Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Tahadhari: Tatizo la Lissu ana "MUKU" ya MIUNGU Ukimdhulumu lazima ufe.

Lissu hawezi kushinda hata kura zipigwe live uwanja wa Taifa.

Mbona Iko wazi?

Inawezekanaje mtu mwenye maoni kuwa ushoga sio tatizo awe kiongozi wa Taifa? Na ni kama hamwamini Mungu.

Sikiliza Robert, unachanganya vitu vingi Muku, Kinga, Tego, nknk.

Muku haihusiki na unachoongelea.

Na kama ingekuwa ni MUKU kweli basi hakuna Risasi hata Moja ingemuingia.

Kila unachoona kikitokea kama mtu ni mganga kweli anaweza tegua.

Kitu pekee huwezi kuzuia ama kutegua ni kile kimetoka Direct Kwa MUNGU MUUMBAJI.

Lisu ni muumini wa Demokrasia kama ilivyo huyo Mungu muumbaji.
 
Wana bodi!

Mimi kama Kuhani Katika Hekalu Jeusi ambaye ninaufahamu wa mambo mbalimbali ya Kiroho. Nimeona niwajulishe hili.

Kwenye huu Ulimwengu kuna watu walichorwa Alama na miungu ambayo alama hiyo kwao ni ulinzi. Ukiwagusa unapasuka wewe.

Kwenye Biblia mtu pekee aliyeripotiwa kuwekewa Alama na Mungu ni Kaini ambaye aliwekewa Alama kwenye paji la Uso wake. Ili watu wanaotaka kumuua wakiiona wasimuue. Na yeyote atakayethubutu kumuua basi Mungu atampasua na kumuangamiza.

Alama za namna hiyo huitwa MUKU.
Kwenye Ngumi mtu aliyechanjiwa MUKU akikutwanga Ngumi Moja kwenye ule Mkono wake wenye chale(Alama za miungu) unaweza kuzima au kukata Moto.

Au kuna wale Mwalimu ukimchapa mwanafunzi mwenye MUKU Mwalimu unavimba Mikono au unaumwa Mkono.
Haya mambo wengi hawayajui kwa sababu sio Elimu maarufu

Lissu anaweza kuingia kwenye kundi hilo la watu Wachache wenye MUKU.

Ukimdhulumu uwe umejipanga haswahaswa maana Hapana Shaka miungu iliyompa hiyo MUKU utacheza nayo vilivyo.

Kwa professional Killer, lazima anapotumwa Kuua mtu lazima awe na CV ya mtu anayeenda Kumuua. Na kama atagundua mtu huyo anaalama za miungu, MUKU ambayo inamlinda Basi professional Killer huweza kumshauri aliyemtuma Njia nyingine mbadala mbali na kumuua huyo mtu.

Pia kuna watu ambao Miili yao wameilaani na kuisomea Dua kuwa yeyote atakayeudhuru mwili wake kwa kuuua Basi Laana na majanga atakayoyataja yampate huyo Muuaji.

Miili hiyo inajina lake na ibada zake hufanywa na mtu mwenyewe mbele za mizimu, makuhani wa Nguvu za Giza, waganga au Majini.

Sisi bado ni watazamaji
Kwakuwa nina akili timamu, sitaongelea chochote kuhusu hii mada.
 
Ninachoona kwa huyu banamdogo ni kuwekwa kwenye majengo ya serikali, labda aweke speed governor kwenye ulimi
 
Mbowe hawezi kuogopa upuuzi wa Muku na ingekuwa hivyo ningekuwa nishakufa
 
Unataka kutuaminisha uchaguzi mkuu ulikuwa wa haki 100% lisu hakuibiwa hata kura moja uchaguzi uliopita?
 
Ni mnyaturu wa ukoo wa kimayuta, hawa wamayuta ukiwadhulumu kwa namna yeyote hawatakufanya kitu ila utapata madhara makubwa sana, utadhurika
 
Suala la kusema Lissu ana muku inamaanisha Lissu anstumia nguvu za Giza kwenye mambo yake.

Je, kama taifa tuna usalama kiasi gani kuongozwa na mtu anayetumia nguvu za Giza kuliko anayemtumainia MUNGU?

Tuna uhakika Gani hata hawafanyii wenzake ushirikina?

Mtu mwenye upeo mkubwa kiakili hawezi kamwe kumwaga Damu za waTanzania Kwa maandamano akijua Serikali haitokubali, Bali atakuwa na njia nyingi mbadala.
 
Kwenye huu uchaguzi Lisu anatakiwa kushindwa kwa HAKI tuu.
Vinginevyo mtakuja kuniambia mwaka huuhuu kabla haujaisha
Mnatoa toa vitisho visivyo na kichwa wala miguu,Hakuna lolote litakalotokea na Maisha yataenda kama kawaida


Hio miungu yenu ya kikuda haina nafasi Dunia ya sasa
 
Mnatoa toa vitisho visivyo na kichwa wala miguu,Hakuna lolote litakalotokea na Maisha yataenda kama kawaida


Hio miungu yenu ya kikuda haina nafasi Dunia ya sasa

😂😂
Karibuni muone mwaka 2025 utakavyokuwa Mbaya kwenu
 
😂😂
Karibuni muone mwaka 2025 utakavyokuwa Mbaya kwenu
Mwaka hauwi mbaya kwa maneno ya binadamu mitandaoni
Mwaka utaisha salama salmini na utaufuta huu uzi wako wa ajabu ajabu hapa

Mungu hamilikiwi na kikundi cha watu,Mungu ni wa viumbe wote

Au kwa akili yako ilivo ndogo unaona Mungu anakusikia wewe sana kuliko Binadamu wengine?
 
We muongo na vitisho vyako, Muuaji au hitman ahitaji cv ya mtu ili amuue, anahitaji picha yako na unaishi wapi, basi.

Hitman cv yako inamsaidia nini?
Huyo Lisu, hana cha muku wala alama yoyote.

Atashindwa, na atabaki chadema au ataondoka na wahuni wake, chama kitajengwa upya.
 
Wana bodi!

Mimi kama Kuhani Katika Hekalu Jeusi ambaye ninaufahamu wa mambo mbalimbali ya Kiroho. Nimeona niwajulishe hili.

Kwenye huu Ulimwengu kuna watu walichorwa Alama na miungu ambayo alama hiyo kwao ni ulinzi. Ukiwagusa unapasuka wewe.

Kwenye Biblia mtu pekee aliyeripotiwa kuwekewa Alama na Mungu ni Kaini ambaye aliwekewa Alama kwenye paji la Uso wake. Ili watu wanaotaka kumuua wakiiona wasimuue. Na yeyote atakayethubutu kumuua basi Mungu atampasua na kumuangamiza.

Alama za namna hiyo huitwa MUKU.
Kwenye Ngumi mtu aliyechanjiwa MUKU akikutwanga Ngumi Moja kwenye ule Mkono wake wenye chale(Alama za miungu) unaweza kuzima au kukata Moto.

Au kuna wale Mwalimu ukimchapa mwanafunzi mwenye MUKU Mwalimu unavimba Mikono au unaumwa Mkono.
Haya mambo wengi hawayajui kwa sababu sio Elimu maarufu

Lissu anaweza kuingia kwenye kundi hilo la watu Wachache wenye MUKU.

Ukimdhulumu uwe umejipanga haswahaswa maana Hapana Shaka miungu iliyompa hiyo MUKU utacheza nayo vilivyo.

Kwa professional Killer, lazima anapotumwa Kuua mtu lazima awe na CV ya mtu anayeenda Kumuua. Na kama atagundua mtu huyo anaalama za miungu, MUKU ambayo inamlinda Basi professional Killer huweza kumshauri aliyemtuma Njia nyingine mbadala mbali na kumuua huyo mtu.

Pia kuna watu ambao Miili yao wameilaani na kuisomea Dua kuwa yeyote atakayeudhuru mwili wake kwa kuuua Basi Laana na majanga atakayoyataja yampate huyo Muuaji.

Miili hiyo inajina lake na ibada zake hufanywa na mtu mwenyewe mbele za mizimu, makuhani wa Nguvu za Giza, waganga au Majini.

Sisi bado ni watazamaji
Mbowe anamshinda Lissu kwa 70% asubuhi na mapema bila hila wala kuvhakachua. Mtaji wa Mbowe uko kwa wapiga kura wakati Lissu mtaji wake ni mashabiki wa kwenye mtandao
 
Back
Top Bottom