TAHAR SABAR: Mwanadada aliyefanya plastic surgery zaidi ya Hamsini ili Afanane na Angelina Jolie

Yaan Watanzania huwa tunadanganya na vitu vya kipuuzi kwa sababu ya uvivu wetu, yaani ukienda Google ukatafuta hilo jina lake ukurasa wa kwanza tu unakupa jibu kuwa siyo plastic surgery bali ni photoshop na make up! Msiwe mnaamini kila kitu!
 
Yaan Watanzania huwa tunadanganya na vitu vya kipuuzi kwa sababu ya uvivu wetu, yaani ukienda Google ukatafuta hilo jina lake ukurasa wa kwanza tu unakupa jibu kuwa siyo plastic surgery bali ni photoshop na make up! Msiwe mnaamini kila kitu!
nani mtanzania sasa??
 
ok asante kwa taarifa๐Ÿ™
 
Kweli mkuu Watanzania wavivu sana, hata kwenda google.com tu inawashinda, kila wanachoambiwa wanaamini.
 
Hivi hakuna sehemu wanatoa huduma za kuongeza urefu
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Urefu wa nini tena mdogo wangu..!!si tulikubaliana turidhike na vimo vyetu..au?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewasiliana na Elon musk naskia kuna nauli na ticket na watu wanapimiwa viwanja[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja na mie niwahi wallah, ila wee khaaaaaaah lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ