Wachaga ni washirikina sana
Viongozi wa serikali akiwemo diwani wa kata ya machame mashariki wafunga safari kwenda kukagua barabara ambayo Inadaiwa kuoteshwa Migomba baada ya kuahidiwa lami.
viongozi hao akiwemo engineer wa wilaya baada ya kufika kijijini hapo na kukagua barabara inayodaiwa kuoteshwa Migomba na kukuta swala hilo ni la uzushi.
Diwani wa kata hiyo Mh. Fredrick lengai ambae nae alikuwa katika msafara huo amesema ni kweli barabara hiyo ilihaidiwa Lami lakini hadi sasa imekarabatiwa kwa kuwekwa maramu
Sisi tuweze kujichanga nyie mshindwe? Mnakwama wapi?Hapana mie najua mnajichanga tu wenyewe huko. Sio misallocations of resources kuleta lami kijijini kweli na huku Kuna sehemu hazina maji Safi. Kama pesa niza watanzania nadhani haijakaa sawa kabisa kutakuwa Kuna mtu analazimisha kuleta lami huko huku Kuna zahanati kibao sio salama kwa mama zetu kujifungulia.kutakuwakuna mkono wa mtu sio bure analazimisha tu hela ziende huko kisa tu anayo mandate
Ndio hiyo unatoka Narum-Tacri- Lamungo sec -Sereni- unakunja Kijiweni- unanyoosha Mowe msikitini huu hapaHii barabara ni ile inayopita msikiti mkubwa kuelekea lyamungo sinde?
Hii picha IPO Facebook tangu novemba 22, 2022, kwenye akaunti moja inaitwa Mumbai wanyoke nadhani ni waganda.
Viongozi wa serikali akiwemo diwani wa kata ya machame mashariki wafunga safari kwenda kukagua barabara ambayo Inadaiwa kuoteshwa Migomba baada ya kuahidiwa lami.
viongozi hao akiwemo engineer wa wilaya baada ya kufika kijijini hapo na kukagua barabara inayodaiwa kuoteshwa Migomba na kukuta swala hilo ni la uzushi.
Diwani wa kata hiyo Mh. Fredrick lengai ambae nae alikuwa katika msafara huo amesema ni kweli barabara hiyo ilihaidiwa Lami lakini hadi sasa imekarabatiwa kwa kuwekwa maramu
Acha wivu mkuu. Huko kwenu si mpaka leo mnaliwa funza?Wachaga ni washirikina sana
Wewe jamaa ni mwenyeji sanaee.Ndio hiyo unatoka Narum-Tacri- Lamungo sec -Sereni- unakunja Kijiweni- unanyoosha Mowe msikitini huu hapa
Mnayapita Majiji gani? Labda Holili na Kilema.Kumbuka huku ni Kilimanjaro mkuu, Sasa kama kwenye kukusanya mapato tunayapita majiji matatu na wakati hapa ni Manisipaa tu unashangaa nini?
Kilimanjaro ni kawaida barabara za kijijini kuwa na lamiView attachment 2483885Barabara ya Kijiji lami na huku Kuna wilaya hazina moramu
Kilimanjaro sio machame tuAfu nyie wakibosho wavuta bangi na Kaka zenu wanachoma watu visu. Pia kumbuka Kilimanjaro Ni machame bana huko kwingine Ni sawa na kwao na vyasaka.
Karibu hapa rombo mkuu,uko wapi saivi wewe kysaka mwenzangu
Kwa Hela zetu ndio Angalia hapaKwa hela zenu ama za watanzania. Kuna mkibosho siku moja kidogo anitoe roho ujue kisa sh 10 ilipelea
HizoHayo hayotokuwa majiji bali vijiji.
Anyway data ndio uthibitisho sio stori za vijiwe vya mbege.
Wapi ktk Kilimanjaro hakuna zahanati?Hapana mie najua mnajichanga tu wenyewe huko. Sio misallocations of resources kuleta lami kijijini kweli na huku Kuna sehemu hazina maji Safi. Kama pesa niza watanzania nadhani haijakaa sawa kabisa kutakuwa Kuna mtu analazimisha kuleta lami huko huku Kuna zahanati kibao sio salama kwa mama zetu kujifungulia.kutakuwakuna mkono wa mtu sio bure analazimisha tu hela ziende huko kisa tu anayo mandate
Washirikina ni nyie wapanda fisiWachaga ni washirikina sana
HayoMnayapita Majiji gani? Labda Holili na Kilema.
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Demi, umenichekesha sana..Hatuna utani na pesa.
Tunajenga lami kwa pesa za watanzania ambazo ni zetu.
Si ni kweli eti? 😀Demi, umenichekesha sana..
Kwa hiyo hizo picha ni za wapi sasa?
Viongozi wa serikali akiwemo diwani wa kata ya machame mashariki wafunga safari kwenda kukagua barabara ambayo Inadaiwa kuoteshwa Migomba baada ya kuahidiwa lami.
viongozi hao akiwemo engineer wa wilaya baada ya kufika kijijini hapo na kukagua barabara inayodaiwa kuoteshwa Migomba na kukuta swala hilo ni la uzushi.
Diwani wa kata hiyo Mh. Fredrick lengai ambae nae alikuwa katika msafara huo amesema ni kweli barabara hiyo ilihaidiwa Lami lakini hadi sasa imekarabatiwa kwa kuwekwa maramu
Why do you narrow your mind that way.Am talking about Tanzania man. I don't think locally I think globally but I act locally.najua unataka kuleta ligi. Na hii ndio kuwaza kikabila ama kimkoa ndio uliwafanya wachaga wangekiwa wao ndio Wana raisi wa kwanza. Sema Marealle kule UN akadai Uhuru wa kaskazini badala ya Uhuru wa Tanzania nzima.Wapi ktk Kilimanjaro hakuna zahanati?
Nyie endeleeni kudai hiyo barabara yenu kutoka Sumbawanga kwenda Kalambo na wao waacheni wadai barabara yao ya kijiji kuwekwa lami, yaani kiufupi kila mtu ashinde mechi zake.Kwa jinsi ninavyofahamu Narumu ni kijiji cha ndani ndani huko kwahiyo kuwekewa lami wakati kutoka Sumbawanga kwenda Kalambo hakuna lami sio sawa. Waache ubinafsi kwasababu barabara ya kutoka Njiapanda (machine tools) hadi geti la Kinapa kuna lami.