Taifa la washangilia Misiba na Visasi

Taifa la washangilia Misiba na Visasi

Hao wengi waliofurahia ni wepi? Acha kujizima data wewe, wale wote waliopaza kilio nyakati zile na mpka Leo mtaani analiliwa walikuwa mawe?
Acha kuzima data wewe. Wale wote waliofurahi nyakati zile na mpaka leo wanashangilia mtaani ni mawe?
 
nitajie watano waliouawa na Magufui wapi na lini, ambao ulishuhudia Kwa macho Yako na ukiwa na aKili timamu kabla hujanywa pombe, hujavuta bangi na au hujalala na mwanamke huku ukiwa umekula umeshiba.
Magufuli alikuwa muuaji. Rais anayeamini kwenye kuua hafai hata kidogo. Utake ni hivyo hivyo na usitake ni hivyo hivyo.
 
HUNA UNACHOONGEA WEWE MTOA MADA.

HUJITAMBUI

ULIKUWA WAPI WAKATI WANAMSEMA JPM KUWA MUNGU KAAMULIA UGOMVI?

KAA KWA KUTULIA SIJAWAHI KUMUOMBEA MTU KIFO ILA KWAHALI ILIVYOFIKA YA HAWA VIONGOZI KUJIONA MIUNGU HAKIKA NIKIRI NATAMANI LIFE LINGINE



MUNGU HADHIHAKIWI.
 
Watanzania wenzangu kifo Cha magufuli kiliniuma mnooooooo,nawachukia mno waliokuwa wanakejeli kifo kile,niliamua kupotezea lakini shangwe zinazotawala humu jf juu ya kifo Cha membe zimenitisha mnooooooo ,watanzania wenzangu kumbe mioyoni mwetu tumetunza chuki Kali namna hiiii!!!!!!!!! Naomba turudi kwenye mstari utanzania wetu unaporomoka kwa Kasi mnoooooooooooooooo,hii ni hatariiiiiiiiiiiiii nasema kwa kinywa wazi ni hatariiiiiiii

WALIOANZISHA HIVI NI HAO WANASIASA WA AWAMU YA SITA YA KISHINDWA KUHESHIMU KIFO CHA JPM NA KUTWA KUMSEMA


BADO WENGINE
 
Na bado mbona wengi tunatamani Mungu atutulizie bahari
Kama 20

Mikamba iwe mingi yeye na babake
Uzito uberi
Fillman mbohowe
Nape-nyeza nauyeetata
Prof yule moyojaka

Mwishon labosa remote ya roma
 
Wewe ndo matraako kabisa. Aliyeanzisha dharau na kebehi kwa viongozi waliotangulia ni Magufuli mwenyewe. Mkapa hakuwahi kumdharau wala kumkebehi Mwinyi licha ya mapungufu aliyoyafanya Mwinyi. Kikwete halikadhalika. Ila Magufuli sasa. Yeye ndiye aliyefanya kila kitu nchi hii kuanzia barabara, viwanda, madaraja shule, hospital, umeme kaleta yeye, maji kaleta yeye, yaani kila kitu kila kitu. Kajenga hostel za mlimani na kashfa juu utadhani alikuwa hajui kama mtangulizi wake kajenga full chuo cha UDOM. In short, uliyesema hapa, muanzilishi na Magufuli sio Samia.
Hapana wewe hujui historia utakuwa mtoto wa miaka ya 2005 kuendelea. Dkt Kikwete hakuwahi kumsema Mkapa ila vyombo vya habari vilipoanza kumsema alipiga marufuku. Dkt Magufuli alielezea mapungufu na udhaifu wa uongozi uliopita kwa kuruhusu nchi yetu kuibiwa na ilikuwa kweli hivyo hakumuonea mtu kumsema kwa dharau ila alituweka watanzania wazi kuwa nchi yetu ilisimamiwa vibaya na viongozi waliopita kuanzia Mwinyi, na ndiyo maana utamsikia Mzee Mwinyi huwa anakiri kweli awamu yake nchi ilichezewa. Hivyo wewe ni mjinga na lipumbavu mnaotaka kuaminisha watu kuwa Dkt Magufuli alimdhihaki mtu. Dkt Magufuli hakuwawi kumdhihaki rais aliyepita badala yake aliwasema mifano na kutolea mifano ila mitandao na vyombo vilipomdhihaki JK alikemea na ndiyo maana watanzania waligeuka na kumsamehe JK na kumpenda sana ndiyo maana heshima yake ilipanda sana. Hata sasa JK anapendwa ila sema anasingiziwa vitu vingi vya uongo na social media na vyombi vya habari. Upungufu wa rais Samia ni kuruhusu dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli.
 
Nilikua nasoma comments instagrt nikaona wengi wanakumbusha hiyo ya wazuri hawafi. Makamba alifanya kosa kama alifikiri watanzania wengi wanamchukia Magufuli basi akikosea Sana, siku akifa watu watamkumbusha hiyo kauli yake
Mzee atafute platform aombe radhil, vinginevyo msiba wowote wa familiar yake au familiar za rafiki zake utakuwa una twezwa na kufurahiwa na umma
 
Hapana wewe hujui historia utakuwa mtoto wa miaka ya 2005 kuendelea. Dkt Kikwete hakuwahi kumsema Mkapa ila vyombo vya habari vilipoanza kumsema alipiga marufuku. Dkt Magufuli alielezea mapungufu na udhaifu wa uongozi uliopita kwa kuruhusu nchi yetu kuibiwa na ilikuwa kweli hivyo hakumuonea mtu kumsema kwa dharau ila alituweka watanzania wazi kuwa nchi yetu ilisimamiwa vibaya na viongozi waliopita kuanzia Mwinyi, na ndiyo maana utamsikia Mzee Mwinyi huwa anakiri kweli awamu yake nchi ilichezewa. Hivyo wewe ni mjinga na lipumbavu mnaotaka kuaminisha watu kuwa Dkt Magufuli alimdhihaki mtu. Dkt Magufuli hakuwawi kumdhihaki rais aliyepita badala yake aliwasema mifano na kutolea mifano ila mitandao na vyombo vilipomdhihaki JK alikemea na ndiyo maana watanzania waligeuka na kumsamehe JK na kumpenda sana ndiyo maana heshima yake ilipanda sana. Hata sasa JK anapendwa ila sema anasingiziwa vitu vingi vya uongo na social media na vyombi vya habari. Upungufu wa rais Samia ni kuruhusu dhihaka dhidi ya Dkt Magufuli.
Huna unachokijua kijana na kwa bahati nzuri mimi si mtoto wala si miongoni mwa wapumbavu wala wajinga kwa vipimo vyovyote utakavyotumia. Samia anaruhusu vipi kuchafuliwa kwa JPM? The fact is, JPM alijichafua mwenyewe kwa matendo yake. JPM hakuwa skilled kwa mambo mengi hivyo hakuweza kuchagua lugha ya kuongea na hadhira tofauti na viongozi wote. By the way, kiongozi wa kweli sio yule anayelaumu mtangulizi wake kama JPM alivyokuwa akifanya.

Nyerere alimchafua Mwinyi wakati Mwinyi akiwa madarakani hata hivyo alitumia hekma kiasi chake tofauti na JPM alivyofanya kwa JK hukumedia zilihusika sana katika dhihaka hizo, ikiwa pamoja kuchora katuni ya Mwinyi kuvaa chupi (natumai unaikumbuka katuni hii). Check your fact, JPM alikuwa kiongozi wa hovyo na ndiye aliyerudisha Taifa la visasi na chuki ambalo lilizikwa na Azimio la Zanzibar.
 
Huna unachokijua kijana na kwa bahati nzuri mimi si mtoto wala si miongoni mwa wapumbavu wala wajinga kwa vipimo vyovyote utakavyotumia. Samia anaruhusu vipi kuchafuliwa kwa JPM? The fact is, JPM alijichafua mwenyewe kwa matendo yake. JPM hakuwa skilled kwa mambo mengi hivyo hakuweza kuchagua lugha ya kuongea na hadhira tofauti na viongozi wote. By the way, kiongozi wa kweli sio yule anayelaumu mtangulizi wake kama JPM alivyokuwa akifanya.

Nyerere alimchafua Mwinyi wakati Mwinyi akiwa madarakani hata hivyo alitumia hekma kiasi chake tofauti na JPM alivyofanya kwa JK hukumedia zilihusika sana katika dhihaka hizo, ikiwa pamoja kuchora katuni ya Mwinyi kuvaa chupi (natumai unaikumbuka katuni hii). Check your fact, JPM alikuwa kiongozi wa hovyo na ndiye aliyerudisha Taifa la visasi na chuki ambalo lilizikwa na Azimio la Zanzibar.
Kwanz nisamehe kwa kukutukana, maana sisi machawa wa Mama tunatafuta kura za Rais Dkt Samia 2025, nisamehe kabisa. Pili hili suala la Dkt Magufuli ni mtizamo tena mtizamo wa kiimani. Na inawezekana muafaka utapatikana labda tukipigana vita na upande utakao uawa ndiyo umeshindwa falsafa zake. Maana wewe upo kundi la kutetea wezi na majangiri wa mali za umma. Sisi tupo upande wa kutetea uzalendo na ulinzi wa mali za taifa. Na suluhisho ni vita kama ilivyokuwa USA na utumwa.
 
Kumbe wenzetu akina (WAZURI HAWAFI,mungu fundi,Bahari imetulia,ametuamulia ugomvi)nao wanayo miili ya nyama!!!!!! Kama wa mpendwa wetu RIP magufuliiiiiiiiiiiiiiiii ,sikujua Leo ndo nimejua Pooh! Nilidhani wenzetu mna miili ya chuma,Basi mjifunzage kuchunga ndimi,zenu hizo nyodo za madaraka ni ubatili mtupu
 
Kwanz nisamehe kwa kukutukana, maana sisi machawa wa Mama tunatafuta kura za Rais Dkt Samia 2025, nisamehe kabisa. Pili hili suala la Dkt Magufuli ni mtizamo tena mtizamo wa kiimani. Na inawezekana muafaka utapatikana labda tukipigana vita na upande utakao uawa ndiyo umeshindwa falsafa zake. Maana wewe upo kundi la kutetea wezi na majangiri wa mali za umma. Sisi tupo upande wa kutetea uzalendo na ulinzi wa mali za taifa. Na suluhisho ni vita kama ilivyokuwa USA na utumwa.
Hahaha, wezi wa nchi hii huwajui mkuu. Hao wengine mnawaonea tu. Take it from me. Na siku ukipata taarifa zao au ukionyeshwa hautaaamini.
 
Mi nashtushwa zaidi na vifo vya wananchi wanaofia kwenye vituo vya afya na hospital za serekali kisa kakosa tsh 30k-40k ya vifaa vya matibabu wakati mtu huyu anakatwa kodi kila sehem ya maisha yake

ila vifo vya hao wakulu huko juu huwa havinishtui kabisa bima za afya kubwa uhakika wa maisha upo vifo vyao ni siku zao huwa zimefika tu ila huku chini huwa vinanishtua kwasababu baada ya vifo vyao huwa tunaamini pengine tungepata elfu 30 au laki 3 ya matibabu angepona
 
Back
Top Bottom