Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Wakristo ni noma huwa nikiwambia wana kasirika lakini ukweli ni huo, ukristo ni uharo mtupu binadamu kwao ni Mungu. Taifa dhaifu kama Israel wao wanasema taifa la Mungu. Taifa la Mungu wao linaomba nchi za kiarabu zimsaidie 😄 Taifa la Mungu linambembeleza Iran asilipigeMungu analinda Watu wanaovunja na kuyatukana Jina na makanisa yake!??
Mungu gani huyo?
Na angalieni utumbo G7 wanaomba Iran asimpige Israel, sa yeye kama Jeuri anajidai ni Super power kwanini anatafuta shari na Iran