Kwahio wachaga wanaoishi milimani nao hawana akili?Wangekuwa na akili wangeenda kuishi na kima milimani?
Kwani kuna shida? Si mwendelee tu kutawala kwani tunalala njaa.Umaskini wa Tanzania utabaki vile vile.2025 Majimbo yote ya Uchaguzi yatabaki CCM. Hata lile la Nkasi tutalirudisha. Fanya masihara nini!!!!
Hamna... tena bila kuiba kura...!!Natafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Umaskini utabaki nao wewe usipochanhamka, maana hata Marekani maskini wapo! Ahahahahaha!Kwani kuna shida? Si mwendelee tu kutawala kwani tunalala njaa.Umaskini wa Tanzania utabaki vile vile.
Achab ubaguzi wa Kaya!Sio wanajielewa kuliko wengine ungesema wanarudi kwenye chama Chao cha nyumbani
Majimbo yote ya kisiwani PembaNatafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?