Taifa letu ni Salama na lenye utulivu kisiasa Kwa sababu ya hawa Majenerali Pichani. Wanasiasa na viongozi Mnajifunza Nini hapa?

Taifa letu ni Salama na lenye utulivu kisiasa Kwa sababu ya hawa Majenerali Pichani. Wanasiasa na viongozi Mnajifunza Nini hapa?

Kwani nani kakwambia hapa jukwaani ni ofisi au mamlaka ya uteuzi?Kwa hiyo wewe hiyo Mimatusi yako unayotukana kama kichaa au mwendawazimu unataka kupata uteuzi wa nini? Au unataka ajira Mirembe?
Huteuliwi kwa vile huna akili bwege wewe. Mimi sihitaji uteuzi wa nguruwe yoyote ndiyo maana hata siku moja sijawahi kujipendekeza kwa mtu, wewe sasa, mara Samia, mara Makonda,mara Kafulila yaani uko ka mwanamke malaya vile anayejiuza , shame !
 
Huteuliwi kwa vile huna akili bwege wewe. Mimi sihitaji uteuzi wa nguruwe yoyote ndiyo maana hata siku moja sijawahi kujipendekeza kwa mtu, wewe sasa, mara Samia, mara Makonda,mara Kafulila yaani uko ka mwanamke malaya vile anayejiuza , shame !
Sasa wewe unafikiri nani anaweza kukupa ajira na ujinga wako huo kichwani? Atakupaje uteuzi wakati anafahamu wewe ni mgonjwa unayepaswa kuwa Mirembe hospital
 
Sasa wewe unafikiri nani anaweza kukupa ajira na ujinga wako huo kichwani? Atakupaje uteuzi wakati anafahamu wewe ni mgonjwa unayepaswa kuwa Mirembe hospital
Mimi uwezo wangu ni wa kuajiri na siyo kuajiriwa ndiyo maana najiamini, kama akili yako inawaza kuajiriwa ndiyo maana unajitoa ufahamu hivyo bwege mtozeni wewe, utatumika kiboya sana.
 
Mimi uwezo wangu ni wa kuajiri na siyo kuajiriwa ndiyo maana najiamini, kama akili yako inawaza kuajiriwa ndiyo maana unajitoa ufahamu hivyo bwege mtozeni wewe, utatumika kiboya sana.
Wewe unafikiri kichaa anapookota na kulala majalalani huwa hajiamini?
 
Watu wa kusifiwa na waliofanya hii nchi iwe ya Amani na ipo kama ilivyo ni wananchi ; Watanzania wote inabidi wajipige kifuani na kujipongeza kwa kuwa wavumilivu no matter upuuzi unaoendelea.... Na siku wakibadilika wa kulaumu ni hawa wapuuzi (watumishi wetu waliojigeuza kuwa watawala) na upuuzi wanaoendelea nao
 
Watu wa kusifiwa na waliofanya hii nchi iwe ya Amani na ipo kama ilivyo ni wananchi ; Watanzania wote inabidi wajipige kifuani na kujipongeza kwa kuwa wavumilivu no matter upuuzi unaoendelea.... Na siku wakibadilika wa kulaumu ni hawa wapuuzi (watumishi wetu waliojigeuza kuwa watawala) na upuuzi wanaoendelea nao
Naomba nikwambie kuwa Mchango wa hao Majenerali ni mkubwa sana ambapo kama sio kujitoa kwao kwa jasho na Damu .Basi tungekuwa na historia tofauti kabisa na hii tuliyonayo hii leo.
 
Naomba nikwambie kuwa Mchango wa hao Majenerali ni mkubwa sana ambapo kama sio kujitoa kwao kwa jasho na Damu .Basi tungekuwa na historia tofauti kabisa na hii tuliyonayo hii leo.
Mlinzi wa kwanza wa Taifa ni Mwananchi na huyu asipoelewa au kuwa mzalendo hakuna nchi..., Ndio maana akaitwa mwananchi...

Ukinisoma utaona nimetoa angalizo (walamba asali wa sasa wanamuona huyu bwege) siku akibadilika na nchi ikitoka kwenye reli huenda isirudi hata baada ya karne kadhaa...
 
Ninakubaliana na wale waliocoment kuwa Lucas anaumwa ila hajitambui kuwa ni mgonjwa,watu wanapotekwa na kuuawa kwa sababu ya kisiasa kwake taifa liko salama kisiasa,wananchi kulazimishwa kuongozwa na viongozi ambao hawakuwachagua yote hayaoni,kwake taifa ni salama kisiasa.

Baada ya majenerali kujitoa muhanga kulinda mipaka ya nchi yetu walitakiwa watambue kuwa adui wa nchi hii ambaye wanatakiwa kujitoa muhanga kupambana naye tena hatoki nje ya mipaka yetu yuko ndani ya nchi yetu ambaye ni CCM no 1 ambaye ndiye muasisi was mambo yote machafu ndani ya nchi hii.
 
Back
Top Bottom