Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap.. Bonge Moja LA beat asee..safi sanaaaKama unataka demu
Jaymo ft Q.chief and solo thang
Produced by p.funk (bongo rec.)
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha ha aaa hv Zay b si atakuwa ameshazeeka saivi... Nomaa Sana'a... Yaan nyimbo yake full mikwalaTemba - Nakumaind
Zay b - Niko Gado feat. Nature
Zote bongo records ......p funk majani
Namba nane ya Daz baba ft Fid qYeah yeah ni moto sana hiyo ... usisahau nipe tano ya daz bab ft daz nundaz
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakopi beats na wanakosea kwenye maateringAngempendelea blue naye asingeenda nalo vizuri. Ila nyimbo za zamani nzuri jaman maproducer wa siku hizi wanakosea wapi
Hahahaha mistari hii ilinilainishia demu enzi hizo.Mkuu asante " ... ile ngoma ya tamala ni moja ya nyimbo ambazo zilikuwa zinanifanya nipatwe na uchizi tokana na mixing iliyofanyika mule na jinsi ambavyo had mad alivyo kuwa ana ghani ...
Anakwambia"---- mara ya kwanza tulikutana kwenye show " ukaniambia singwe daranyo. Siku shangaa nikajipa moyo " kwa kuwa mapenzi ndivyo yalivyo ". .mtoto mwenye kiuno laini " cha kucheza raga muffin na kudigi na mimi " oh mwana nane nagala nashindwa " kuelewa hata nifanye nini ..
Ohh tamala " .(tamalaaaaa) baby tamala (tamalaaaa)...
Sent using Jamii Forums mobile app
Naye zipo Kali kuna ile kamshirilisha majani. Yote maisha kama sijakosea Majani alipiga beat nzuri sanaMpaka dakika hii anayejiita rais wa manzese hajatajwa.Inaonyesha jamaa ni msanii wa kawaida tu
Yeah jamaa alitisha sana .Hahahaha mistari hii ilinilainishia demu enzi hizo.
Kudos kwa Hardmad 2017 alitoa nyimbo mbili ila hazikuhit sana
Sent using Jamii Forums mobile app