antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
...amelaaniwaAmtegemeaye Mwanadamu mwenzake 🐼
Yeremia 17:5
BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...amelaaniwaAmtegemeaye Mwanadamu mwenzake 🐼
Mimi siyo chawa.mimi ni mzalendo kwa Taifa languAliyekudanganya kuwa huu uchawa utakutoa kimaisha kakuingiza chaka kubwa sana.
Hakuna teuzi kwa vilaza, utasugua sana bench.Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja.
ChawaMimi siyo chawa.mimi ni mzalendo kwa Taifa langu
Kwani nani kakwambia hapa jukwaani ni ofisi au mamlaka ya uteuzi?Kwa hiyo wewe hiyo Mimatusi yako unayotukana kama kichaa au mwendawazimu unataka kupata uteuzi wa nini? Au unataka ajira Mirembe?Hakuna teuzi kwa vilaza, utasugua sana bench.
Huteuliwi kwa vile huna akili bwege wewe. Mimi sihitaji uteuzi wa nguruwe yoyote ndiyo maana hata siku moja sijawahi kujipendekeza kwa mtu, wewe sasa, mara Samia, mara Makonda,mara Kafulila yaani uko ka mwanamke malaya vile anayejiuza , shame !Kwani nani kakwambia hapa jukwaani ni ofisi au mamlaka ya uteuzi?Kwa hiyo wewe hiyo Mimatusi yako unayotukana kama kichaa au mwendawazimu unataka kupata uteuzi wa nini? Au unataka ajira Mirembe?
Sasa wewe unafikiri nani anaweza kukupa ajira na ujinga wako huo kichwani? Atakupaje uteuzi wakati anafahamu wewe ni mgonjwa unayepaswa kuwa Mirembe hospitalHuteuliwi kwa vile huna akili bwege wewe. Mimi sihitaji uteuzi wa nguruwe yoyote ndiyo maana hata siku moja sijawahi kujipendekeza kwa mtu, wewe sasa, mara Samia, mara Makonda,mara Kafulila yaani uko ka mwanamke malaya vile anayejiuza , shame !
SASA HAPO TATIZO LAKE NI NINI AU KWAKUWA ANAUNGA MKONO MAMA SSH? YAANI MNAPATA SHIDA SANA CHADEMA AISEENadhani Luca ni mgonjwa na hajijui kwamba anaumwa
Mimi uwezo wangu ni wa kuajiri na siyo kuajiriwa ndiyo maana najiamini, kama akili yako inawaza kuajiriwa ndiyo maana unajitoa ufahamu hivyo bwege mtozeni wewe, utatumika kiboya sana.Sasa wewe unafikiri nani anaweza kukupa ajira na ujinga wako huo kichwani? Atakupaje uteuzi wakati anafahamu wewe ni mgonjwa unayepaswa kuwa Mirembe hospital
Wewe unafikiri kichaa anapookota na kulala majalalani huwa hajiamini?Mimi uwezo wangu ni wa kuajiri na siyo kuajiriwa ndiyo maana najiamini, kama akili yako inawaza kuajiriwa ndiyo maana unajitoa ufahamu hivyo bwege mtozeni wewe, utatumika kiboya sana.
Utatumkishwa sana hadi kufa kwako bwege wewe, unaona fahari kuajiriwa.Wewe unafikiri kichaa anapookota na kulala majalalani huwa hajiamini?
Mimi ni Mkulima.Utatumkishwa sana hadi kufa kwako bwege wewe, unaona fahari kuajiriwa.
Hakuna mkulima mwenye akili za kushikiwa, wewe ni chawa na utabaki kuwa chawa tu.Mimi ni Mkulima.
Naomba nikwambie kuwa Mchango wa hao Majenerali ni mkubwa sana ambapo kama sio kujitoa kwao kwa jasho na Damu .Basi tungekuwa na historia tofauti kabisa na hii tuliyonayo hii leo.Watu wa kusifiwa na waliofanya hii nchi iwe ya Amani na ipo kama ilivyo ni wananchi ; Watanzania wote inabidi wajipige kifuani na kujipongeza kwa kuwa wavumilivu no matter upuuzi unaoendelea.... Na siku wakibadilika wa kulaumu ni hawa wapuuzi (watumishi wetu waliojigeuza kuwa watawala) na upuuzi wanaoendelea nao
Hata hivyo sizani hata kama unaelewa maana ya kilimo na namna kinavyofanyika.Hakuna mkulima mwenye akili za kushikiwa, wewe ni chawa na utabaki kuwa chawa tu.
Uzalendo gani ulio nao wewe zaidi ya uchawa na tushawazoea machawa tangu utawala wa jpm boya weweMimi siyo chawa.mimi ni mzalendo kwa Taifa langu
Mlinzi wa kwanza wa Taifa ni Mwananchi na huyu asipoelewa au kuwa mzalendo hakuna nchi..., Ndio maana akaitwa mwananchi...Naomba nikwambie kuwa Mchango wa hao Majenerali ni mkubwa sana ambapo kama sio kujitoa kwao kwa jasho na Damu .Basi tungekuwa na historia tofauti kabisa na hii tuliyonayo hii leo.
Naona umepaniki kwa kukosa kwako akili.Uzalendo gani ulio nao wewe zaidi ya uchawa na tushawazoea machawa tangu utawala wa jpm boya wewe