Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

Wewe mtoa uzi ni takataka kabisa ,kuna kiongozi gani mzalendo alieuawa?? Ukisema Magufuli yule kajifika kutokana na ugonjwa wake wa moyo ,peleka ujinga wako kwa wajinga wenzako huko Facebook na si hapa Jf
 
Wewe mtoa uzi ni takataka kabisa ,kuna kiongozi gani mzalendo alieuawa?? Ukisema Magufuli yule kajifika kutokana na ugonjwa wake wa moyo ,peleka ujinga wako kwa wajinga wenzako huko Facebook na si hapa Jf
Nani amemtaja huyo unaemsema.Tatizo la kuzoea kubog'olewa.
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Mbona umevuka mpaka tena.
Ngona nichonekee neti kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila shaka waliomuua ni chadema, hasa hasa mbowe na lissu.
 
ukiniambia gadafi wa irak nitakuelewa maana wengi tunajua watu wake walikula bata!!not otherwise
Una utani na mwendazake wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakung'utwa wewe sio bure
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
wewe nyumbu wa Veronica unazani tupo Facebook apa humu ni home of great thinker toa ujinga wako humu peleka uko Fb kwa wajinga wenzako
 
Huyo hakuuwawa na watanzania,
Tulimwogopa na hatukuwa tunamweza...Ila. MUNGU atabaki kuwa MUNGU.Yeye MUNGU hamna asichokiweza...anaziondolea mbali laana Kama alivyoiondoa
 
Back
Top Bottom