Tahadhari: Teja akikuomba pesa mpatie, hachelewi kukusingizia unauza madawa

Tahadhari: Teja akikuomba pesa mpatie, hachelewi kukusingizia unauza madawa

Hakuna haki ya binadam iliyokiukwa hadi sasa.

Au ipo?
Ipo,vijana wako sero wanasota bila kufunguliwa mashtaka yoyote,kutangazwa kwa majina yao kwenye media,kudhalilishwa,je jamii itawaangaliaje hawa vijana,je wataendelea kuishi maisha yao kama mwanzo,je watalipwa fidia kama hawakukutwa na kosa

Au kwako haki za binadamu ni nini
 
Wana jamii wote tahadhari kubwa sana ichukuliwe pale teja la madawa ya kulevya (maaruf "unga") litapokuja "kukupiga mzinga" (kukuomba pesa) hususan kama tulivyowazoea omba yao kubwa ni "Buku".

Usifanye ubahili wakati huu kwani ukimuudhi tu na akienda kusema wewe ndiye unamuuzia unga utajiunga na fiesta kule central police station.

Mpe hiyo "buku" na kama hauna japo kamkopee, maana wana hasira kwani ni lazima unga utakuwa adimu mitaani kwa trend hii ya bwana Makonda inavyoenda na arosto waliyonayo, mateja wanaweza kufanya lolote la ajabu.

Tahadhari sana. Hii siyo joke.
Ndugu ban imeleta masahibu. Tafadhari=Tafadhali
 
Safi sana, nnaona trend ya "[COLOR=#ff0000]FaizaFoxy[/COLOR] effect" na wewe imekuingia.
Kwa kweli "darsa" lako limeniingia haswa, tangia uliponirekebisha kuhusu usahihi wa matumizi kati ya neno nzuri na nzuli.
upload_2017-2-6_13-36-48.png

Heshima yako mkuu
 
Kuna kila namna ya "approach" kwenye mambo kama haya. Wewe kama hauungi mkono, ndiyo yapo.


Makonda anahamasisha tu lakini tayari kuna team imeundwa ya vyombo vyote vya usalama, sidhani katika hiyo "team" kama hakuna wanasheria au waliosomea sheria.

Sheria na kanuni zitafatwa.

Mimi naunga mkono na miguu hizi jitihada.
zinafatwa = zinafuatwa

Shuleni ulienda kujifunza ujinga?
 
Huna amani leo, kila unachopost lazima kimepinda. Kama una sembe ndani we jisalimishe maana muda si mrefu Bwana Mkubwa atakushtukia kuwa unatetemeka


Sembe mbona nnalo, lipo store tena kwa wingi tu.

Kilo limefika shillingi ngapi mtaani kwenu?

Punguani wahed.
 
Wana jamii wote tahadhari kubwa sana ichukuliwe pale teja la madawa ya kulevya (maaruf "unga") litapokuja "kukupiga mzinga" (kukuomba pesa) hususan kama tulivyowazoea omba yao kubwa ni "Buku".

Usifanye ubahili wakati huu kwani ukimuudhi tu na akienda kusema wewe ndiye unamuuzia unga utajiunga na fiesta kule central police station.

Mpe hiyo "buku" na kama hauna japo kamkopee, maana wana hasira kwani ni lazima unga utakuwa adimu mitaani kwa trend hii ya bwana Makonda inavyoenda na arosto waliyonayo, mateja wanaweza kufanya lolote la ajabu.

Tahadhari sana. Hii siyo joke.
Kama sio joke mbona umeileta jukwaa la joke?
 
Sembe mbona nnalo, lipo store tena kwa wingi tu.

Kilo limefika shillingi ngapi mtaani kwenu?

Punguani wahed.
Yes mimi ni punguani, nimepungukiwa penzi lako mama...niridhie tu na akili yangu itakaa sawa. Napenda sana ma-Bi Mkubwa mimi
 
Ushauri mzuri. Ngoja nihame hapa Kino Studio. Wasijesema nina uswahiba na Khalid Mohamed!
 
Back
Top Bottom