Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie na namSubiri tu yule aliyesema WATU WAZURI HAWAFI...
Nakisubil kwa hamu kifo cha nabii lemaWalishangilia kifo cha Magufuli wakafikiri wao hawatakufa ,na bado siku ya Mboe itakuwa balaa kwa kushangilia.
CCM na Sukuma gang ni hovyo kabisa!Vijana Hawa CCM wamedata ebu fatilieni hoja zao
Unawakuta wanashingilia vifo vya watu , yaani inshort wamepoteza Mwelekeo.
Wakishakufa wewe unapata faida gani?to be honest Mimi ni mmojawao. na ni maombi yangu wale wote waliomsumbua na kufurahia kifo Cha magufuli wakakufe wote hata saa hii.
Sukuma Gang nyie hamna faida yoyote kufeni tu wauaji wakubwa nyie rudini kwenu Burundi
One two microphone check
wewe mpumbavu sana sukuma gang ni taifa au kabila kubwa tanzania wasukuma wapo mikoa 5 wapo zaidi ya million20 wewe mchaga una kamkoa kamoja kabila halizidi watu laki 3 unajilinganisha na wenye nchi wapo mikoa yote
Mkuu kabisa raha ya nyimbo kupokezana.Ni haki yao kushangilia ,zamu kwa zamu ,ukiumiza utaumizwa!![emoji1745]. Japo sipendi hii tabia ,bt waache nao washingilie mioyo yao angalau ipone!!
NjaaNje ya mada, hivi hua kunaulazima gani kuandika uzi kisha namba ya simu...🤔 Yaani, unaandika namba ya simu ili nini kiwe...😧
Wacha upumbavu wewe mhutu, sukuma gang ni kakikundi kadogo ka wafuasi wa Magufuli,mimi ni Msukuma lakini sikuwahi kuvutiwa na siasa za kiwenda wazimu za JPM.wewe mpumbavu sana sukuma gang ni taifa au kabila kubwa tanzania wasukuma wapo mikoa 5 wapo zaidi ya million20 wewe mchaga una kamkoa kamoja kabila halizidi watu laki 3 unajilinganisha na wenye nchi wapo mikoa yote
Ngoja tu..Kama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app