Tahadhari: Teja akikuomba pesa mpatie, hachelewi kukusingizia unauza madawa



Hapana, uchunguzi wa awali na "intelijensia" inaweza kuwa ile kuhojiwa tu na polisi kituoni. Sasa wawe kama mia mbili wanangoja kuhojiwa!

Fikiri.
 
acha ujuha we bibi! nimpe buku kisa naogopa kutajwa!! akwendreeee na arosto yake!

Hongera makonda Mungu atakulipa
 
kweli ban ni mbaya, bibi ana argue kistaarabu sana, hata ile signature yake ya ujinga leo siioni
 
Kwa sababu unaonekana kuwa na akili sawa na za teja nikuulize kuwa kwa mfano niko barabarani halafu hilo teja lako linaniomba hela nakataa kulipa litaenda polisi wapi ili linitaje kwa jina gani wakati limenikuta tu njiani wala halinijui?


Huwajui mateja, wana akili za ziyada.
 
Liwalo na liwe lakini sio kumpa teja hiyo buku kama sitapelekwa polisi kwa ajili ya huyo teja basi nitapelekwa kwa lingine
 
Hapana, uchunguzi wa awali na "intelijensia" inaweza kuwa ile kuhojiwa tu na polisi kituoni. Sasa wawe kama mia mbili wanangoja kuhojiwa!

Fikiri.
Bado siwezi kutoa buku.
Ushahidi wa teja hautoshi kunifanya mimi nishtakiwe, haya mambo ni mambo yenye uzito sio kama wizi wa biskuti
 
Hii tahadhari yako kali kweli kweli, ila mm sitoi hata mia tu! wacha polisi waje kunichunguza tu.
 
Umechanganyikiwa we kibibi mpaka unakosa chakuandika!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…