Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Jitafakari sana kama unastahili kuitwa Great Thinker.
Aliyekufa kashughulikiwa na Mungu mwenyewe.Ameua watu sana hata kuilaani nchi.Kama unampenda Mwendazake ungezikwa naye Chato
 
Kuna yule wa Stanza kama aliuwawa wauaji walichelewa sana..
 
Mtekaji, muuaji , mfungaji watu kwenye viroba , mbambikiaji kesi za uonezi za uhujumu uchumi , utakatishaji fedha , kupora bureau de change , mporaji wa hela za wafanyabiashara , mkiukaji mkubwa sana wa haki za binadamu utawala bora uhuru wa vyombo vya habari demokrasia huyo ndio mzalendo we Pimbi ?
 
Mtekaji, muuaji , mfungaji watu kwenye viroba , mbambikiaji kesi za uonezi za uhujumu uchumi , utakatishaji fedha , kupora bureau de change , mporaji wa hela za wafanyabiashara , mkiukaji mkubwa sana wa haki za binadamu utawala bora uhuru wa vyombo vya habari demokrasia huyo ndio mzalendo we Pimbi ?
Umemaliza kubog'olewa?
 
Pamoja na mazuri aliyoyafanya,tabia yake ya kutesa na kuuwa binadamu wenzake ndio ilio mponza na yeye kumrestisha in peace.
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Mtaani kama kuna kibaka anawaibia simu, nguo, sahani au anawapiga kabari usiku, mkmkamata mnampiga na kuchoma moto. Hakuna laana hapo hata kidogo.

Isitoshe mnapata amani, mnadumisha upendo, na mnapata maendeleo

Kama vitendo vya Mwendazake ilikuwa ni uzalendo basi maana ya uzalendo ni UHANITHI.
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Hata CAG pia akitolewa kwenye nyadhifa yake kwa hila, hilo Taifa hupata tabu sana.
 
Everyday is Saturday
Naam,

Nimekuwa biz kidogo, nikifufua uchumi, shukurani kwa mama Rais.

Mabaki ya Sukuma GANG, usijali mkuu, hata moto huacha majivu ambayo hupeperushwa na kupotezwa naturally.
Hata hawa watapotea tu!

Ile cartoon ya MATAGA #tupo vizuri, nafikiri ule mkono sasa umezama kabisaa, kimebakia kidole kimoja, nacho hakivunji chawa.😆😁

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Kwa Lugha nyepesi unataka Kusemaje?
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.


Muzee una maanisha nn?
 
Nawahurumia wana na wana wa wana wake maana watatembea na laana ya baba yao ya kuua, kuteka, kupoteza watu, na kupora mali za watu.
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Mtu afe na maugonjwa yake ya moyo usingizie ameuwa
 
Musiba umeingia kwa namna ya kipekee ila unajisumbua sana maana tupo awamu ya 6.

Mbwembwe zako ziliishia awamu ya 5 ambayo ulikuwa unavumiliwa tu lkn sasa utaishia pabaya.
mimba aliyokupa mwendazake hutakaa uzae[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom