DOKEZO Tahadhari: Unakula kuku au vibudu?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
uzuri nilipo napochukuaga kuku madori, mfugaji namjua [emoji119]

Ila kuku madori ananoga akaangwe, achomwe, makange.

Wa kienyeji asipochemshwa ipasavyo, ule ugumu wake hapana jamani [emoji1] Atabaki kuwa favorite kwenye mchemsho
 
Naonaga hata ng'ombe akifa anapakizwa kwenye guta wanamfunika sijui wanapeleka kuzika wapi[emoji1]

Vyakula tunavyolishwa kwenye Baa, Hotelini, Migahawa nk
 
Hilo sasa ni mtihani!

"Chips kuku" halafu uwe makini!

Jambo hilo ni gumu sana kulibaini kama ilivyo vigumu ngamia kupita kwenye tundu la sindano!

"Uzuri" ni kwamba, magonjwa mengi yasababishayo vifo vya kuku, kwa binadamu hayana madhara.

Ingelikuwa kama antrax ilivyo kwa wanyama, Dar yangelibakia ni magofu kama mwendo ni huo!

Kikubwa kabla ya kuanza kufakamia misosi, tusalini sana kumuomba Mungu atuepushe na ubaya utokanao na chakula tunachokula.

Maana utakwepa ya vibudu, utakumbana na ya expired ama amira!
 
Tanzania Tupo nyuma sana nakumbuka wakati nikiwa japon, mbeba box enzi hizo, kuku wakiwa hai ni faida na hata wakiwa mfu ni faida, nakumbuka tulikuwa tunawanyonyoa kwa mashine wanaingizwa kwenye boiler wanachemshwa kiasi, wanongezewe substance na vitamin wanakaushwa then wanakatwa katika vipande ready for Dogs/cats food, baada ya kupaki kwenye mifuko, sasa huku wanafukia wajiongeze kidogo tu, chain ya ufugaji kuku hapo inaharibiwa, na chakula cha mbwa sio cheap kama unavyoweza kudhani.
 


Kwa maelezo haya nishakula kibudu mara nyingi, nini ni ushauri sasa maana umeibua tatizo tu Kaka?
 
Nimekusoma, ukila nyama una wasiwasi ni dog, kuku issue, itabisi sasa mboga iwe home tu tena za kuchinjwa.
Tena wa kuchinjiwa uwe unaona maana kule unakonunua ukampa akuchinjie anaweza bado kukubadilishia ukapewa kibudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…