Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

Taifa lolote linalofanya mauaji kwa kiongozi wake ambaye amejitoa kulinda maslahi yake hupata laana isiyofutika kirahisi

Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
same songs & same stories just at a very wrong time.
Kifo hakichagui mtu, when your time is up is up. other stories hazitokuwa relevant tena
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Mshukuru Mungu, mungu alimpenda zaidi
 
Hata Yesu alipofufuka kuna mtu alisema bila kuweka kidole kwenye jeraha lake hataamini kama amefufuka.

Kifo ni kitendawili. Kuna wakati kinaleta maumivu kweli kweli. Lakini kikishatokea Hakuna jinsi. Tunafunga chapter na kusonga mbele
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Marekani imeua marais wangapi? mbona inaendelea kukimbiza dunia?
Huyo unae msema amekufa kwasababu ya kiburi chake kwanza alivunja kiapo chake cha kuilinda katiba, kiapo kinamaana sana. Imeandikwa ''ukiapa lazima utimize nyapo zako la sivyo usiape kabisa vile Mungu yupo juu na wewe upo chini''.
 
Hivyo ndivyo ilivyo kwa taifa lolote ambalo litatoa uhai wa kiongozi wake ambaye anakuwa madarakani ili kulinda na kutetea mali za umma na maslahi ya taifa lake.

Angalia laana iliyoikumba Congo Drc mpaka leo laana hiyo inawaandama. Baada ya kumuua Lumumba, Mobutu na genge lake waligeuka mafidadi na walafi wa kutafuna mali za umma. Taifa lao pamoja na utajiri wa mali asili lakini lina umaskini mkubwa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe visivyokwisha na matatizo lukuki.

Hui ni mfano tu wa namna damu ya kiongozi wa taifa ambaye ni mzalendo anapouwawa na kisha laana kulikumba taifa.

Watanzania tujitafakari sana.
Kazi mnayofanya ningumu Sana aisee Yani dunia inasonga nyie mnalilia kurudu nyuma...my friend tupo awamu ya 6 sasa....amna nchi iliopewa laan hata uko congo sio wananchi waliomuua raisi ni kikundi cha watu mngu hawezi lipa laana taifa kwa ajili ya kikundi kinachoshindana mambo yao yakisiasa no way yanayoendelea congo sio laana ila tu ni ulaghai na uwizi wa Mali ya congo na mataifa mbalimbali na vikundi viovu..inatokea hata kwene taifa Kama Mali ambalo hawakuua raisi wao
 
Bullshit thread[emoji57]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
1620753343618.png


🙂
 
Mjomba jamaa alishafariki tugange yajayo hata kama bado inauma vumilia tu. Hakuna namna.
 
Back
Top Bottom