Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Zito kwa LIsU ,akae chini ausiyo
Wengine huwa ni nguvu za giza lakini wengine huwa ni natural wamepewa protections na Mungu au from nature or from the Universe call it what you like 👍
Unaweza pia ukawaita The Chosen ones !
Usichezee moto kwa kuwaonea hao watu !
Ni Hatari sana ! Sio Ulozi ni protection from the Universe 🙏🙏🙏 !
 
Wana bodi!

Mimi kama Kuhani Katika Hekalu Jeusi ambaye ninaufahamu wa mambo mbalimbali ya Kiroho. Nimeona niwajulishe hili.

Kwenye huu Ulimwengu kuna watu walichorwa Alama na miungu ambayo alama hiyo kwao ni ulinzi. Ukiwagusa unapasuka wewe.

Kwenye Biblia mtu pekee aliyeripotiwa kuwekewa Alama na Mungu ni Kaini ambaye aliwekewa Alama kwenye paji la Uso wake. Ili watu wanaotaka kumuua wakiiona wasimuue. Na yeyote atakayethubutu kumuua basi Mungu atampasua na kumuangamiza.

Alama za namna hiyo huitwa MUKU.
Kwenye Ngumi mtu aliyechanjiwa MUKU akikutwanga Ngumi Moja kwenye ule Mkono wake wenye chale(Alama za miungu) unaweza kuzima au kukata Moto.

Au kuna wale Mwalimu ukimchapa mwanafunzi mwenye MUKU Mwalimu unavimba Mikono au unaumwa Mkono.
Haya mambo wengi hawayajui kwa sababu sio Elimu maarufu

Lissu anaweza kuingia kwenye kundi hilo la watu Wachache wenye MUKU.

Ukimdhulumu uwe umejipanga haswahaswa maana Hapana Shaka miungu iliyompa hiyo MUKU utacheza nayo vilivyo.

Kwa professional Killer, lazima anapotumwa Kuua mtu lazima awe na CV ya mtu anayeenda Kumuua. Na kama atagundua mtu huyo anaalama za miungu, MUKU ambayo inamlinda Basi professional Killer huweza kumshauri aliyemtuma Njia nyingine mbadala mbali na kumuua huyo mtu.

Pia kuna watu ambao Miili yao wameilaani na kuisomea Dua kuwa yeyote atakayeudhuru mwili wake kwa kuuua Basi Laana na majanga atakayoyataja yampate huyo Muuaji.

Miili hiyo inajina lake na ibada zake hufanywa na mtu mwenyewe mbele za mizimu, makuhani wa Nguvu za Giza, waganga au Majini.

Sisi bado ni watazamaji
Mshindani wake hakuwahi kuwaza kuja kushindana naye, ilipotokea hili la kushindana naye, na kwa kuwa kwa kuwa kuna hilo zinaendelea, mshindani anaombea bora yaishe tu.
 
Naye ana MUKU. Ngoma drooo
Huoni anavyoweweseka ?
Mwenye MUKU huwa hana tabia ya kuwafanyia ubaya wengine bali huwa ana tabia ya kuwasaidia wengine !

Akiona watu wana shida anaumia sana moyoni !
Mwenye MUKU hamuonei mtu kwa namna yeyote ile !
Mwenye MUKU hana tamaa ya Ukwasi uliopitiliza !
Mwenye MUKU husamehe lakini hawezi kusahau !
Na mengi mengine ya namna hiyo 🙏🙏
 
Inashangaza sana watu humu ndani wanavyosifia mtu kuingia mkataba wa kulindwa na majini.

Maana MUKU ni kulindwa na majini, watu wanazidi kumuweka mbali Mungu, na hawana haja Naye.

Na narudia hakuna MUKU yoyote maana ingekuwa ni MUKU hakuna Risasi ingemuingia.

Hizo ni Kinga za kawaida basi.
 
Lissu hawezi kushinda hata kura zipigwe live uwanja wa Taifa.

Mbona Iko wazi?

Inawezekanaje mtu mwenye maoni kuwa ushoga sio tatizo awe kiongozi wa Taifa? Na ni kama hamwamini Mungu.

Sikiliza Robert, unachanganya vitu vingi Muku, Kinga, Tego, nknk.

Muku haihusiki na unachoongelea.

Na kama ingekuwa ni MUKU kweli basi hakuna Risasi hata Moja ingemuingia.

Kila unachoona kikitokea kama mtu ni mganga kweli anaweza tegua.

Kitu pekee huwezi kuzuia ama kutegua ni kile kimetoka Direct Kwa MUNGU MUUMBAJI.
When amedai ushoga sio shida? Mbona si yake katika sera ambazo amekuwa akitangaza?
 
Inashangaza sana watu humu ndani wanavyosifia mtu kuingia mkataba wa kulindwa na majini.

Maana MUKU ni kulindwa na majini, watu wanazidi kumuweka mbali Mungu, na hawana haja Naye.

Na narudia hakuna MUKU yoyote maana ingekuwa ni MUKU hakuna Risasi ingemuingia.

Hizo ni Kinga za kawaida basi.
Unatakiwa kupata somo kujua tofauti kati jini na malaika maana hawa viumbe wote hufanana kitabia hawaonekani na hufanya kazi zao back camera na wote wako very sensitive, sasa unaweza dhani unamuita jini kumbe ni malaika kuna mambo yapo kiroho sana kuyaelewa na hayo majina yasikuchanganye maana hawa hutofautishwa kwa matendo yao na sio majina yao
 
Unatakiwa kupata somo kujua tofauti kati jini na malaika maana hawa viumbe wote hufanana kitabia hawaonekani na hufanya kazi zao back camera na wote wako very sensitive, sasa unaweza dhani unamuita jini kumbe ni malaika kuna mambo yapo kiroho sana kuyaelewa na hayo majina yasikuchanganye maana hawa hutofautishwa kwa matendo yao na sio majina yao
Mkuu wewe ndio unatakiwa upewe somo, hata Muku anayoizungumzia mleta mada kakosea, MUKU haiko hivyo.

Mtu anayeongozwa na Malaika Neno MUNGU Huwa halikauki kinywani mwake.

Na ukiniambia Magufuli alikuwa anaongozwa na Malaika naweza kukubali ila sio Lissu.
 
Back
Top Bottom