Taifa la washangilia Misiba na Visasi

Taifa la washangilia Misiba na Visasi

Kama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!

Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!

Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.

Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!

Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!

Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!

Kwake,wote tutarejea!

+255746726484.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Wote waliofanya sikukuu na kushangilia kwa mbwembwe kifo cha JPM wataishuhudia 'KARMA' ikifanya kazi yake bila shuruti au kushawishiwa na ama nguvu ya asili ama nguvu ya binadamu. Kifo cha JPM kiliwaumiza sana Watanzania wa hali za kawaida ambao ndio wengi lakini wenye fedha, wafanyabiashara wasio waadilifu na wanasiasa maslahi iwalifurahi wakifikiri wanauwezo wa kuhodhi hewa na mwanga wa jua; Mungu aliye hai anamhesabu mwema na muovu kuwa wote ni sawa na bila kumkiri kwa kinywa na matendo kwamba yeye ndiye Mungu na ukabadilika ni ubatili mtupu pamoja na wema wako.
Viongizi walioshiriki kumdhalilisha JPM wajitokeze na kutubu hadharani maana Mungu sio fedha, sio madaraka, sio kisomo na sio familia tajiri yenye kujivuna na kiburi. Mapigo yataendelea hadi mwasisi wake afikiwe. Jifunzeni namna anavyoishi Mzee Mwinyi ni mstaarabu na mfano wa kuigwa na viongozi wengine wa kisiasa. Hana majivuno anamheshimu mdogo na anasamehe hata anapotendwa vibaya ndio maana Mungu amemruhusu kujionea waliomfuata kiuongozi wanaendaje kwa manufaa ya wananchi.
 
Kinachofikirisha zaidi ni kwamba waliojitokeza kufurahia kifo cha Magufuli hadharani ni viongozi wa CCM (Diallo, Nape, Makamba, n.k.).

Upande wa CHADEMA waliosherehekea ni mashabiki mitandaoni na mitaani sio viongozi wa chama. Sikumbuki kusikia Mbowe, Mnyika, Mwalimu, Mdee, n.k. wakitangaza hadharani kufurahia kifo cha Magufuli. Hata Lissu ilikuwa zaidi katika kulalamika aliyotendewa na kudai haki zake. Si katika kufurahi kwamba Magufuli kafa.

Aliyefariki leo ni kada mwandamizi wa CCM tena aliyempa kudos Magufuli 2015 kwa utendaji wa hali ya juu kabla hajabadilika 2017.

Ajabu sasa wapenzi wa Magufuli wamefurahi kufa kwa Membe na wanaonyesha kwamba furaha yao itavuka Mpaka Mbowe akifa! In fact, walikosa raha sana Lissu alipo-survive ile mvua ya risasi na kubaki na akili zake timamu! Bila shaka hadi leo wanatamani sana na kuombea wakati wowote Lissu adondoke njiani au agongwe na gari na “kufilia mbali”.

Kifupi, hatuna taifa wala hakuna kinachoitwa umoja, utamaduni na maadili ya kitanzania. Ni ulaghai tu. Ni kusanyiko la wababaishaji, wazembe, na wanafiki wakubwa. Ndio maana wageni wanaichezea nchi hii wanavyotaka. Viongozi wanaifuja kwa mbwembwe kama zote wakisaidiwa na maelfu ya machawa na makundi ya kimafia.

Labda wenzetu Wazanzibari angalau wanaweza kudai kuwa wana taifa. Wana some sense of nationhood. Sio bara au Tanganyika.
siku nyingine ongea mbele za wanaume ukiwa umekula umeshiba, hao wote uliotaja ndio walikuwa mistari ya mbele kumtukana magufuli HATA alipokuwa amekufa.
 
Kinachofikirisha zaidi ni kwamba waliojitokeza kufurahia kifo cha Magufuli hadharani ni viongozi wa CCM (Diallo, Nape, Makamba, n.k.).

Upande wa CHADEMA waliosherehekea ni mashabiki mitandaoni na mitaani sio viongozi wa chama. Sikumbuki kusikia Mbowe, Mnyika, Mwalimu, Mdee, n.k. wakitangaza hadharani kufurahia kifo cha Magufuli. Hata Lissu ilikuwa zaidi katika kulalamika aliyotendewa na kudai haki zake. Si katika kufurahi kwamba Magufuli kafa.

Aliyefariki leo ni kada mwandamizi wa CCM tena aliyempa kudos Magufuli 2015 kwa utendaji wa hali ya juu kabla hajabadilika 2017.

Ajabu sasa wapenzi wa Magufuli wamefurahi kufa kwa Membe na wanaonyesha kwamba furaha yao itavuka Mpaka Mbowe akifa! In fact, walikosa raha sana Lissu alipo-survive ile mvua ya risasi na kubaki na akili zake timamu! Bila shaka hadi leo wanatamani sana na kuombea wakati wowote Lissu adondoke njiani au agongwe na gari na “kufilia mbali”.

Kifupi, hatuna taifa wala hakuna kinachoitwa umoja, utamaduni na maadili ya kitanzania. Ni ulaghai tu. Ni kusanyiko la wababaishaji, wazembe, na wanafiki wakubwa. Ndio maana wageni wanaichezea nchi hii wanavyotaka. Viongozi wanaifuja kwa mbwembwe kama zote wakisaidiwa na maelfu ya machawa na makundi ya kimafia.

Labda wenzetu Wazanzibari angalau wanaweza kudai kuwa wana taifa. Wana some sense of nationhood. Sio bara au Tanganyika.
Inasikitisha sana.
 
Mzee makamba alisahau kumuombea membe naye aingie Kati ya watu wema wasiokufa Tanzania
 
Hata wanaoshirikiana nao nao ni wezi pia. Tunachotaka nchi ifaidike.
 
Mimi siweki neno, maana siku yangu nami itakuja
Sio vizuri kushangilia kifo cha kiumbe yeyote
Kumbukeni unaefurahia kufa kwake pia ana wapendwa wake hata kama ni mbaya
Sijaona mahali nasikuona mahali ukisema hili wakati jpm kafariki... hivyo acha watu wafurahi tu... zamu zamu. Muda wangu pia utafika, bado kijana na kama Mungu ataniepusha nisipatwe na majanga hapa kati basi bila shaka kwa kigezo cha umri kuna wale wazee wenye kauli tata watatangulia Namsubiri yule mzee bila kupepesa macho.
 
Kama viongozi wa Taifa hili hawatosimama leo na kukemea kwa dhati kabisa kuhusu Siasa za chuki zinazoendelea ndani ya CCM yangu basi gharama ya kuweza kuthibiti hali kuelekea mwaka 2025 zinaweza zikawa kubwa!Vihatarishi hivi vya amani vinapaswa kukemewa na viongozi wa Siasa,viongozi wa dini na hata viongozi wa kimila Nchi nzima!

Niliwahi kuandika kuwa kama Chama changu CCM hakitakuwa tayari kukabili Siasa hizi za chuki ndani ya Chama,hakika tunaweza tukawa tunajichimbia shimo kubwa kwa Siasa za baadae!Gharama za kutubu makosa ni ndogo sana kuliko gharama za kuja kupambana na chuki hizi za wazi ambazo zinaendelea kuota mizizi wazi wazi!

Tulifanya makosa makubwa sana kuruhusu personality kuwa above Institution matokeo yake ndio haya!Nadhani ili liwe somo kwa Siasa zetu.

Napenda kuwa bold kabisa na kuwataka vijana wa kitanzania kuachana na siasa za chuki ndani ya Chama chetu!Mpasuko ambao tunautengeneza leo unahatarisha sana safari yetu ya kushika dola!

Wote kwa Mungu tutarejea!Tuwaombee waliotangulia bila kudhihaki wala kuwanenea mabaya!

Kwaheri Mzee wangu Bernard Kamilus Membe,Kachero bora wa enzi zote katika Ulinzi na Diplomasia ya Taifa!

Kwake,wote tutarejea!

+255746726484.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Tulieni tu kwa sasa. Mtaimba Kila mapambio ila furaha yenu ya 17 03 21 sasa ni shubiri
 
Just make a research dude and learn to be critical thinker. Kuwa kiongozi usidhani ni lelemama, upuuzi huu umeasisiwa na hao hao viongozi, impact ya kiongozi level ya waziri kuja public kushangilia kifo cha amirijeshi mkuu haya ndiyo matokeo na itabidi hiki kikombe wasikiepuke. Kiongozi kama huyo ninaemsema hakutakiwa kuwa hata kwenye serikali za mitaa ila wanaombeba ni silent promoter wa huu upuuzi ndo maana watanzania wamewaweka kwenye boat moja. RIP Membe
 
Magufuli ndiye alipandikiza hii roho ya visasi na hii ni typical roho ya kihutu, si tunakumbuka wote wahutu walivyoua watutsi zaidi ya laki tisa
Nafikiri wew unaweza kuwa kijitu cha ajabu ajabu Sana Magufuli alishangilia kifo cha nani yeye si hakuwa mwema na alikufa
 
HUNA UNACHOONGEA WEWE MTOA MADA.

HUJITAMBUI

ULIKUWA WAPI WAKATI WANAMSEMA JPM KUWA MUNGU KAAMULIA UGOMVI?

KAA KWA KUTULIA SIJAWAHI KUMUOMBEA MTU KIFO ILA KWAHALI ILIVYOFIKA YA HAWA VIONGOZI KUJIONA MIUNGU HAKIKA NIKIRI NATAMANI LIFE LINGINE



MUNGU HADHIHAKIWI.
Wapuuzi Upuuzwa tu na ndio hekima ya viwango vya juu!

Otherwise wote mnaonekana wapuuzi na ndio maana wenye akili wamewapuuza wote sababu ya kujadili upuuzi!

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Walifkr watu tulifurahia kifo cha mwamba chenye utata , watu tuna chuki kali moyoni bas tuu, walivyo mafala wakawa wanashangilia na maneno ya dharau live live , ma_mae nataman hlo genge lote Mungu ashushe hata gharika life loteee yakaoze hukoo , maiti zao zipewe ndege wale... Bado wale watatu sidhan kama watatoboa 2025
Kwakuwa Mungu ni mkubwa hawatatoboa mkuu
 
Back
Top Bottom