minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Ngeti anasaka uteuzi kishamba kwa njia haramu za kishetaniHapa nimeona hoja ya mashiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngeti anasaka uteuzi kishamba kwa njia haramu za kishetaniHapa nimeona hoja ya mashiko
Ngeti kaamua kujitoa fahamu zote akisaka uteuzi kwa njia haramu za kishetaniBollen Ngetti na wenzako msimamo wangu ni MAISHA YANGU NI JUKUMU LANGU, hakuna wa kunifanyia kampeni za kisiasa kuhusu ulinzi wa afya yangu.
Tanzania kushindana na World
Health Organization (WHO) hakuna tija kwani sisi pia ni mwanachama na tulikubali masharti, Tanzania inategemea chanjo nyingi za watoto, kuzikataa wakati hatuna uwezo wa kuzitengeneza ni kujichimbia kaburi.
Nikipata Korona Bollen na wenzako hamtakuwa pembeni ya kitanda changu kuniuguza wala kuilisha familia yangu.
CCM hawakuwa na huruma kwenye uchaguzi waliwapora wapiga kura haki za kuchagua wakajisimika ubunge udiwani kujipeleka ikulu kienyeji kwa kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu bila Aibu, cha ajabu sasa wanajidai kuwa na huruma juu ya Chanjo wakati pesa za corona wamezitafuna kifisadi hakuna ajuae zilipotelea wapiAchani kujifanya mnatupenda na kutusemea kila kitu kwa ujinga wenu wa kufikiri mnayajua sana mahitaji yetu. Acha mimi nichanjwe hata kwa hela yangu.
Ngoja waje kukubishia hapaEti wangeleta TIBA badala ya chanjo msipende kudiscus mambo ya kitaalam ki siasa zaidi VIRUS vinakufa kwa dawa gani.?
Hata Tanzania nayo corona inaua sana lakini CCM wanaficha takwimu taarifa ili watanzania waambukizane wafe kwa wingi baada wachukue pesa nyingi tokea WHO kimya kimya wazipige kama walivyofanya awaliMalawi NI Malawi na Tanzania ni Tanzania.
Nakukumbisha tu hizo ni nchi mbili tofauti
Ngeti anasaka uteuzi sasa kaamua kuunga juhudi kwa njia haramu za kishetaniNilikuwa najiuliza nini kimemkumba Bollen Ngetti? Kumbe yupo huku? Aisee Adui Muombee Njaa.
Kwa sasa CCM yote hawafikiri kwa Akili zao binafsi mpigie Sele 0787132277 yupo huko Dsm kwa mliopo Dsm atakupa jibu kuwa sasa ni zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM tu hakuna zaidi, Sele ni mmojawapo wa washauri wakuu wa CCM makao makuu na pia ni mwakalishi na Rais mambo ya jamii mpigieni simu awape michakato yoteKama bwana wao anadhani kila gonjwa linaweza kuwa na chanjo unadhani wao akili zao zitakuwa tofauti? Kwangu mimi ukiniambia Magufuli alifika kidato cha sita nitakataa katu katu. Kuna namna iliyofanyika. Upeo wa form six hauwezi kuwa mdogo namna hiyo.
etu haki ya binadamu, kachukueni yakwenu mjichome,Taasisi ya Haki za Binadamu, Tanzania Human Rights-Foundation (TAHURI) imetoa tamko la kuwataka Watanzania kuungana pamoja katika vita dhidi ya Shirika la Afya Duniani, WHO na Rais Magufuli huku likiwataka wananchi kumuunga mkono Rais wao.
Akiongea na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo Bollen Ngetti amesema;
"Tunaweza kutofautiana katika mambo mengi ya kiitikadi, kimtazamo na maono lakini katika mambo ya msingi kwa nchi kama hili la chanjo ni sharti tuungane kuwa kitu kimoja".
Aidha, Ngetti ambaye ni mwandishi wa habari nchini amesema Watanzania wasikimbilie tu athari za kiafya kwa chanjo hiyo na badala yake waangalie athari za kiuchumi.
"Tutambue kuwa dunia iko katika vitu kubwa ya kiuchumi. Kama Tahuri hatutajikita sana katika athari za kiafya za chanjo hiyo lakini tufikirie ni fedha kiasi gani chanjo hiyo itaswaga?"
"Ikumbukwe kwamba, kwa mujibu wa WHO ili nchi za ki-Afrika kupata chanjo kutoka makampuni yaliyojiorodhesha kwenye mkataba wa COVAX ambayo ni BioNTech na Moderna itazigharimu kiasi cha Dola za Marekani kati ya 7-11 kwa chanjo moja".
Ngetti ameendelea kusema, "kwa Tanzania pekee kama Rais Magufuli ataruhusu chanjo itatugharimu Tsh104Trilioni kwa idadi ya watu wetu nchi nzima. Hii ni fedha nyingi sana kwa nchi changa kama sisi".
Ngetti amefafanua kuwa fedha hizo zitatakiwa kukopwa kutoka Benki ya Dunia kwa udhamini wa ADB na itachukua miaka zaidi ya kumi kuzirejesha kwa riba ya asilimia 7.2.
Aidha, Ngetti amehoji, "kama nia njema kwa nini wazungu wamekimbilia kutafuta chanjo badala ya tiba kamili? Walijua kwa tiba utahitaji dozi chache sawa na idadi ya walioambukizwa ambao kwa sasa ni milioni 100 lakini kinga utacheza namba ya watu duniani".
"Jambo la pekee kama Taifa tunalotakiwa kufanya ni kufuata masharti ya kujikinga huku tulifanya kazi kwa bidii, huu ni upepo unaovuma na kupita, tusiondoshwe kwenye reli".
Ngetti amemaliza kwa kusema, "Magufuli si kichaa, wala hana historia ya ukichaa, anatutakia mema tusimvunje moyo. Lakini pia wataalamu wetu nao wakeshe maabara kukuna vichwa aidha kuchunguza chanjo hizo au kugundua za kwetu kama Waganda wanavyofanya"
My Take: Kwa vita hii tutashuhudia na kusikia mengi. Vita hii ya Magu na wanasayansi itaibua makubwa. Subiri tuone!
Mpigie sele 0787132277 mshauri mkuu wa katibu mkuu wa CCM atakupa kila kitu kwani anajua siri zote za CCMNgoja waje kukubishia hapa
Haina haja, kama unazifahamu ni-pmMpigie sele 0787132277 mshauri mkuu wa katibu mkuu wa CCM atakupa kila kitu kwani anajua siri zote za CCM
Propaganda!
Fedha siyo lazima iwe ilikuwa budgeted, inakopwa WB -- tatizo unairudisha at your own costsHapo ndipo mtaona umuhimu wa kuweka budget kwenye mambo ya maana na sio kuspend pesa kwenye vitu ambavyo ulazima ni 50 percent haya yasingetukuta.
Afya pamoja na ulinzi.
Kama tungekuwa na chanjo yetu wenyewe yenye viwango na high quality tanzania then tunaisambaza africa nzima basi tungekuwa powerful in africa in 3 month.
Taasisi ya Haki za Binadamu, Tanzania Human Rights-Foundation (TAHURI) imetoa tamko la kuwataka Watanzania kuungana pamoja katika vita dhidi ya Shirika la Afya Duniani, WHO na Rais Magufuli huku likiwataka wananchi kumuunga mkono Rais wao.
Akiongea na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo Bollen Ngetti amesema;
"Tunaweza kutofautiana katika mambo mengi ya kiitikadi, kimtazamo na maono lakini katika mambo ya msingi kwa nchi kama hili la chanjo ni sharti tuungane kuwa kitu kimoja".
Aidha, Ngetti ambaye ni mwandishi wa habari nchini amesema Watanzania wasikimbilie tu athari za kiafya kwa chanjo hiyo na badala yake waangalie athari za kiuchumi.
"Tutambue kuwa dunia iko katika vitu kubwa ya kiuchumi. Kama Tahuri hatutajikita sana katika athari za kiafya za chanjo hiyo lakini tufikirie ni fedha kiasi gani chanjo hiyo itaswaga?"
"Ikumbukwe kwamba, kwa mujibu wa WHO ili nchi za ki-Afrika kupata chanjo kutoka makampuni yaliyojiorodhesha kwenye mkataba wa COVAX ambayo ni BioNTech na Moderna itazigharimu kiasi cha Dola za Marekani kati ya 7-11 kwa chanjo moja".
Ngetti ameendelea kusema, "kwa Tanzania pekee kama Rais Magufuli ataruhusu chanjo itatugharimu Tsh104Trilioni kwa idadi ya watu wetu nchi nzima. Hii ni fedha nyingi sana kwa nchi changa kama sisi".
Ngetti amefafanua kuwa fedha hizo zitatakiwa kukopwa kutoka Benki ya Dunia kwa udhamini wa ADB na itachukua miaka zaidi ya kumi kuzirejesha kwa riba ya asilimia 7.2.
Aidha, Ngetti amehoji, "kama nia njema kwa nini wazungu wamekimbilia kutafuta chanjo badala ya tiba kamili? Walijua kwa tiba utahitaji dozi chache sawa na idadi ya walioambukizwa ambao kwa sasa ni milioni 100 lakini kinga utacheza namba ya watu duniani".
"Jambo la pekee kama Taifa tunalotakiwa kufanya ni kufuata masharti ya kujikinga huku tulifanya kazi kwa bidii, huu ni upepo unaovuma na kupita, tusiondoshwe kwenye reli".
Ngetti amemaliza kwa kusema, "Magufuli si kichaa, wala hana historia ya ukichaa, anatutakia mema tusimvunje moyo. Lakini pia wataalamu wetu nao wakeshe maabara kukuna vichwa aidha kuchunguza chanjo hizo au kugundua za kwetu kama Waganda wanavyofanya"
Le mutuz yupo kwa waganga wa kienyeji anampiga Ndumba kali ashindwe kumfunika cyprian Musiba
Hata Tanzania nayo corona inaua sana lakini CCM wanaficha takwimu taarifa ili watanzania waambukizane wafe kwa wingi baada wachukue pesa nyingi tokea WHO kimya kimya wazipige kama walivyofanya awali
Ngeti anasaka uteuzi sasa kaamua kuunga juhudi kwa njia haramu za kishetani