Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hao ni wasaka tonge. Kila wanachofanya wanafanya ili kujikomba.Nje ya mada, hivi hua kunaulazima gani kuandika uzi kisha namba ya simu...🤔 Yaani, unaandika namba ya simu ili nini kiwe...😧
Dunia hii kila anapokufa mtu kuna watu watafurahi na kuna watakaohuzunika. Kama aliyefariki alikuwa mtu mbaya wengi watafurahi. Na kama alikuwa mtu mzuri wengi watasikitika. Magufuli aliua watu kwa makusudi ndiyo maana wengi walifurahia kifo chake.to be honest Mimi ni mmojawao. na ni maombi yangu wale wote waliomsumbua na kufurahia kifo Cha magufuli wakakufe wote hata saa hii.
Sawa haya anza kushangilia sasa unenepeTrust me hata kifo cha makengeza kitakuwa faraja sana kwa taifa, Time will tell
HahahahPumbavu vzao acha mbwai iwe mbwai wafe wao tufe sisi tuendelee kuzikana kwa awamu walianzisha, Pumbavu Mungu habagui dadadadeki kitu hicho, imoooo imoooo goooooal
Ni vile tu sio pigo zangu kufurahia kifo cha mtu... ila kauli za kejeli wanazotoaga kwa kifo cha jembe JPM (lililotupelekaga uchumi wa kati) waga zinanipa hasira kinooooomaaa!!!Watanzania wenzangu kifo Cha magufuli kiliniuma mnooooooo,nawachukia mno waliokuwa wanakejeli kifo kile,niliamua kupotezea lakini shangwe zinazotawala humu jf juu ya kifo Cha membe zimenitisha mnooooooo ,watanzania wenzangu kumbe mioyoni mwetu tumetunza chuki Kali namna hiiii!!!!!!!!! Naomba turudi kwenye mstari utanzania wetu unaporomoka kwa Kasi mnoooooooooooooooo,hii ni hatariiiiiiiiiiiiii nasema kwa kinywa wazi ni hatariiiiiiii
Na nani kwamfano...🤔Kutambuliwa.
Si ili apate teuziUna hoja nzuri ila namba ya Simu ya nini sasa?
Mbowe anahusika vipi na matatizo yenu ya huko CCM. nyie malizaneni wenyewe huko msituingize kwenye bifu zenu.Walishangilia kifo cha Magufuli wakafikiri wao hawatakufa ,na bado siku ya Mboe itakuwa balaa kwa kushangilia.
Kwani nani hatakufa? Wote tutakufa ila katika mipango tofauti kadri Mungu alivyo tupangia ukiogopa kifo basi hukuzaliwaKama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Wakati unashangilia kupigwa risasi Kwa Lissu na kuweka updates Kila baada ya nusu saa kwamba amekufa uliona fahari?Walaumiwe wao " walioanzisha" walidhani hawatokufa huku wakihanikiza kejeli kwa wafu wengine.
Kiko wapi? Mmoja wao chaliii!
nitajie watano waliouawa na Magufui wapi na lini, ambao ulishuhudia Kwa macho Yako na ukiwa na aKili timamu kabla hujanywa pombe, hujavuta bangi na au hujalala na mwanamke huku ukiwa umekula umeshiba.Dunia hii kila anapokufa mtu kuna watu watafurahi na kuna watakaohuzunika. Kama aliyefariki alikuwa mtu mbaya wengi watafurahi. Na kama alikuwa mtu mzuri wengi watasikitika. Magufuli aliua watu kwa makusudi ndiyo maana wengi walifurahia kifo chake.
Tatizo lilianzia hapa.Walishangilia kifo cha Magufuli wakafikiri wao hawatakufa ,na bado siku ya Mboe itakuwa balaa kwa kushangilia.