Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

Kwa hiyo unamaanisha mfalme Bakayoko wa kule nchi jirani aliuawa na wanakijiji wenzake?
 
Ujinga
 
KAPIGWA RISASI?,....
TUJIFUNZE KUKUBALI MAPENZI YA MUNGU.
MUNGU ASINGERIDHIA ASINGEFARIKI HATA RISASI,JIFUNZE KWA LISSU,MUNGU HAKUTAKA LISSU AFE,AMININI MUNGU YUPO!,MUWEZA WA YOTE ...
 
Mwendazake alikuwa Malaya wa kutupwa. Ndiyo maana hata idadi ya watoto wake siyo wale 7 waliotajwa pale bali wanafika 17
 
Mkishakunywa komoni huwa mnakuwa wasumbufu sana kila nafsi itaonja mauti kwa ahadi ya Mungu sasa hizi ngonjera zinatokea wapi?
 
Hata Karume (Rip) walipoona anataka kuuvunja muungano hawakumstahi hata kidogo labda wewe hulijui hilo.

Ni kawaida kama kiongozi yeyote anaonekana kuwa ni kikwazo kwa usalama, ustawi au maslahi mapana ya taifa basi huondolewa kwa njia yoyote ile ili kuliokoa taifa na hili limekuwa likifanyika sana hapa duniani.

So the Tanzanian case is neither unprecedented nor unique.
 
Unarusha jiwe gizan,bahati mbaya limerud limekupiga WEWE mwenyew,

Sasa lawama usitupe sisi,lawama ipe corona,na hata ukiilaum corona nayo utakuwa unaionea tuh,kwani yeye hakujua kuwa ipo?kila siku alikuwa anaambiwa jikinge hataki anasema ni vita ya kiuchumi,naww unachukia nin na yeye mwenyewe kapenda kuondoka akaongoze malaika??we kinachokuuma nin
 
Kiukweli nitamkumbuka daima Hayati Magufuli. Best ever. RIP Sir
 
Mwendazake alikuwa Malaya wa kutupwa. Ndiyo maana hata idadi ya watoto wake siyo wale 7 waliotajwa pale bali wanafika 17

Lakin mkuu kwa hilo tusimlaum Sana mkuu,

Ile kitu Ina utam wake mkuu,tuseme ukweli mkuu,msema kweli ni kipenz Cha mungu mkuu
 
Huna akili we boya. Ulichoandika unauthibitisho nacho? Kinahisika vipi kwenye hii mada?

Shida jamaa yako alikuwa mbishi,anaambiwa jikinge hataki anasema ni vita ya kiuchumi tuh,na alikuwa anaikejeli Sana hiyo Covid,Ila sasa mkuu we unamind nini na mwendazake mwenyewe alikuwa anataman kusepa akaongoze malaika?we unachomind nin
 
Mangi vip aisee punguza k- vant za asubuh asubuh acha system itende kazi, usiwafundishe watu kazi,mpaka mda huu kazini huinekani ulikua na Shea gani kubwa na mekooo.?
 
Nani kamuua? Tulimuua kwa maombi kwa Mungu wa kweli.
Asante sana Mungu wa kweli kwa kujibu maombi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…