Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Unaweza ukiamuaHawa wa kienyeji. Wa kizungu huwezi pika na mchuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ukiamuaHawa wa kienyeji. Wa kizungu huwezi pika na mchuzi.
uzuri nilipo napochukuaga kuku madori, mfugaji namjua [emoji119]
Ila kuku madori ananoga akaangwe, achomwe, makange.
Wa kienyeji asipochemshwa ipasavyo, ule ugumu wake hapana jamani [emoji1] Atabaki kuwa favorite kwenye mchemsho
Naonaga hata ng'ombe akifa anapakizwa kwenye guta wanamfunika sijui wanapeleka kuzika wapi[emoji1]
Hilo sasa ni mtihani!Ngoja niwasanue wananchi wenzangu
Siku hizi wilaya Bagamoyo (Mapinga, Kerege, Kiaraka), ambapo wengi wetu wafugaji wa kuku ndiyo tunafanyia ufugaji mkubwa)
Nimekuwa naona makundi ya wakina mama na vijana wamebeba ndoo alfajiri wakitokea mashambani kati ya saa 1 hadi 3 asubuhi au jioni kuanzia saa 12 hadi 2 usiku.
Mwanzo nilifikiri Wanaenda kununua maziwa katika nashamba ya watu kisha wanayaleta mjini kwa ajili ya biashara
HAPANA! zile ndoo zina kuku waliokufa mabandani sasa wanaletwa mjini kwa ajili ya biashara
Ni hivi.., ukiwa mfugaji wa kuku wa nyama wengi (1000, 5000 hadi 10,000) ni kawaida sana kuingia bandani na kukuta kuku 5, 10 , 20, 30 hadi 50 wamekufa asubuhi au Jioni
Sasa utaratibu ni kwamba vijana wa kazi hawaruhusiwi kuwatupa mpaka mimi mwenye banda au meneja aje awashuhudie, awahesabu na kisha asimamie zoezi la kuwafukia kuku waliokufa
Sasa kumbe pale tunapofukia kuku waliokufa na ukiondoka tu, nyuma yake ndiyo wanaingia wale wamama wenye ndoo, wanauziwa wale kuku waliokufa Tsh 1,000 kwa kila kuku mmoja
Wanawafukua kisha wanahesabiana na kuwanunua, wale wamama wenye ndoo wanawaleta mjini kwa matumizi ya kitoweo
Wenyewe wanasema ukishaweka Kitunguu swaumu na tangawizi kujua kuku huyo alikuwa kibudu ni mpaka muuzaji akutonye la sivyo huwezi kujua
Lakini pia bei yake lazima ushtuke, kuku nusu anauzwa Tsh 3,000, kuku rangi yake nyeusi akisha kaangwa, kuku kapakwa rangi za njano au nyekundu kupoteza ishara za kuonekana ni kibudu.
Mimi au wewe huenda tumeshakula Vibudu tukifikiri ni Kuku,Tuongeze umakini katika kuchagua na Kununua Kuku.
Ukiachana na broiler ama layers, hivi ukiletewa croiler kwenye tenga ukaambiwa kuwa ni kuku wa kienyeji, una uwezo wa kumtofautisha?Kuku wa Kizungu Sili.
Dah! Ugali wa ulezi tena!Karibu Msata Kilingeni ule OG kitchen...sorry chicken sio haya mazezeta yaliyodungwa sindanoView attachment 2738188
Unadhibitije vitendo hivi mkuu? Ili liwe dokezo lazima awe ametajwa mtu kwa jina ili adhibitiwe.bandiko hili liwe dokezo
Hawa ninaoletewa na wateja huwa nawafanyia screening.. Akishakuww kadungwa chanjo hafai tena kwa shughuli za kilingeniDah! Ugali wa ulezi tena!
Hata hivyo mkuu, usijiwekee imani ya kupitiliza kuhusu kuku wa kienyeji.
Nao tunawapa chanjo kama tu kuku wa kizungu.
Ngoja niwasanue wananchi wenzangu
Siku hizi wilaya Bagamoyo (Mapinga, Kerege, Kiaraka), ambapo wengi wetu wafugaji wa kuku ndiyo tunafanyia ufugaji mkubwa)
Nimekuwa naona makundi ya wakina mama na vijana wamebeba ndoo alfajiri wakitokea mashambani kati ya saa 1 hadi 3 asubuhi au jioni kuanzia saa 12 hadi 2 usiku.
Mwanzo nilifikiri Wanaenda kununua maziwa katika nashamba ya watu kisha wanayaleta mjini kwa ajili ya biashara
HAPANA! zile ndoo zina kuku waliokufa mabandani sasa wanaletwa mjini kwa ajili ya biashara
Ni hivi.., ukiwa mfugaji wa kuku wa nyama wengi (1000, 5000 hadi 10,000) ni kawaida sana kuingia bandani na kukuta kuku 5, 10 , 20, 30 hadi 50 wamekufa asubuhi au Jioni
Sasa utaratibu ni kwamba vijana wa kazi hawaruhusiwi kuwatupa mpaka mimi mwenye banda au meneja aje awashuhudie, awahesabu na kisha asimamie zoezi la kuwafukia kuku waliokufa
Sasa kumbe pale tunapofukia kuku waliokufa na ukiondoka tu, nyuma yake ndiyo wanaingia wale wamama wenye ndoo, wanauziwa wale kuku waliokufa Tsh 1,000 kwa kila kuku mmoja
Wanawafukua kisha wanahesabiana na kuwanunua, wale wamama wenye ndoo wanawaleta mjini kwa matumizi ya kitoweo
Wenyewe wanasema ukishaweka Kitunguu swaumu na tangawizi kujua kuku huyo alikuwa kibudu ni mpaka muuzaji akutonye la sivyo huwezi kujua
Lakini pia bei yake lazima ushtuke, kuku nusu anauzwa Tsh 3,000, kuku rangi yake nyeusi akisha kaangwa, kuku kapakwa rangi za njano au nyekundu kupoteza ishara za kuonekana ni kibudu.
Mimi au wewe huenda tumeshakula Vibudu tukifikiri ni Kuku,Tuongeze umakini katika kuchagua na Kununua Kuku.
Kwa statement hii, hujaacha uganga kakangu. [emoji33][emoji33]Hawa ninaoletewa na wateja huwa nawafanyia screening.. Akishakuww kadungwa chanjo hafai tena kwa shughuli za kilingeni
Kwakweli ukiweza epuka kula kuku broiler wa kitaa na kwakweli sio kuku tuu[emoji1541][emoji1541][emoji1541]Kwa maelezo hata nishakula kibudu mara nyingi, nini ni ushauri sasa maana umeibua tatizo tu Kaka?
Kwakweli ukiweza epuka kula kuku broiler wa kitaa na kwakweli sio kuku tuu[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Vyakula tunavyolishwa kwenye Baa, Hotelini, Migahawa nk Vyakula tunavyolishwa kwenye Baa, Hotelini, Migahawa nk
Tena wa kuchinjiwa uwe unaona maana kule unakonunua ukampa akuchinjie anaweza bado kukubadilishia ukapewa kibudu
Mungu naye kuna siku atachoka kwani uzembe wetu hatuonyeshi kufanya jitihada za kuuondoa.Africa maisha yetu ni rehema zake Mungu na wema wake ndio unatupa uhai kila siku aijuae yeye.