Nasoma na sielewi ulicho andika.....Kama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hicho tu hata mimi sijaelewa kabisaHiyo namba hapo mwisho ya nini?
Siku akifa mwenyekiti wa nyumbu shangwe lake usipimeMagufuli ndiye alipandikiza hii roho ya visasi na hii ni typical roho ya kihutu.
Shangilieni tu ni jadi yenu, lakini hakika kifo cha Magufuli ilikuwa faraja kubwa kwa Taifa hiliSiku akifa mwenyekiti wa nyumbu shangwe lake usipime
Naomba uniletee uzi wako unaoonyesha kuwa, uliandika Kama hivi wakati wa msiba wa JPM.Kama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Ni haki yao kushangilia, zamu kwa zamu, ukiumiza utaumizwa!![emoji1745]. Japo sipendi hii tabia ,bt waache nao washingilie mioyo yao angalau ipone!!Kama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Nape na mzee Membe ndio walishamgilia na kusema Mungu ameamuaTulidhani wataishi milele, kumbe na wao siyo wema!
Ahaa kumbe bado mnaendelea sawa subiri kifo kije kubisha hodi kwako mimi najua kifo cha Magufuli kulikuwa faraja kwa mafisadi, wezi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia ya halali na isiyo halaliShangilieni tu ni jadi yenu, lakini hakika kifo cha Magufuli ilikuwa faraja kubwa kwa Taifa hili
True waliomsimanga marehemu kama makamba nape ndo waliongozewa vyeo na kupewa uwaziri hata siku moja mama hakuwahi mukemea haya maaana yake alibariki hayaHii michezo mlianza wenyewe kufurahia kifo cha rais wetu kipenzi Magufuli mkamwita mwendazake hakuna kiongozi hata mmoja aliyewahi kukemea hii tabia
Walipomuua na kushangilia kifo cha Rais wetu kwa kujipongeza waziwazi uliandika uzi? Tulia tudondoshane sasaKama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Magufuli alianzisha lini huo uchafu, nyie mlitengeneza chuki kwa Magufuli mkamzushia kila baya baada ya kuziba mirija yenu ya uwizi na upigaji..siasa za kikatili na chuki alizianzisha Magufuli.
..Na zitaondoka kukiundwa Tume ya Ukweli, Haki, na Upatanishi.
Wewe ndio hauelewa Magufuli aitaka kuirudisha nchi hii mikononi mwa wananchi kutoka kwa wanyonyaji masisiem ndio maana maadui wengi ni ikutoka huko CCM sasa CCM wakawa na chuki kali kutoka kwake..siasa za kikatili na chuki alizianzisha Magufuli.
..Na zitaondoka kukiundwa Tume ya Ukweli, Haki, na Upatanishi.
Sukuma Gang nyie hamna faida yoyote kufeni tu wauaji wakubwa nyie rudini kwenu BurundiAhaa kumbe bado mnaendelea sawa subiri kifo kije kubisha hodi kwako mimi najua kifo cha Magufuli kulikuwa faraja kwa mafisadi, wezi, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya, wafanyabiashara wa siasa wanajitafutia kipato kwa njia ya halali na isiyo halali