Taifa la Israel linalindwa na Mungu (Mungu hufanya kazi pamoja na wanadamu)

Taifa la Israel linalindwa na Mungu (Mungu hufanya kazi pamoja na wanadamu)

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Kuna watu kwa sababu ya kukosa maarifa huwa wanapinga ulinzi wa Mungu juu ya Israel.

Wanadai Israel ailindwi na Mungu lakini inalindwa na MAREKANI, ulaya, UINGEREZA. Nataka kulifafanua hili. Mungu haonekani kwa macho ya mwili wa mwanadamu. Ila ameweka kanuni.

Utaratibu wa Mungu hapa duniani ni kufanya kazi pamoja na Wanadamu. Jambo lolote hapa duniani Mungu hutumia Wanadamu.

Maugunduzi yote hapa duniani, Mungu alitumia Wanadamu kama Newton, Einstein, Galileo, Archimedes, Edison nk. Kwa kutumia Wanadamu Hao, Mungu AMETULETEA maendeleo mengi tu. Hayakushuka tu kutoka juu.

Hata Taifa LA Israel ni hivyo hivyo. Mungu hutumia mataifa ya MAREKANI na Ulaya kulilinda taifa LA Israel kwa sababu maalum.

(2wakorinto 6:1)
 
1722769724782.png
 
Kuna watu kwa sababu ya kukosa maarifa huwa wanapinga ulinzi wa Mungu juu ya Israel.

Wanadai Israel ailindwi na Mungu lakini inalindwa na MAREKANI, ulaya, UINGEREZA. Nataka kulifafanua hili. Mungu haonekani kwa macho ya mwili wa mwanadamu. Ila ameweka kanuni.

Utaratibu wa Mungu hapa duniani ni kufanya kazi pamoja na Wanadamu. Jambo lolote hapa duniani Mungu hutumia Wanadamu.

Maugunduzi yote hapa duniani, Mungu alitumia Wanadamu kama Newton, Einstein, Galileo, Archimedes, Edison nk. Kwa kutumia Wanadamu Hao, Mungu AMETULETEA maendeleo mengi tu. Hayakushuka tu kutoka juu.

Hata Taifa LA Israel ni hivyo hivyo. Mungu hutumia mataifa ya MAREKANI na Ulaya kulilinda taifa LA Israel kwa sababu maalum.

(2wakorinto 6:1)
Mungu gani unaye mzungumzia lilipaswa kuwa jambo la kwanza kutueleza.
 
Hao wayahudi sindio walimsulubisha huyo mungu wenu halafu huyo huyo mungu aliebondwa anawalinda Tena hao basi huyo mungu anaupendeleo hatufai
 
Kuna watu kwa sababu ya kukosa maarifa huwa wanapinga ulinzi wa Mungu juu ya Israel.

Wanadai Israel ailindwi na Mungu lakini inalindwa na MAREKANI, ulaya, UINGEREZA. Nataka kulifafanua hili. Mungu haonekani kwa macho ya mwili wa mwanadamu. Ila ameweka kanuni.

Utaratibu wa Mungu hapa duniani ni kufanya kazi pamoja na Wanadamu. Jambo lolote hapa duniani Mungu hutumia Wanadamu.

Maugunduzi yote hapa duniani, Mungu alitumia Wanadamu kama Newton, Einstein, Galileo, Archimedes, Edison nk. Kwa kutumia Wanadamu Hao, Mungu AMETULETEA maendeleo mengi tu. Hayakushuka tu kutoka juu.

Hata Taifa LA Israel ni hivyo hivyo. Mungu hutumia mataifa ya MAREKANI na Ulaya kulilinda taifa LA Israel kwa sababu maalum.

(2wakorinto 6:1)
Mungu analinda Watu wanaovunja na kuyatukana Jina na makanisa yake!??
Mungu gani huyo?
 
Kuna watu kwa sababu ya kukosa maarifa huwa wanapinga ulinzi wa Mungu juu ya Israel.

Wanadai Israel ailindwi na Mungu lakini inalindwa na MAREKANI, ulaya, UINGEREZA. Nataka kulifafanua hili. Mungu haonekani kwa macho ya mwili wa mwanadamu. Ila ameweka kanuni.

Utaratibu wa Mungu hapa duniani ni kufanya kazi pamoja na Wanadamu. Jambo lolote hapa duniani Mungu hutumia Wanadamu.

Maugunduzi yote hapa duniani, Mungu alitumia Wanadamu kama Newton, Einstein, Galileo, Archimedes, Edison nk. Kwa kutumia Wanadamu Hao, Mungu AMETULETEA maendeleo mengi tu. Hayakushuka tu kutoka juu.

Hata Taifa LA Israel ni hivyo hivyo. Mungu hutumia mataifa ya MAREKANI na Ulaya kulilinda taifa LA Israel kwa sababu maalum.

(2wakorinto 6:1)
Tafsiri ya mungu nipana sana, pia hope atakuwa mungu bahari(USA and Allied NATO)
 
Hao wayahudi sindio walimsulubisha huyo mungu wenu halafu huyo huyo mungu aliebondwa anawalinda Tena hao basi huyo mungu anaupendeleo hatufai
Hivi Mwanao akikukojolea utamuua? And akiumwa utamuacha bila kumpeleka akatibiwe?

MTUME wenu Mudy aliwaambia mkiumwa mnywe Mkojo wa Punda unaenda kamata mshukushu wa punda unakinga mkojo unakunywa...
 
Ahadi baina ya YHWH na Ibrahim ni Ardhi na Mataifa makubwa.. so tulieni..

Ahadi ya Allah kwa Musa na wanawake ni Ardhi kuishi humo bila kutoka na kuipigania hadi Kiama.. makafiri pingeni
 
Kuna watu kwa sababu ya kukosa maarifa huwa wanapinga ulinzi wa Mungu juu ya Israel.

Wanadai Israel ailindwi na Mungu lakini inalindwa na MAREKANI, ulaya, UINGEREZA. Nataka kulifafanua hili. Mungu haonekani kwa macho ya mwili wa mwanadamu. Ila ameweka kanuni.

Utaratibu wa Mungu hapa duniani ni kufanya kazi pamoja na Wanadamu. Jambo lolote hapa duniani Mungu hutumia Wanadamu.

Maugunduzi yote hapa duniani, Mungu alitumia Wanadamu kama Newton, Einstein, Galileo, Archimedes, Edison nk. Kwa kutumia Wanadamu Hao, Mungu AMETULETEA maendeleo mengi tu. Hayakushuka tu kutoka juu.

Hata Taifa LA Israel ni hivyo hivyo. Mungu hutumia mataifa ya MAREKANI na Ulaya kulilinda taifa LA Israel kwa sababu maalum.

(2wakorinto 6:1)
Na Taifa lako la Tanzania linalindwa na nani Shetani? Waafrika akili zetu hadi tunatia huruma
 
Kuna watu kwa sababu ya kukosa maarifa huwa wanapinga ulinzi wa Mungu juu ya Israel.

Wanadai Israel ailindwi na Mungu lakini inalindwa na MAREKANI, ulaya, UINGEREZA. Nataka kulifafanua hili. Mungu haonekani kwa macho ya mwili wa mwanadamu. Ila ameweka kanuni.

Utaratibu wa Mungu hapa duniani ni kufanya kazi pamoja na Wanadamu. Jambo lolote hapa duniani Mungu hutumia Wanadamu.

Maugunduzi yote hapa duniani, Mungu alitumia Wanadamu kama Newton, Einstein, Galileo, Archimedes, Edison nk. Kwa kutumia Wanadamu Hao, Mungu AMETULETEA maendeleo mengi tu. Hayakushuka tu kutoka juu.

Hata Taifa LA Israel ni hivyo hivyo. Mungu hutumia mataifa ya MAREKANI na Ulaya kulilinda taifa LA Israel kwa sababu maalum.

(2wakorinto 6:1)

Kazi kweli kweli[emoji1787]

Kwaiyo na sisi Tanzania tunalindwa na nani au hatulindwi?
 
Kuna watu kwa sababu ya kukosa maarifa huwa wanapinga ulinzi wa Mungu juu ya Israel.

Wanadai Israel ailindwi na Mungu lakini inalindwa na MAREKANI, ulaya, UINGEREZA. Nataka kulifafanua hili. Mungu haonekani kwa macho ya mwili wa mwanadamu. Ila ameweka kanuni.

Utaratibu wa Mungu hapa duniani ni kufanya kazi pamoja na Wanadamu. Jambo lolote hapa duniani Mungu hutumia Wanadamu.

Maugunduzi yote hapa duniani, Mungu alitumia Wanadamu kama Newton, Einstein, Galileo, Archimedes, Edison nk. Kwa kutumia Wanadamu Hao, Mungu AMETULETEA maendeleo mengi tu. Hayakushuka tu kutoka juu.

Hata Taifa LA Israel ni hivyo hivyo. Mungu hutumia mataifa ya MAREKANI na Ulaya kulilinda taifa LA Israel kwa sababu maalum.

(2wakorinto 6:1)
Wafia dini ni wabishi hawatakuelewa
 
Hizi ngonjera za Israeli kuwa taifa la mungu zifike mwisho sasa.
 
Hizi ngonjera za Israeli kuwa taifa la mungu zifike mwisho sasa.
Paulo huyo alikuwa ni Mjewish ndio kawadanganya vile, kwanza wakati wa bibilia ya Paulo wapi kulikuwa na taifa linaitwa Israel, Paulo alikuwa hampendi Yesu na wanafunzi wake. Afu Yesu ana fundisha vingine yeye anafundisha vingine. Yesu hakuwahi hata siku moja kusema Yeye ni Mungu au Mtoto wa Mungu wao wakasema eti ile kusema my father mbona kuna sehemu nyingi tu Yesu anawambia our father kurefer Mungu basi na sisi watoto wa Mungu basi 😄

Yesu hakukosea kuwaita nguruwe. Afu anakuja mkristo anasema Mtume wenu anaitambua bibilia, Quran iko wazi kabisa inaongelea zile scriptures za Mosses, David, na Jesus. Sio hio ya Shetan alio ota chini ya mti wa mkunazi 😄
 
Hapo hata waarabu wajikusanye wote hawatoweza kupigana na israel never.
 
Back
Top Bottom