Kwahiyo aliokolewa na nguvu za giza!MUKU ilimuokoa wakati wa shambulio. Hakika mtu kupona katika yale mashambulizi sio rahisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo aliokolewa na nguvu za giza!MUKU ilimuokoa wakati wa shambulio. Hakika mtu kupona katika yale mashambulizi sio rahisi.
We Gwajima acha ubishiDamu yoyote ya mtu ikimwagwa pasipo HAKI lazima Kuna madhara, hii LAANA alipitisha Mungu mwenyewe, hakuna Cha muku Wala muki!!
Nawe unaamini Mimi ni huyo umtajae?We Gwajima acha ubishi
Nimemkumbuka jiweWamshinde kwa HAKI hiyo ndio suluhu.
Vinginevyo Tupo hapa. Mwaka huuhuu. Achana na kutokujua Lini itatokea. Ni ndani ya siku 365
Naye ana MUKU. Ngoma droooLakini Makonda na wawindaji wake 16 zote jamaa anadunda tu🚶🏻🚶🏻🚶🏻
Wengine huwa ni nguvu za giza lakini wengine huwa ni natural wamepewa protections na Mungu au from nature or from the Universe call it what you like 👍Zito kwa LIsU ,akae chini ausiyo
Mshindani wake hakuwahi kuwaza kuja kushindana naye, ilipotokea hili la kushindana naye, na kwa kuwa kwa kuwa kuna hilo zinaendelea, mshindani anaombea bora yaishe tu.Wana bodi!
Mimi kama Kuhani Katika Hekalu Jeusi ambaye ninaufahamu wa mambo mbalimbali ya Kiroho. Nimeona niwajulishe hili.
Kwenye huu Ulimwengu kuna watu walichorwa Alama na miungu ambayo alama hiyo kwao ni ulinzi. Ukiwagusa unapasuka wewe.
Kwenye Biblia mtu pekee aliyeripotiwa kuwekewa Alama na Mungu ni Kaini ambaye aliwekewa Alama kwenye paji la Uso wake. Ili watu wanaotaka kumuua wakiiona wasimuue. Na yeyote atakayethubutu kumuua basi Mungu atampasua na kumuangamiza.
Alama za namna hiyo huitwa MUKU.
Kwenye Ngumi mtu aliyechanjiwa MUKU akikutwanga Ngumi Moja kwenye ule Mkono wake wenye chale(Alama za miungu) unaweza kuzima au kukata Moto.
Au kuna wale Mwalimu ukimchapa mwanafunzi mwenye MUKU Mwalimu unavimba Mikono au unaumwa Mkono.
Haya mambo wengi hawayajui kwa sababu sio Elimu maarufu
Lissu anaweza kuingia kwenye kundi hilo la watu Wachache wenye MUKU.
Ukimdhulumu uwe umejipanga haswahaswa maana Hapana Shaka miungu iliyompa hiyo MUKU utacheza nayo vilivyo.
Kwa professional Killer, lazima anapotumwa Kuua mtu lazima awe na CV ya mtu anayeenda Kumuua. Na kama atagundua mtu huyo anaalama za miungu, MUKU ambayo inamlinda Basi professional Killer huweza kumshauri aliyemtuma Njia nyingine mbadala mbali na kumuua huyo mtu.
Pia kuna watu ambao Miili yao wameilaani na kuisomea Dua kuwa yeyote atakayeudhuru mwili wake kwa kuuua Basi Laana na majanga atakayoyataja yampate huyo Muuaji.
Miili hiyo inajina lake na ibada zake hufanywa na mtu mwenyewe mbele za mizimu, makuhani wa Nguvu za Giza, waganga au Majini.
Sisi bado ni watazamaji
Huoni anavyoweweseka ?Naye ana MUKU. Ngoma drooo
Lissu atashindwa na Mbowe asubuhi mapema.Halafu leo hii Mwenyekiti anataka kupambana naye? Aisee hii movie tamu sana.
When amedai ushoga sio shida? Mbona si yake katika sera ambazo amekuwa akitangaza?Lissu hawezi kushinda hata kura zipigwe live uwanja wa Taifa.
Mbona Iko wazi?
Inawezekanaje mtu mwenye maoni kuwa ushoga sio tatizo awe kiongozi wa Taifa? Na ni kama hamwamini Mungu.
Sikiliza Robert, unachanganya vitu vingi Muku, Kinga, Tego, nknk.
Muku haihusiki na unachoongelea.
Na kama ingekuwa ni MUKU kweli basi hakuna Risasi hata Moja ingemuingia.
Kila unachoona kikitokea kama mtu ni mganga kweli anaweza tegua.
Kitu pekee huwezi kuzuia ama kutegua ni kile kimetoka Direct Kwa MUNGU MUUMBAJI.
Amekutuma eeee?Lissu atashindwa na Mbowe asubuhi mapema.
Unatakiwa kupata somo kujua tofauti kati jini na malaika maana hawa viumbe wote hufanana kitabia hawaonekani na hufanya kazi zao back camera na wote wako very sensitive, sasa unaweza dhani unamuita jini kumbe ni malaika kuna mambo yapo kiroho sana kuyaelewa na hayo majina yasikuchanganye maana hawa hutofautishwa kwa matendo yao na sio majina yaoInashangaza sana watu humu ndani wanavyosifia mtu kuingia mkataba wa kulindwa na majini.
Maana MUKU ni kulindwa na majini, watu wanazidi kumuweka mbali Mungu, na hawana haja Naye.
Na narudia hakuna MUKU yoyote maana ingekuwa ni MUKU hakuna Risasi ingemuingia.
Hizo ni Kinga za kawaida basi.
Mkuu wewe ndio unatakiwa upewe somo, hata Muku anayoizungumzia mleta mada kakosea, MUKU haiko hivyo.Unatakiwa kupata somo kujua tofauti kati jini na malaika maana hawa viumbe wote hufanana kitabia hawaonekani na hufanya kazi zao back camera na wote wako very sensitive, sasa unaweza dhani unamuita jini kumbe ni malaika kuna mambo yapo kiroho sana kuyaelewa na hayo majina yasikuchanganye maana hawa hutofautishwa kwa matendo yao na sio majina yao
Muhimu HAKI ITENDEKE !Lissu atashindwa na Mbowe asubuhi mapema.
MUKU ndo jambo gani Robert Heriel Mtibeli