Uchaguzi 2020 Tahadhari kwa mawakala kwa vyama vya upinzani nchini tarehe 27/10/2020 mkalale kwenye ofsi za vyama vyenu

Kwani ofisi zenyewe wanazo? Makao Makuu wameshindwa kujenga ofisi wataweza kwenye majimbo? Pesa zote Faru John anazipiga tuuu!!
 
Tutabadilisha mbinu hata mngelala wiki nzima
Mmeshindwa kuomba kura wananchi mnafanya figisu makusudi huku mnahubiri amani ,hiyo ni akili au matope ?
 
Tutawatoa utumbo asubuhi asubuhi wala haina kuuliza
 
Eti wakala anaenda mikono mitupu kituo cha kupigia kura eti kujitambulisha kwa msimamizi wa uchaguzi ndio apewe barua ya uwakala??????? Rubish!!!!!!

Kwanza msimamizi wa uchaguzi atamuomba kitambulisho cha uraia au leseni ya udereva au pasi ya kusafiria ili atambue kuwa ni yeye -
1) holaa, hana! anamkataa, anasema nitajuaje kama ni wewe!

2) Kama anavyo vitambulisho vitamulikwa kwa darubini kuhakikisha havitofautiana hata kidogo mpangilio wa majina au spelling ya jina. Kama kuna tofauti yoyote msimamizi anamkataa.

Simu zitapigwa weeee, akija kukubalika ni baada ya masaa, hapo ujue kura bandia kibao zitakuwa zimeisha penyezwa.
Yaani CCM ni shiiiidaaaaa. Huo mzozo hautaishia kirahisi, ujue hapo afande tayari atakuwa kesha papasa silaha yake, wakala ataondolewa tu. Simu zitapigwa, hata ukija kukubaliwa hali itakuwa tayari ni tete!

Huo ni mtazamo wangu! We unasemaje!
 
Hapo kwenye mawakala ndio chadema inaenda kufia. Nawaza kwa yale majimbo ambayo wabunge na madiwani wa chadema walikatwa hv mnaonaje suala la mawakala.
 
Mimi kwangu nadhani uongozi wa wilaya ungefanya mpango wa wakae sehem moja na walindwe na RPC kabisa maana siku hiyo utekaji utakuwa nje nje
Walindwe na RPC? wewe unajua ulicho andika kweli, hujui kuwa hao ma-RPC ndio watekaji wenyewe.!!
 
Kutokana na hali hii ngumu namna hii waka akipewa 500000 ataacha kuzichukuwa?
 
Wana Tabora tumekwishaelewa sera kuwa ni uhuru, haki na maendeleo hivi sasa ni spana kwenda mbele ndizo tunazohitaji. Unaona jana mgombea wenu kaanza kunyooka mpaka anaongeza watumishi mishahara.
 
Ata hawana habari na nyie maana nyie mnajishtukia tuu sababu ukweli mnaujua ni hamuwezi kushinda kamwe ata kama lissu angepangwa na mti, watanzania wangechagua mti kuliko huyo kibaraka.
Watanzania wapi hao unaowaongelea? Ambao ni wapumbavu kiasi kwamba hawajui kuwa mti hauwezi kuwaongoza?

Na kumbuka kufanya hifadhi ya maneno usije ukaabika siku moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…