika ni katika kufanikisha mavitu mambo😂😂 Moto uliwaka haswaaa na kuteketeza ghala na vifaa .
Africa huwa ina nchi zinazofanana sana kwa tabia mbaya ifikapo nyakati za uchaguzi wa Rais na Wabunge

Hapa Nyumbani kwetu moto unaotengenezwa ni huu wa barua za utambulisho wa mawakala . Utambulisho utacheleweshwa vituoni makusudi kabisa na mawakala watapandwa hasira za kudai utambulisho wale wa CCM watafundishwa kutulia kimya na kuwashangaa wenzao wanaolalamika hali itayopelekea kuswekwa rumande kwa kusababisha vurugu kwenye vituo vya uchaguzi na kupata kichapo kwa kusababisha Fujo. 🙄

Wenzenu TumeCCM wameshapika sufuria la
Sumu kitambo sana wanachochea kuni tu kazi ni kuwanywesha tu mkafie mbali

Nimesikia kwa masikio yangu TL anahamasisha watu wakipiga kura walinde kura na wawalinde mawakala hivyo wabakie nje ya vituo vyao wakishapiga kura hapo sasa ndio PoliCCM wanapasubiri ili watekeleze walichoagizwa.
 
Bonge la point, mawakala wa vyama vya upinzani wapotee majumbani kwao siku 3 kabla ya uchaguzi, watabambikwa kesi, kutekwa ama kutolewa uhai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…