Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Yale ya nabii naye kafunguka,,, yule sheheee wa zaman ALIKWISHA TABILI,,pasco mayala na yy kasema yake,,na ww TENAAAAA ILA HILI LA MAMA ABDUL KUFA n hasara kwa TAIFA,,,mzee wa msoga kwake diliiii ,,, makamu rais ndo rais
 
Nakuelewa Mkuu, JPM na ubabe wake wote alikuwa analia majukwaani. Itakuwa nyakati hizi?
Mwishoni akianza kulia lia - mniombeee mniombeee alishakiona kifo kinamfuata...baada ya kutoa idhini ya kumtandika marisasi mengi Lissu ila akapona hakufa jamaa alianza kuwa na hofu moyo kukimbia na kukosa amani.
 
Unahisi unafuatiliwa?yani mpuuzi kama wewe nani ana muda wa kukufuatilia?unajipa umuhimu ambao hauna
Mjinga
Sorry for intervening! Mkuu muungwana hatukani. Sijaona popote alipokutusi, ila wewe umemtusi sehemu nyingi. Huoni unajiumbua ulivyo mjinga? Nauliza.
 
Back
Top Bottom