Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Wana bodi!

Mimi kama Kuhani Katika Hekalu Jeusi ambaye ninaufahamu wa mambo mbalimbali ya Kiroho. Nimeona niwajulishe hili.

Kwenye huu Ulimwengu kuna watu walichorwa Alama na miungu ambayo alama hiyo kwao ni ulinzi. Ukiwagusa unapasuka wewe.

Kwenye Biblia mtu pekee aliyeripotiwa kuwekewa Alama na Mungu ni Kaini ambaye aliwekewa Alama kwenye paji la Uso wake. Ili watu wanaotaka kumuua wakiiona wasimuue. Na yeyote atakayethubutu kumuua basi Mungu atampasua na kumuangamiza.

Alama za namna hiyo huitwa MUKU.
Kwenye Ngumi mtu aliyechanjiwa MUKU akikutwanga Ngumi Moja kwenye ule Mkono wake wenye chale(Alama za miungu) unaweza kuzima au kukata Moto.

Au kuna wale Mwalimu ukimchapa mwanafunzi mwenye MUKU Mwalimu unavimba Mikono au unaumwa Mkono.
Haya mambo wengi hawayajui kwa sababu sio Elimu maarufu

Lissu anaweza kuingia kwenye kundi hilo la watu Wachache wenye MUKU.

Ukimdhulumu uwe umejipanga haswahaswa maana Hapana Shaka miungu iliyompa hiyo MUKU utacheza nayo vilivyo.

Kwa professional Killer, lazima anapotumwa Kuua mtu lazima awe na CV ya mtu anayeenda Kumuua. Na kama atagundua mtu huyo anaalama za miungu, MUKU ambayo inamlinda Basi professional Killer huweza kumshauri aliyemtuma Njia nyingine mbadala mbali na kumuua huyo mtu.

Pia kuna watu ambao Miili yao wameilaani na kuisomea Dua kuwa yeyote atakayeudhuru mwili wake kwa kuuua Basi Laana na majanga atakayoyataja yampate huyo Muuaji.

Miili hiyo inajina lake na ibada zake hufanywa na mtu mwenyewe mbele za mizimu, makuhani wa Nguvu za Giza, waganga au Majini.

Sisi bado ni watazamaji
 
Huko NSSF na Mafao ....Tozo nk hujapaona waTanzania wanavyo nyonywa ....hizo Duwa initiate hukoo
 
Kwenye huu uchaguzi Lisu anatakiwa kushindwa kwa HAKI tuu.
Vinginevyo mtakuja kuniambia mwaka huuhuu kabla haujaisha
Naliona hili na Mwamba hajawahi kushindwa. JPM pamoja na utawala wake kumtia kilema Mwamba alikuja kumpelekesha kwenye kampeni na baada ya miaka 2 ikawa rip JPM. Ngoja tuone hii movie na FAM ikoje
 
Naliona hili na Mwamba hajawahi kushindwa. JPM pamoja na utawala wake kumtia kilema Mwamba alikuja kumpelekesha kwenye kampeni na baada ya miaka 2 ikawa rip JPM. Ngoja tuone hii movie na FAM ikoje

Wamshinde kwa HAKI hiyo ndio suluhu.
Vinginevyo Tupo hapa. Mwaka huuhuu. Achana na kutokujua Lini itatokea. Ni ndani ya siku 365
 
Mambo ya sayansi ya giza, nasikia huko kigoma unachajia kisha ukipigwa risasi haipenyi mwilini
Nilishawahi shuhudia moja stand ya mkoa mmoja, wapiga debe wanadaiana hela yule mmoja akachukua kisu kumchoma jamaa kile kisu kilipinda na jamaa hakutoka hata damu. Taarifa zilizosikika yule aliyechomwa kisu na kikapinda ni Muha wa Kigoma huko
 
Wana bodi!

Mimi kama Kuhani Katika Hekalu Jeusi ambaye ninaufahamu wa mambo mbalimbali ya Kiroho. Nimeona niwajulishe hili.

Kwenye huu Ulimwengu kuna watu walichorwa Alama na miungu ambayo alama hiyo kwao ni ulinzi. Ukiwagusa unapasuka wewe.

Kwenye Biblia mtu pekee aliyeripotiwa kuwekewa Alama na Mungu ni Kaini ambaye aliwekewa Alama kwenye paji la Uso wake. Ili watu wanaotaka kumuua wakiiona wasimuue. Na yeyote atakayethubutu kumuua basi Mungu atampasua na kumuangamiza.

Alama za namna hiyo huitwa MUKU.
Kwenye Ngumi mtu aliyechanjiwa MUKU akikutwanga Ngumi Moja kwenye ule Mkono wake wenye chale(Alama za miungu) unaweza kuzima au kukata Moto.
Au kuna wale Mwalimu ukimchapa mwanafunzi mwenye MUKU Mwalimu unavimba Mikono au unaumwa Mkono.
Haya mambo wengi hawayajui kwa sababu sio Elimu maarufu


Lisu anaweza kuingia kwenye kundi hilo la watu Wachache wenye MUKU.
Ukimdhulumu uwe umejipanga haswahaswa maana Hapana Shaka miungu iliyompa hiyo MUKU utacheza nayo vilivyo.

Kwa professional Killer, lazima anapotumwa Kuua mtu lazima awe na CV ya mtu anayeenda Kumuua. Na kama atagundua mtu huyo anaalama za miungu, MUKU ambayo inamlinda Basi professional Killer huweza kumshauri aliyemtuma Njia nyingine mbadala mbali na kumuua huyo mtu.

Pia kuna watu ambao Miili yao wameilaani na kuisomea Dua kuwa yeyote atakayeudhuru mwili wake kwa kuuua Basi Laana na majanga atakayoyataja yampate huyo Muuaji.
Miili hiyo inajina lake na ibada zake hufanywa na mtu mwenyewe mbele za mizimu, makuhani wa Nguvu za Giza, waganga au Majini.

Sisi bado ni watazamaji
List ni ndefu, waliomdhihaki wote Lissu angalia hali zao zilishuka sana
 
Back
Top Bottom