Nyasa,mbinga mjini,Peramiho na madabaSegerea
Kibamba
Ubungo
Kawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyasa,mbinga mjini,Peramiho na madabaSegerea
Kibamba
Ubungo
Kawe
Mbeya mjini bado pana changamoto sababu wanyakyusa wanaubaguzi kama wahayaMbeya Mjini
Mwambie huyo kiazi! Akiona Wasukuma anajua hawajui siasa! Enzi za UDP hakuwepo huyo bwege!Watu wa Magu acha kuwachukulia poa kwenye upinzani wamewahi kuwa na mbunge wa upinzani kupitia UDP.
Mbeya Mjini ni ya Wasafwa na siyo ya Wanyakyusa.Mbeya mjini bado pana changamoto sababu wanyakyusa wanaubaguzi kama wahaya
Ni wananchi wenye nchi yao ya Tanganyika.. Hao uliowataja ni wezi majambazi wa kuraLabda CCM iamue iwe hivyo!
Namuona Mwambukusi anapalilia kitaluMbeya Mjini
Ndo hivyo mkuu na ndo kilichotokea 2020! CCM wakiamua lao wameamua na system za usalama zimejengwa kichama.Ni wananchi wenye nchi yao ya Tanganyika.. Hao uliowataja ni wezi majambazi wa kura
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wanyakyusa mbeya hatumpendi tulia tunataka mkinga sugu. Ubaguzi na ukabila sisi hatuna. Tulia sio chaguo letu labda achaguliwe na wasafwa wa igawiloMbeya mjini bado pana changamoto sababu wanyakyusa wanaubaguzi kama wahaya
Ujinga ni kupinga ukweli. Nyamagana na ilemela inakaliwa mostly na watu wa mikoa mingine. Huu ni utafiti umefanyika acha usukuma dadaUnapenda sana kidharadu Wasukuma! Hizo Nyamagana na Ilemela bado majority ni Wasukuma! au nitajie jimbo gani Mwanza ambalo majority ya wapiga kura sio wasukuma tofauti na Ukerewe? Acha ujinga!
Wewe unaongea kwa mihemko! Hao watu wa mikoa mingine nitajie?Ujinga ni kupinga ukweli. Nyamagana na ilemela inakaliwa mostly na watu wa mikoa mingine. Huu ni utafiti umefanyika acha usukuma dada
Nlitaka niandike hii, huyu zwazwa hamna mtu paleUbungo
Inategemea nani atakua mgombea urais ccm. Kujitambua sio lazima upigie upinzani.Vunjo, Moshi Vijijini, Moshi Mjini, Rombo, Hai na Siha mkoani K'Njaro lazima yatarudi upinzani kwani watu wa kule wanajielewa vyema. Sina uhakika sana na Same Mashariki/Magharibi na Mwanga kwani kule ni species ingine na bado kidogo u-zuzu upo.
Wakabila nchi hii ni Wahaya na Wasukuma, wachagga hawajui hilo kabisa.Wanajielewa au wamejaa ukabila!?