tum = ??Utajipotezea muda kwa "buku" tu, wakija wanakuchukuwa mpaka wajuwe huhusiki na umesingiziwa tum umeshapoteza mambo mengi.
Ipo,vijana wako sero wanasota bila kufunguliwa mashtaka yoyote,kutangazwa kwa majina yao kwenye media,kudhalilishwa,je jamii itawaangaliaje hawa vijana,je wataendelea kuishi maisha yao kama mwanzo,je watalipwa fidia kama hawakukutwa na kosaHakuna haki ya binadam iliyokiukwa hadi sasa.
Au ipo?
Ndugu ban imeleta masahibu. Tafadhari=TafadhaliWana jamii wote tahadhari kubwa sana ichukuliwe pale teja la madawa ya kulevya (maaruf "unga") litapokuja "kukupiga mzinga" (kukuomba pesa) hususan kama tulivyowazoea omba yao kubwa ni "Buku".
Usifanye ubahili wakati huu kwani ukimuudhi tu na akienda kusema wewe ndiye unamuuzia unga utajiunga na fiesta kule central police station.
Mpe hiyo "buku" na kama hauna japo kamkopee, maana wana hasira kwani ni lazima unga utakuwa adimu mitaani kwa trend hii ya bwana Makonda inavyoenda na arosto waliyonayo, mateja wanaweza kufanya lolote la ajabu.
Tahadhari sana. Hii siyo joke.
Kwa kweli "darsa" lako limeniingia haswa, tangia uliponirekebisha kuhusu usahihi wa matumizi kati ya neno nzuri na nzuli.Safi sana, nnaona trend ya "[COLOR=#ff0000]FaizaFoxy[/COLOR] effect" na wewe imekuingia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Njoo.
Huna amani leo, kila unachopost lazima kimepinda. Kama una sembe ndani we jisalimishe maana muda si mrefu Bwana Mkubwa atakushtukia kuwa unatetemekaHayo ni mawazo yako na upo "huru" kwa kwayo.
zinafatwa = zinafuatwaKuna kila namna ya "approach" kwenye mambo kama haya. Wewe kama hauungi mkono, ndiyo yapo.
Makonda anahamasisha tu lakini tayari kuna team imeundwa ya vyombo vyote vya usalama, sidhani katika hiyo "team" kama hakuna wanasheria au waliosomea sheria.
Sheria na kanuni zitafatwa.
Mimi naunga mkono na miguu hizi jitihada.
Ha ha haaaa! Bi Mkubwa kageuzwa betri...kudadadeki!Ndugu ban imeleta masahibu. Tafadhari=Tafadhali
Huna amani leo, kila unachopost lazima kimepinda. Kama una sembe ndani we jisalimishe maana muda si mrefu Bwana Mkubwa atakushtukia kuwa unatetemeka
Kama sio joke mbona umeileta jukwaa la joke?Wana jamii wote tahadhari kubwa sana ichukuliwe pale teja la madawa ya kulevya (maaruf "unga") litapokuja "kukupiga mzinga" (kukuomba pesa) hususan kama tulivyowazoea omba yao kubwa ni "Buku".
Usifanye ubahili wakati huu kwani ukimuudhi tu na akienda kusema wewe ndiye unamuuzia unga utajiunga na fiesta kule central police station.
Mpe hiyo "buku" na kama hauna japo kamkopee, maana wana hasira kwani ni lazima unga utakuwa adimu mitaani kwa trend hii ya bwana Makonda inavyoenda na arosto waliyonayo, mateja wanaweza kufanya lolote la ajabu.
Tahadhari sana. Hii siyo joke.
Yes mimi ni punguani, nimepungukiwa penzi lako mama...niridhie tu na akili yangu itakaa sawa. Napenda sana ma-Bi Mkubwa mimiSembe mbona nnalo, lipo store tena kwa wingi tu.
Kilo limefika shillingi ngapi mtaani kwenu?
Punguani wahed.
Mbona we huna adabu unaandika makonkofigjo?Hiyo ndiyo trend ya FaizaFoxy effect.
Kudos.
Umeona uzi huu ulivyonyooka, anaeingia humu heshima na adabu katika kuandika. Na soon itakuwa JF nzima, keep it up.