Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Bado Kuna mtu .......Kama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Wewee😂😂😂 njoo msibani tule maandazi ya bure acha wenge.Kama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Jamani membe Kawa mwendazake tyr duuuh ila kunawatu watakuja kuzikwa nawe usijaliKama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
tunaomjua huyu mbinguni tutapasikia tu.
KiweteHaya maneno ungeyatoa kipindi wanakejeri na kudhihaki kifo cha Magufuli tungekuona wa maana, kafa Membe mnataka suluhu?.
Kabisa mkuuWalifkr watu tulifurahia kifo cha mwamba chenye utata , watu tuna chuki kali moyoni bas tuu, walivyo mafala wakawa wanashangilia na maneno ya dharau live live , ma_mae nataman hlo genge lote Mungu ashushe hata gharika life loteee yakaoze hukoo , maiti zao zipewe ndege wale... Bado wale watatu sidhan kama watatoboa 2025
Majizi wazazi wako wewe shoga!Majizi na makatili ya CCM yanazidi kukata kamba. Kukaa madarakani bila ridhaa ya umma itakuwa ndio kaburi cha hilo chama la majizi ya kura. Kila akiaga mmoja wa chama cha majuzi ya kura kwetu ni shangwe kubwa sana.
Kama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!
Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!
Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.
Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!
Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!
Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!
Kwake,wote tutarejea!
+255746726484.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mtaani kugumu sana ndg yangu, ndiyo maana unaona kila Mtu anapambana kivyakevyake ili mradi tu aingie kwenye system!!Una hoja nzuri ila namba ya Simu ya nini sasa?
Aliyeanzisha dharau na kebehi kwa viongozi waliotangulia ni Magufuli mwenyewe. Mkapa hakuwahi kumdharau wala kumkebehi Mwinyi licha ya mapungufu aliyoyafanya Mwinyi. Kikwete halikadhalika. Ila Magufuli sasa.Tatizo kubwa ni rais Dkt Samia. Yeye badala ya kuelekeza vyombo vyake vya ulinzi na usalama kukemea kebehi zidi ya hayati Dkt Magufuli aliachia hizo kebehi na dhihaka mpaka kwenye mkutano wa CCM na kwenye baadhi ya mikutano ya CCM. Kinachotokea leo kuiya mwili wa ndugu yetu comrade Membe ni mzoga ni muendelezo wa kulipiza kisasi wale waliosema wema hawafi, Mungu kaamua ugomvi, kazikwe naye Chato etc. Sijui siku ikitokea rais Samia kafiwa hakika watu watatukana sana tena sana.
Kwa ufupi rais Dkt Samia alidanganywa sana kudhani Dkt Magufuli alichukiwa hivyo aruhuhu tu dhihaka eti watu wamalize hasira hapa hilo ni kosa na linaendelea kuwa makosa na matokeo yake ndiyo haya. Nadhani muda Dkt Samia bado anao, akemee hizi kauli mara moja na kwenye social media dhihaka kwa Dkt Magufuli zikome. Maana kuna watu siku wakifa sijui itakuwaje.
Kama taifa hakika tumepotoka sana. Uzuri Rais Dkt Magufuli enzi zake alipiga marufuku kumdhihaki JK, same hata JK enzi zake alipiga marufuku kumdhihaki Mkapa ila kwa rais Samia ajabu mpaka anaenda kufadhili kitabu cha kumchafua Dkt Magufuli akidhani anajiandalia kujizolea kura nyingi kumbe ni kujichafua. Yaani kwa ufupi Dkt Samia ni kiongozi mzuri ila lile kundi baya limemteka sana kiasi kwamba linamfanyia maamuzi.
Nilikua nasoma comments instagrt nikaona wengi wanakumbusha hiyo ya wazuri hawafi. Makamba alifanya kosa kama alifikiri watanzania wengi wanamchukia Magufuli basi akikosea Sana, siku akifa watu watamkumbusha hiyo kauli yakeHata mie nimeshangaa sana hii hali. Aisee nimegundua Taifa limegawanyika sana. Kauli za mzaha mzaha kama zile watu wazuri hawafi Leo zinatumika kijinga kufurahia mauti ya Mzee Membe
Baaaasi, umemaliza, mjadala ufungwe👍😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Magufuli ndiye alipandikiza hii roho ya visasi na hii ni typical roho ya kihutu, si tunakumbuka wote wahutu walivyoua watutsi zaidi ya laki tisa
kama walizopata waoWakishakufa wewe unapata faida gani?
Basi sawa mkuu nimeelewaMtaani kugumu sana ndg yangu, ndiyo maana unaona kila Mtu anapambana kivyakevyake ili mradi tu aingie kwenye system!!
sawa.Kushangilia au kutoshangilia kifo cha mtu hakubadili chochote katika wewe kufa.