Taharuki yatokea kijiji cha Narumu, Machame Mashariki baada ya picha zikionesha migomba ikipandwa barabarani

Taharuki yatokea kijiji cha Narumu, Machame Mashariki baada ya picha zikionesha migomba ikipandwa barabarani


Viongozi wa serikali akiwemo diwani wa kata ya machame mashariki wafunga safari kwenda kukagua barabara ambayo Inadaiwa kuoteshwa Migomba baada ya kuahidiwa lami.

viongozi hao akiwemo engineer wa wilaya baada ya kufika kijijini hapo na kukagua barabara inayodaiwa kuoteshwa Migomba na kukuta swala hilo ni la uzushi.

Diwani wa kata hiyo Mh. Fredrick lengai ambae nae alikuwa katika msafara huo amesema ni kweli barabara hiyo ilihaidiwa Lami lakini hadi sasa imekarabatiwa kwa kuwekwa maramu
Wachaga ni washirikina sana
 
Hapana mie najua mnajichanga tu wenyewe huko. Sio misallocations of resources kuleta lami kijijini kweli na huku Kuna sehemu hazina maji Safi. Kama pesa niza watanzania nadhani haijakaa sawa kabisa kutakuwa Kuna mtu analazimisha kuleta lami huko huku Kuna zahanati kibao sio salama kwa mama zetu kujifungulia.kutakuwakuna mkono wa mtu sio bure analazimisha tu hela ziende huko kisa tu anayo mandate
Sisi tuweze kujichanga nyie mshindwe? Mnakwama wapi?
 

Viongozi wa serikali akiwemo diwani wa kata ya machame mashariki wafunga safari kwenda kukagua barabara ambayo Inadaiwa kuoteshwa Migomba baada ya kuahidiwa lami.

viongozi hao akiwemo engineer wa wilaya baada ya kufika kijijini hapo na kukagua barabara inayodaiwa kuoteshwa Migomba na kukuta swala hilo ni la uzushi.

Diwani wa kata hiyo Mh. Fredrick lengai ambae nae alikuwa katika msafara huo amesema ni kweli barabara hiyo ilihaidiwa Lami lakini hadi sasa imekarabatiwa kwa kuwekwa maramu
Hii picha IPO Facebook tangu novemba 22, 2022, kwenye akaunti moja inaitwa Mumbai wanyoke nadhani ni waganda.

IMG_20230116_180823.jpg
 
Afu nyie wakibosho wavuta bangi na Kaka zenu wanachoma watu visu. Pia kumbuka Kilimanjaro Ni machame bana huko kwingine Ni sawa na kwao na vyasaka.
Karibu hapa rombo mkuu,uko wapi saivi wewe kysaka mwenzangu
Kilimanjaro sio machame tu
Rombo,marangu,kibosho pia kuna pigo kubwa
1672495074965.jpg
1671005729858.jpg
 
Hapana mie najua mnajichanga tu wenyewe huko. Sio misallocations of resources kuleta lami kijijini kweli na huku Kuna sehemu hazina maji Safi. Kama pesa niza watanzania nadhani haijakaa sawa kabisa kutakuwa Kuna mtu analazimisha kuleta lami huko huku Kuna zahanati kibao sio salama kwa mama zetu kujifungulia.kutakuwakuna mkono wa mtu sio bure analazimisha tu hela ziende huko kisa tu anayo mandate
Wapi ktk Kilimanjaro hakuna zahanati?
 

Viongozi wa serikali akiwemo diwani wa kata ya machame mashariki wafunga safari kwenda kukagua barabara ambayo Inadaiwa kuoteshwa Migomba baada ya kuahidiwa lami.

viongozi hao akiwemo engineer wa wilaya baada ya kufika kijijini hapo na kukagua barabara inayodaiwa kuoteshwa Migomba na kukuta swala hilo ni la uzushi.

Diwani wa kata hiyo Mh. Fredrick lengai ambae nae alikuwa katika msafara huo amesema ni kweli barabara hiyo ilihaidiwa Lami lakini hadi sasa imekarabatiwa kwa kuwekwa maramu
Kwa hiyo hizo picha ni za wapi sasa?
 
Wapi ktk Kilimanjaro hakuna zahanati?
Why do you narrow your mind that way.Am talking about Tanzania man. I don't think locally I think globally but I act locally.najua unataka kuleta ligi. Na hii ndio kuwaza kikabila ama kimkoa ndio uliwafanya wachaga wangekiwa wao ndio Wana raisi wa kwanza. Sema Marealle kule UN akadai Uhuru wa kaskazini badala ya Uhuru wa Tanzania nzima.

Mie huwa naumia niliona sehemu yoyote Tanzania unazo huduma mbovu na duni na huku watu wakinunua gari la kutembelea la 600M.
Mtu anasaini mktaba wa software wa bilioni 69 na huku Kuna sehemu wanatunzi wanakaa chini mie kwangu am sick hijalishi kuwa Ni wapi.
 
Kwa jinsi ninavyofahamu Narumu ni kijiji cha ndani ndani huko kwahiyo kuwekewa lami wakati kutoka Sumbawanga kwenda Kalambo hakuna lami sio sawa. Waache ubinafsi kwasababu barabara ya kutoka Njiapanda (machine tools) hadi geti la Kinapa kuna lami.
Nyie endeleeni kudai hiyo barabara yenu kutoka Sumbawanga kwenda Kalambo na wao waacheni wadai barabara yao ya kijiji kuwekwa lami, yaani kiufupi kila mtu ashinde mechi zake.
 
Back
Top Bottom