TAHADHARI: Mboga za majani wanazokula wakazi wa Dar ni sumu tupu

TAHADHARI: Mboga za majani wanazokula wakazi wa Dar ni sumu tupu

Aise ukienda wanakooshea mboga hizo huta kula tena.maji yyte anayoyaona anatumia kuosha mboga aiseee.
 
Ahsante sana bossman kwa hii taarifa. Itabidi niwe naagizia mboga kutoka Bagamoyo sasa

njoo huku majohe.. mboga zangu mamwagilia kwa maji ya kisima chenye maji safi kabisa tena yasiyo na chumvi na natumia mbolea ya kuku tu.. ni salama kabisa.. kemikali pekee ni dwa ya kuua wadudi.
 
Mto Ruvu haupo mbali na Dar. Kwa nini serikali isuchukue juhudi za makusudi kuchochea kilimo cha mboga mboga Ruvu na hivo kuhakikisha wakazi wa Dar chakula salama.
 
Mto Ruvu haupo mbali na Dar. Kwa nini serikali isuchukue juhudi za makusudi kuchochea kilimo cha mboga mboga Ruvu na hivo kuhakikisha wakazi wa Dar chakula salama.
Ngoja tuone anayehusika na hili ni nani na atachukua hatua gani
 
Kila kitu sumu siku hizi, acha Nile zangu raha huku nikijiandaa na kasi ya kufa na sumu[emoji482]
 
watu sio jui tatizo ni shule sewage system anaadhiri vip mbogamboga
ukisoma FOOD WEB utajua umuhim wa micro organism kwenye mimea ili kuprovide freee Nitrogen na ndio maanaa kuna mbolea za samadi ambazo zina many many dacaye material
kwa nchi zilizoendelea uchafu wowote kutoka kwa living organism hubadilishwa kuwa mbolea ya viwandan
.insue hapo ni HEAVY METAL kama zinaingia kwenye huo mto japo sijui kiwanda kipi kinazalisha hizo MECURY na LEAD ndio ndizo za kuhofia na sio sewage system
 
watu sio jui tatizo ni shule sewage system anaadhiri vip mbogamboga
ukisoma FOOD WEB utajua umuhim wa micro organism kwenye mimea ili kuprovide freee Nitrogen na ndio maanaa kuna mbolea za samadi ambazo zina many many dacaye material
kwa nchi zilizoendelea uchafu wowote kutoka kwa living organism hubadilishwa kuwa mbolea ya viwandan
.insue hapo ni HEAVY METAL kama zinaingia kwenye huo mto ndio ndizo za kuhofia na sio sewage system
Acha papara hariri jibu lako kwenye kiswahili sanifu, andika taratibu na kwa kituo utaeleweka...hapa hatupingani bali tunapeana elimu na maarifa
 
Ni janga na jipu pia - hapa kuna fursa kubwa tu ya vijana, ila wapatiwe uwezo yatengwe maeneo salama na serikali iweke miundombinu ya umwagiliaji wa maji safi halafu ikodishe bustani hizo kwa vijana ambao wamejaa mjini hawana ajira. Wanasiasa lichukueni hilo; hiyo miundombinu mbadala ikiwekwa basi sehemu chafu zote watu waondolewe kama wanavyovunja mabanda ya kando ya barabara, only after serikali imeweka sehemu mbadala ndio wawavunjie, lakini kwa sasa tunakula sumu tu
 
Ni janga na jipu pia - hapa kuna fursa kubwa tu ya vijana, ila wapatiwe uwezo yatengwe maeneo salama na serikali iweke miundombinu ya umwagiliaji wa maji safi halafu ikodishe bustani hizo kwa vijana ambao wamejaa mjini hawana ajira. Wanasiasa lichukueni hilo; hiyo miundombinu mbadala ikiwekwa basi sehemu chafu zote watu waondolewe kama wanavyovunja mabanda ya kando ya barabara, only after serikali imeweka sehemu mbadala ndio wawavunjie, lakini kwa sasa tunakula sumu tu
Ile ruvu yote ya juu na chini hizo pekeyake tukiamua kuwekeza kwenye kilimo cha mboga mboga salama tunaweza hata kupata ziada ya kusafirisha nje ya nchi
 
Kuna matatizo ya mboga za majani walazo wakazi wa majiji.UKiangalia hii video ya Nairobi ya kitoweo tatanishi unaweza jua tatizo lililoko dar ni hilo hilo.Serikali ichukue hatua

 
binafsi tangu nipite mto msimbazi mwaka wa juzi na kujionea jinsi mboga za majani zinavyolimwa sijui kuoteshwa hususani maji wanayotumia kumwagilia aiseee sijawahi kula wa sitamani kutumia labda nikiwa nje ya darisalama
 
binafsi tangu nipite mto msimbazi mwaka wa juzi na kujionea jinsi mboga za majani zinavyolimwa sijui kuoteshwa hususani maji wanayotumia kumwagilia aiseee sijawahi kula wa sitamani kutumia labda nikiwa nje ya darisalama
Unakula nini kiongozi?
 
Kwa dar hali ni mbaya sana ya chakula sio mboga za majani tu hata nyama kwa bahati nimeishi sana dar nikawa nakula nyama ukweli nikila minofu mitatu naona mwili umejaa na kitambi cha ghafla sasa majuzi nikahamia mkoani kikazi tena kijijini kabisa ndani huku nikashangaa nimenunua nyama nusu na kuimaliza mwenyewe bila shida hakuna kitambi wala mwili kuchoka na nyama tamu kweli ndio ikabidi kutafuta ukweli nakundua wale ng'ombe wa dar hunenepeshwa kwa madawa kabla ya kuuzwa dar nikachoka kabisa
 
dagaa kauzu, bamia, dagaa la kigoma, samaki, nyama, nyanya chungu kwetu tunaita ngogwe, biringanya nk
Bado hauko salama nyama bamia na nyanya chungu ni Yale yale nadhani ni vema kuwekeza kwenye mazoezi na kunywa maji mengi na endelea tu kumuomba Mungu
 
Kuna matatizo ya mboga za majani walazo wakazi wa majiji.UKiangalia hivi video ya Nairobi ya kitoweo tatanishi unaweza jua tatizo lililoko dar ni hilo hilo.Serikali ichukue hatua


Dah YEHODAYA sometime una point sana mwenyezi Mungu akubariki! kwa kweli mboga za majani ni sheeeeda na kuna kajiutafiti kalionyesha kuwa kuna uwezekano mkubwa wa wananchi wa DSM kupata maradhi hasa saratani ya damu kwa kuwa mboga za majani ziliwazo zina kemikali nyingi ambazo ni mbaya kwa afya ya binadamu hii ni kwa sababu maji yanayotumika na ardhi tayari zina chemikali ambazo si salama kwa afya ya binadamu. Kwa kweli serikali isipozingatia hili ijiandae kupoteza rasilimali kadhaa kwa ajili ya kudeal na hili janga.
 
Bado hauko salama nyama bamia na nyanya chungu ni Yale yale nadhani ni vema kuwekeza kwenye mazoezi na kunywa maji mengi na endelea tu kumuomba Mungu
mkuu nafanya sana mazoezi na ndio sababu sina nyama, kwanza nikikaa wiki sijafanya mazoezi naumwa, ni kuomba tu Mungu atuepushe na adha hii, maana utakwepa huku utakamatwa huku ili mradi tu wakuondoe duniani
 
Back
Top Bottom