Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Hapana aisee. Natafuta mtu nikugawe😂usifanye ivo bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana aisee. Natafuta mtu nikugawe😂usifanye ivo bhana
Mazuzu na misukule ya CCM ndio hawa wanaaoshabikia CCM. Maeneo yaliyo duni zaidi nchini ndio washabiki wakubwa wa CCM ndio mikoa ya Kusini, kanda ya ziwa na kanda ya kati.Pumbavu kabisa, uzuzu unao wewe bw.ege.
Ha ha ha,sawa bhanaHapana aisee. Natafuta mtu nikugawe
Mimi nahusikakaje kwenye mambo yenu ?Hapana umeweka uchama pembeni kabisa. Erythrocyte ana cha kujifunza hapa. Siyo kila wakati unakipambania CHADEMA hata kwa yasiyo na tija kwa Taifa.
Not really, hata Moshi mjini, vijijini na Hai yanaondoka mapema tu. Kule wameikataa CCM tokea 1995 ndio sembuse 2025 ambapo waTanzania zaidi ya 50% wamezaliwa kipindi cha vyama vingiHivi kwanini watu hudhani Kilimanjaro ni ya wapinzani?... Hapo labda vunjo, hai, na siha ila huko kwengine wapinzani hawawezi chukua
Wanajielewa au wamejaa ukabila!?Vunjo, Moshi Vijijini, Moshi Mjini, Rombo, Hai na Siha mkoani K'Njaro lazima yatarudi upinzani kwani watu wa kule wanajielewa vyema. Sina uhakika sana na Same Mashariki/Magharibi na Mwanga kwani kule ni species ingine na bado kidogo u-zuzu upo.
Mbeya mjini, iringa mjini, makambako, mafinga, mikumi, mbozi, Tunduma, hai, siha, arusha mjini, arumeru mashariki na magharibi, babati, karatu, ilemela nyamagana, Tarime mjini na vijijini, bunda mjini, Kinondoni, kawe, ubungo, kibamba, ukonga, segerea, Temeke, kibaha mjini, dodoma, kilombero, ulanga, kwela, sumbawanga mjini, songea mjini, masasi, ndanda, nachingwea, mtwara mjini, tandahimba, mtama, ruangwa, mpanda mjini, karagwe, kyerwa, bukoba mjini, chatto, moshi mjini, vunjo, rombo, same mashariki, korogwe, tanga mjini, kalambo, kigoma mjini, kasuru mjini, buhigwe, kigoma kaskazini, biharamulo,mkuranga, mafia, peramiho, nyasa, karenga, kyela, rungwe, busokelo,mtera, kibaigwa, kondoa, singida mjini, singida mashariki, singida kaskazini, Tabora mjini, igunga, nzega mjini, shinyanga mjini, sengerema, busanda, misenyi, bukoba vijijini, ngara, mwanga na mombaNatafakari upya kuhusu wabunge mzigo kwa jamii. Safari hii najiuliza majimbo gani yatakwenda upinzani?
Wanasiasa wapya watakuwa akina nani?
Kwa hizi akili za kuvukia barabara inabidi tuUchaguzi ambao ccm wanaamua nani awe mbunge, huo sio uchaguzi bali ni uhuni.
Unapenda sana kidharadu Wasukuma! Hizo Nyamagana na Ilemela bado majority ni Wasukuma! au nitajie jimbo gani Mwanza ambalo majority ya wapiga kura sio wasukuma tofauti na Ukerewe? Acha ujinga!Misungwi na magu itoe. Kuna wasukuma hizo wilaya ni viazi toka dunia iumbwe haijawahi tokea 😄😄